Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu hii thread last page iko mbali sana kuna baadhi wanahngaika kufika,kuna thread nyingine mpya tumeianzisha huko mpya special kwa ajili ya mechi ya leo tu,ili tujuzane matokeo humo ndani.

Mkuu thread tumetoka nayo mbali sana so rahisi kuitelekeza .. man since. 2006..
 
Mkuu hii thread last page iko mbali sana kuna baadhi wanahngaika kufika,kuna thread nyingine mpya tumeianzisha huko mpya special kwa ajili ya mechi ya leo tu,ili tujuzane matokeo humo ndani.

Poa ngoja tu-join huko.
 
Kwa hiyo ndio maana kamuanzisha Diaby.......huyu jamaa simuamini kabisa, na huyo Sagna naye mmmh!! Bora angeanza Jekinson.

Mkuu. Jenkson ni mzuri offensive ..ila defending sio mzuri .. na hawa kina silva hapana atasubiri game zingine
 
Baba kimeshakula kwenu...khe khe kheeeee....
Dzeko kakosa penalt lakini leo asipofunga mtaniambia..khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 
Baba kimeshakula kwenu...khe khe kheeeee....
Dzeko kakosa penalt lakini leo asipofunga mtaniambia..khe khe kheeeeeeeeeeeeee
hakijala kwa mtu, licha tupo pungufu tutawafunga kwa taabu sana hahahaaah!!
 
Back
Top Bottom