Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aaron-Ramsey-Shot-Liverpool-Carling-Cup_2378040.jpg



Arsenal-Mob-Fran-Merida-Goal-Liverpool-Carlin_2378041.jpg
 
Yaani kuwafunga kids wa Liverpool mnashangilia utadhani mmechukua Champions league

Belo bana?.....sasa walikuja uwanjani kutafuta nini kama ni kids, kwa uliambiwa yale ni mashindano ya kids?

BWT: Mbona nyie mlishindwa kuwafunga hao hao kids.......?
 
Yaani kuwafunga kids wa Liverpool mnashangilia utadhani mmechukua Champions league

Mtani mimi sisemi kitu ila nasubiri May tu Mungu akipenda, mwaka huu utaona miujiza ya Wenger (Be patient my friend)
Na andika hii tarehe katika diary yako 30 January 10, unakuja Emirates na msimu huu kaka utashuhudia miujiza.
 
Inaoneka we ni mnazi usiefatilia kabisa soka kwani hiyo Gunnerz iliyoifunga hao unawaita kids uliwaona? au ulivosikia Sanchez, Eastmond, Randall, Gibbs, Fabianski, Merida ukajua ni wakubwa!!!!!!!!! au ulivosikia Arsenal inacheza ukavuta picha ukafananisha na timu ya Man iliyocheza juzi au Chelsea jana? Basi ni kuwa kwa wastani wa umri Arsenal ndio inaongoza kuwa na kids tena kwenye mashindano yote inayoshiriki.
Man U bana kufungwa wawafunge Liverpool maneno kwetu
Hivi Mikael Silvestre nae ni kids?
 
Hivi Mikael Silvestre nae ni kids?

Jamani Man wabishi du!!!!! Nimesema kwa wastani Sisi The Gunnerz ndio timu pekee ambayo wachezaji wetu wana umri mdogo, ukimtaja mchezaji mmoja mmoja Liverpool walikuwa na Veronin, Benayun, Skritel kwani hao ni kidz?
 
Hivi Mikael Silvestre nae ni kids?

Mbona huwazungumzii Dick Kuyt,Andriy Voronin,Martin Skrtel,David Ngog(mume wenu Man Utd huyu),Alberto Aquilani,Emilliano Insua,Ryan Babel na Yossi Benayoun kama nao ni kids ama?,au kwa sababu walikosekana Reina,Agger,Gerlad naTorres ndo wawaita kids..Yaani Belo wewe ukiona Arsenal wameshinda unaumia sana aisee,maana jinsi unavyoweweseka mpaka Raha
 
Mbona huwazungumzii Dick Kuyt,Andriy Voronin,Martin Skrtel,David Ngog(mume wenu Man Utd huyu),Alberto Aquilani,Emilliano Insua,Ryan Babel na Yossi Benayoun kama nao ni kids ama?,au kwa sababu walikosekana Reina,Agger,Gerlad naTorres ndo wawaita kids..Yaani Belo wewe ukiona Arsenal wameshinda unaumia sana aisee,maana jinsi unavyoweweseka mpaka Raha
Balantanda Liverpool kila mwaka kwenye makombe ya mbuzi lazima muwafunge ,kuna season mliwafunga 5 enzi za kina Baptista.Kuhusu masuala ya mume hata nyie ni mmojawapo ya wake zetu.
Ngoja tusubiri jumamosi Arsenal VS Spurs
 
Balantanda Liverpool kila mwaka kwenye makombe ya mbuzi lazima muwafunge ,kuna season mliwafunga 5 enzi za kina Baptista.Kuhusu masuala ya mume hata nyie ni mmojawapo ya wake zetu.
Ngoja tusubiri jumamosi Arsenal VS Spurs
Spurs kitu bwana, kichapo kama kawaida.
 
Balantanda Liverpool kila mwaka kwenye makombe ya mbuzi lazima muwafunge ,kuna season mliwafunga 5 enzi za kina Baptista.Kuhusu masuala ya mume hata nyie ni mmojawapo ya wake zetu.
Ngoja tusubiri jumamosi Arsenal VS Spurs

Sio 5 tuliwawowa 6 taimz
 
Man u kwa majungu walizoea kuongezewa muda ili wasawazishe this time zikawazuru NGONG akawawowa du! burdaaaan
 
😕Tottenham boss Harry Redknapp: Arsenal won't win Premier League title

Ahead of today's north London derby battle with Arsenal, Tottenham Hotspur manager Harry Redknapp has claimed that Arsenal will not be among the teams to challenge for the Premier League title.

Redknapp cited the Gunners' lack of experience as the reason central to his beliefs.

"I think Arsenal are potential winners but personally I dont think they will win it, that's only my opinion," Redknapp told The Independant.

"I'm not writing them off, they've got a good chance. But I think the winners will come from Chelsea or Manchester United.

"I don't think it's a soft centre [at Arsenal], I think it's maybe a little bit of a lack of experience still. They're not an experienced team, it's still a young team, a fantastic young team.

"But I just feel Chelsea and United, they have players who have been there and done it all and been the full course in the championship race."

Redknapp is relying on fill-in starters in Peter Crouch and David Bentley in today's derby as he hopes to get only the second win of his coaching career against a a Wenger-coached side.
 
Baba Mkubwa, huyu mzee mwachie na mind game zake, kama experience hiki kikosi ni karibu msimu wa 4 sasa kiko pamoja ukiachia Vermalean na pengine Arshavin hawa watoto tayari wana uzoefu wa kutosha.
 
Baba Mkubwa, huyu mzee mwachie na mind game zake, kama experience hiki kikosi ni karibu msimu wa 4 sasa kiko pamoja ukiachia Vermalean na pengine Arshavin hawa watoto tayari wana uzoefu wa kutosha.

Yeye Kajitoa!!!...Ngoja tumcheki leo, nadhani bado kama dkk 20
 
Team news: Almunia amerudi golini Mannone yuko bench?
Watakaoanza ni:
Almunia
Sagna Gallas Vermaelen Clichy
Fabregas Song Diaby
Bendtner RVP Arshavin
 
Tutegemee mvua ya mikrosi toka kwa spurs wakimlenga Crouch, nadhani ndio maana AW ameamua kum-badilisha Almunia golini, Mannone kwenye krosi yuko dhaifu.
 
dakika 30 zimekwisha Arsenal wamepata nafasi karibu tatu Bendtner, Fabregas na RVP lakini wameshindwa kuzitumia spurs wamepata nafasi 1 Robie Keane lakini Song ameokoa, Refarii ameshindwa kutoa kadi hadi sasa mara mbili kwa Bentley (kushika mpira waziwazi na kumkwatua Vermalean) Assoue-kotto (kupiga mpira nje kwa ghadhabu) pengine amezisahau kadi zake nyumbani!
 
Back
Top Bottom