ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
2 - 2 next Emirates is it?
sidhani..
2 - 2 next Emirates is it?
Tusubiri waje Emirates labda tutakuwa tumeshasajili sajili.Hii timu yetu ni ya HOVYO mkuu...........
Dakika 5 za nyongeza
Tusubiri waje Emirates labda tutakuwa tumeshasajili sajili.
Diaby anaweza kuwa fit kuimarisha timu hasa kukaba vibaka.Tusubiri waje Emirates labda tutakuwa tumeshasajili sajili.
Ni 2 -2 Nkwingwa.............Bora 1-1 pamoja na kwamba tumewapatia gori la pili kirahisi. Ni furaha kwa vile wengine tutapata nafasi ya kuiona mechi tena
Ni 2 -2 Nkwingwa.............
Waje Emirates sasa, wakuu wa Gunners hongereni sana hii ndio thread ambayo ipo Live wakati wa gemu siyo za kubebwa na mbeleko hata Invisibles wanazibeba. COYG .... ... next Sunday Mancs ndet upo?
Mshindi wa Emirates atacheza na Brighton away ... .... ...
Webb atakuwa refa wa mechi ya marudiano ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeee
Contact in the box no penalty ... .... ... .... Brown envelopes ... ...
Bora 1-1 pamoja na kwamba tumewapatia gori la pili kirahisi. Ni furaha kwa vile wengine tutapata nafasi ya kuiona mechi tena
:biggrin1: yaani nyie gooners mnanichekesha kweli...hata matokeo ya timu yenu hamjui...jus a bunch of fake fans you are....