Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Safi sana,naona tumezinduka dakika 5 za mwisho za 1st half..Fabregas ni habari nyingine kabisa
2-0 Farbregas ho ho hooo! come-on you gunners!
Diaby inabidi abadilike 2nd half,hakuna lolote analofanya,anakimbiakimbia tu uwanjani
Aingie nani sasa?
Kwa kweli Diaby ni liability tatizo Denilson bado ni majeruhi na Ramsey bado hajakomaa, labda AW atamtoa Diaby na kumuingiza kati ya Ramsey/ Nasri au Eboue.Diaby inabidi abadilike 2nd half,hakuna lolote analofanya,anakimbiakimbia tu uwanjani
wenger ana mapenzi ya ajabu na diaby kwahio nivigumu sana kumpiga bench.ramsey yuko ready kuchukua namba ya diabyKwa kweli Diaby ni liability tatizo Denilson bado ni majeruhi na Ramsey bado hajakomaa, labda AW atamtoa Diaby na kumuingiza kati ya Ramsey/ Nasri au Eboue.
dua zenu wakuu msisahau manake simnakumbuka against westham inabidi wasituangushe leo.
Hata mimi nahisi, ukweli huyu jamaa ana talent ila siku akiwa bomu anakuwa bomu kweli kama leo.wenger ana mapenzi ya ajabu na diaby kwahio nivigumu sana kumpiga bench.ramsey yuko ready kuchukua namba ya diaby
nipo mkuu vijana kidogo walikuwa wansuasua kwahio ilibidi nitulie kwanza nisome game lol.Nilitaka kumuuliza kweli au Balantanda kuwa mbona kocha haupo? sikumbuki kama ulicheki ile ya craling cup.....winga mbu nae simuoni!
Ngoja tusubilie....wanaingia sasa
Linesman katoa kibendera kwa faulu Refa katoa advantagerefa na linesman wamechanganya habari