MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
hahahahaha.....sisi tumu za Ujerumani hazitusumbui!! Chamuhimu ni babu ananue quality players kwenye Jan transfer window!!
Mabingwa wa ujerumani wa mwaka jana Dortmund tumemchapa kwenye group. Enzi hizo Kagawa na Gotze wote wapo watu washasahau. Tutakomaa nao..