so?............
yaani huyu Ba angekua ndo kazipa dk 80 za torres angeshacheka na nyavu zaidi ya mara moja aisee
Poleni sana Gunners wenzangu..........Ni timu yetu inabdi tuendelee kuipenda...
Once a Gunner, Always a Gunner...........
Arsenal : Together We Stand
Proud to be a Gunner.......
Poleni sana ndio mpira ila gibbs na diaby wameondoka na ushindi wenu..
Huyu jamaa hakua na umuhimu wa kumsajili. Yeye na Podolski wanacheza style moja tofauti ni kwamba Podolski anamzidi nguvu.Kipindi cha pili tumecheza poa girold ame waste chances Nyingi sana...