Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Keane majeruhi na anakwenda nje where's come back? Spuds kwishnei!
 
Naona kama Arsenal ndio tumefungwa, bado tuna uchu wa kwenda mbele!
 
naona mkubwa Wenger umekasirika sana umerusha suti?
 
nimep\furahi kumuona wenger katupa koti kwa hasira maaanake mara nyingi huwa yuko relax anawaachia watoto wafanye uzembe.
 
huyu refa Spurs nini? khaa! faulu iko wapi ya kumpa Vermalean kadi ya njano?
 
Diaby bado yumo? anatoka RVP mkuu Wenger sikuelewi sometimes!
 
Hongereni gunners; naona mmewa2liza madogo!!! Naona mr.bean pua itazidi kushuka kwa furaha....tehe heee!!!
 
safi sanaaaaaaaaa.yani hapa sasa unachungulia game za top 4 wengine bila presha.hapa ndio mtu unakumbuka point 2 za westham tulizotupa zile damn.
 
hile powa mkuu game ishaisha hutaki rvp haumie sio lazima amtoe.

Poa mkuu game haikuwa na ushindani! too easy kwa Gunners, Spuds hawana mpya, bahati yao naona ingekuwa aibu kabisa kama eduardo,Diaby na Ramsey wangezitumia nafasi tulizozipata.
 
safi sanaaaaaaaaa.yani hapa sasa unachungulia game za top 4 wengine bila presha.hapa ndio mtu unakumbuka point 2 za westham tulizotupa zile damn.

Zile tungezipata tungekuwa mbali sana mkuu...hata hivyo bado tuna game moja mkononi
 
Back
Top Bottom