Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ningekuwa nasajili mchezaji wa kiungo wakati huu basi ningemsajili Momo Diame wa West Ham asaidie pale katikati kusukuma jahazi.

Aaron Ramsey ningempeleka kucheza kwenye timu yoyote ile kwamkopo ili apate uzoefu wa kucheza kwenye first eleven, na Diaby atakuwa anaingia kipindi cha pili.
 
Nae Kieran Gibbs ambae alitoka mapema ameumia mishipa ya paja na hatacheza kwa kipindi cha wiki tatu.
 
Good : Giroud, Walcott, Wilshere

Ok: Cazorla, Podolski

Terrible: Szczesny, Mertesacker, Sagna

Just leave this club ffs : Santos, Ramsey!

We need a goalkeeper, both full backs and a defensive midfielder!!
 
Tatizo ni kwamba timu inaonekana inamtegemea sana Jack Wilshere na dogo anatandaza mpira, kiasi kwamba anaweza kuumizwa wakati wowote.
 
Tatizo ni kwamba timu inaonekana inamtegemea sana Jack Wilshere na dogo anatandaza mpira, kiasi kwamba anaweza kuumizwa wakati wowote.
Hatari sana timu ya top four kumtegemea Wilshere na Walcot imejitahidi mmeonyesha maturity leo.
 
Back
Top Bottom