Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni kawaida kwenye mechi ngumu kupoteza ikiwa mazingira na uchezaji hayakukamilika.

Timu yetu leo imecheza kipindi cha pili tu. Kipindi cha kwanza sikuona Diaby na Coquelin wakimiliki mipira pale katikati na kuwaachia Osca,Mata na Ramirez wakitawala mchezo.

Hongera kwa Chelsea lakini Arsenal kwa sasa tumepoteza mechi tatu za ugenini na mbili nyumbani.

Jumatano tunacheza mechi yetu ya kiporo na West Ham na itakuwa ni Emirates.

na hamshindi...khekhekhekhekhekheeeedeeeeeeeeeeeee
 
Wacha1 khekhekhekhekhekhe....
bwana Peasant nsaidie picha za kumpoza moyo huyu ndugu yetu..na wenzake wazee wa next time.khekhekhekhekhekhe
 
Last edited by a moderator:
uploadfromtaptalk1358696831346.jpg

na hiyo ndiyo chelsea for u...chezea mutu nyingine ila si mumeo..chawa !??
 
Kwa trend ya Arsenal ya kushinda mechi moja na kufungwa inayofatia,mtawafunga WestHam
 
View attachment 80126

na hiyo ndiyo chelsea for u...chezea mutu nyingine ila si mumeo..chawa !??

First goal was a foul. Ramires tackled Coquelin there. Second goal?? I really think that was a dive, if you look at it closely you can see Ramires slipped before Szczesny. It's true the ref really played part in these goals but it will never change the fact we played bad 1st half
 
Several matches this season, Arsenal show up in the 2nd half. Today was one and unfortunately not enough was done to stage a comeback. We need more strikers and midfielders. If Wenger does not buy at least two "top, top player" as he terms it, we're doomed.
 
First goal was a foul. Ramires tackled Coquelin there. Second goal?? I really think that was a dive, if you look at it closely you can see Ramires slipped before Szczesny. It's true the ref really played part in these goals but it will never change the fact we were played bad 1st half

still you are remain the gunners soul..
 
First goal was a foul. Ramires tackled Coquelin there. Second goal?? I really think that was a dive, if you look at it closely you can see Ramires slipped before Szczesny. It's true the ref really played part in these goals but it will never change the fact we were played bad 1st half

Oh really sir!
Tell me all th way from Tz ulichoona ni replays...sijui nikuamini ww ama yule commentator aliyesema ilaumiwe miguu mirefu ya Ramires coz he really touched th ball!!?
Eniwei if it is any consolation man...tumebahatisha kuwafunga. But tell me sir, do u consider ur team better than us, honestly?
Did you really expect to win sir?
No..i mean..Wenger was happy th results werent worse than they were..do u know what tha means? Your coach never really expected to win.
Oh and did I tell you today is Sunday..we rarely lose on a Sunday..the best u could do was draw...try again on a Wednesday sir.
For now.let me remind u..we beat u 2 - 1 earlier this season n th same has happeneed so shhhhh and move on...we r waaaay better than u mr. Viper ...waaaay better.
Good night...ooooppps...wont u hav nightmares sir??!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe dawa ninazowapa zinafanya kazi, Chelsick walitoa mpunga mapema leo na yule kachero wao alikuwa poa nasikia mmehamia huku karibuni sana lakini majuto ni mjukuu tu. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee bila mpunga leo Beni alikuwa hana kazi.
 
Silent gun salute...gooners got silencer....muffler...muffled, muted...subdued...empty Gooners....
 
Wakuu wa Gunners kama mlivyoona mechi goli la kwanza refa kaminya adhabu kutoka kwenye half ya Chelsick na goli la pili jamaa amefanya bonge la dive, ilibidi apewe red card. Vijana lazima wakomae na hawa watoa rushwa, tatizo lingine ni hii vita anayopigwa prof lakini kila wanapozidi kutoa mpunga ndio wanajiharibia. Time will tell.
 
Wakuu wa Gunners kama mlivyoona mechi goli la kwanza refa kaminya adhabu kutoka kwenye half ya Chelsick na goli la pili jamaa amefanya bonge la dive, ilibidi apewe red card. Vijana lazima wakomae na hawa watoa rushwa, tatizo lingine ni hii vita anayopigwa prof lakini kila wanapozidi kutoa mpunga ndio wanajiharibia. Time will tell.



khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeee
 
Kumbe dawa ninazowapa zinafanya kazi, Chelsick walitoa mpunga mapema leo na yule kachero wao alikuwa poa nasikia mmehamia huku karibuni sana lakini majuto ni mjukuu tu. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee bila mpunga leo Beni alikuwa hana kazi.




Unamaanisha Henry Norris?
 
Dah kusema kweli asenal mnatia huruma sana.

Bwana salito, unasikia excuse zao!??
Khekhekhekhe eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee......

Na nyie katoeni mpunga...ooopsss...nlisahau Asenali ni timu ya wachaga wa kizungu..lol...mnakufa njaa na hela mfukoni...khekhekhekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ( courtesy of: Wacha1 )
 
Last edited by a moderator:
Wakulu mpo? naona tuna wageni wetu wengi tu.

Baada ya game la Jumapili Wenger ameamua kumpeleka Francis Coquelin kwenda kuchezea RealBetis kwa mkopo ili akapate uzoefu.

Hiyo ni dalili ingine kwamba kunasajiliwa mchezaji wa kiungo hivi karibuni miwshoni mwa wiki hii au mwanzo wa wiki ijayo au ndani ya masaa 48 kabla ya dirisha la usajili halijafungwa.

Wahusika wamegundua kwamba baada ya kumuuza Alex Song timu haina tena DM na Diaby bado hana umakini uwanjani na hatabiriki.

Pia Mikael Arteta ambae ndie aliambiwa atacheza kama DM nae ameumia na hatarudi hadi baada ya wiki hivyo kufanya timu kuwa haina DM mwingine.

Tuna Emanuel Frimpong ambae nae ameshindwa kuonyesha makali yake kama DM.

Hivyo tutegemee kwamba Mohamed Diame kutoka West Ham, anaweza kusajiliwa na Arsenal kama atakubali deal la 60000k au 70000k kwa wiki.

Pia Victor Wanyama nae amezungumziwa ingawa itakuwa ngumu kuzingatia kwamba yeye nae anacheza CL na Celtic, na Yohann Gourcuff ambae atakuja kwa mkopo.
 
Back
Top Bottom