la pili hilo dk 59
Tatizo mojawapo la Wenger ni kuondoa wachezaji walio chini ya viwango na kuwabadilisha na wale wenye ubora wa hali ya juu, hili ndilo tatizo kubwa.
Tatizo lingine ni recruitment policy yake kwamba inakumbana na wachezaji wabovu kabisa ambao wametutia hasara kama Chamakh na Squillaci kwan ibado wanendelea kulipwa huku wakiwa hawachezi (Squillaci).
Ndio maana hata Brighton juzi wamemuulizia Squillaci.
Walcott goal was Superb.... Didnt see t Coming......... Waaaaaaaooooooooooghhhhh
Santos ndo beki yetu kaka......Hii game ilikuwa ni yetu kabisa.