Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wale tuliowapiga tano epl basement boys reading anawatoa kamasi watu wazima


Unajua tena hata kale kagoli kalikuwa ka-faulo walifikiri yale magoli matano tuliokota kama tende.
 
Wakuu,

Nafikiri Mtoto wa Mjini na wenzie huwa wanakuwa wanapata hamu tu ya kufahamu kinachoendelea Arsenal.

Yeye kuuutwa yupo hapa, lakini ndio hivyo tena huo ndio uhuru wa kuchagua timu unayoipenda.

Yeye anaipenda sana Arsenal na anaionea wivu wa kimaendeleo.
 
Wakuu,

Nafikiri Mtoto wa Mjini na wenzie huwa wanakuwa wanapata hamu tu ya kufahamu kinachoendelea Arsenal.

Yeye kuuutwa yupo hapa, lakini ndio hivyo tena huo ndio uhuru wa kuchagua timu unayoipenda.

Yeye anaipenda sana Arsenal na anaionea wivu wa kimaendeleo.

mkuu AW amehamishia nguvu yake kwa striker wa Atletico madrid aitwae Adrian Lopez (24) kwani baada ya kumuulizia David villa mwenye miaka 31 anahitaji £100,000 kwa wiki

na vile vile AW anaona ni nyingi sana kwa umri na historia ya kiafya ya Villa (alivunjika mguu msimu uliopita) na amepoteza namba kwa Sanchez

Lakini Adrian Lopez anagharimu £15mil

na chief scout wa ARSENAL amemwonya AW asimnunue kipa wa Wigan Ali El Habsi na Kipa wa Stoke city kwani wako Inconsistent na ameshauri wamnunue kipa wa Sunderland anaetoka Ubeligiji

NB: Adrian Lopez alifunga magoli 19 la Liga msimu uliopita ila amekosa namba kwa Ramadel Falcao sasa

Tusubiri Tuone kama itatokea na kuna ripoti kuwa kuna Tranfer Fund ya kiasi cha £50mil January hii
source: Daily Mirror
 
Wakuu,

Nafikiri Mtoto wa Mjini na wenzie huwa wanakuwa wanapata hamu tu ya kufahamu kinachoendelea Arsenal.

Yeye kuuutwa yupo hapa, lakini ndio hivyo tena huo ndio uhuru wa kuchagua timu unayoipenda.

Yeye anaipenda sana Arsenal na anaionea wivu wa kimaendeleo.

Mkuu mbona unawaumiza wenzio weye ... ... .... .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee usijali Wacha waje kila tunapocheza ndio ushabiki huo na wale waliotangaza ubingwa December chijui wako wapi? Game on ... ..... ..

 
Punguza kiherehere mtoto.....Yaani wewe kila post ya Gunners lazima uiquote?.....

Hiki kwetu Tinde tunakiita ni kimbelembele cha MWAJUMA......

'Ya Ngoswe, muachie Ngoswe' bana......


Hah hah hah haaah Chidumule alisema:
Pwaka pwaka pwaka pwaka pwaka pwaka pwaka itakusaidia nini weeeeeeeeh....
 
Punguza kiherehere mtoto.....Yaani wewe kila post ya Gunners lazima uiquote?.....

Hiki kwetu Tinde tunakiita ni kimbelembele cha MWAJUMA......

'Ya Ngoswe, muachie Ngoswe' bana......

Na mueleze kimbelembele cha Mwajuma kitamsababishia mimba!
 



Nawatakia Gunners wote sikukuu njema ya Chritsmas.

Kesho timu inaingia uwanjani kufanya mazoezi mepesi na baadae ijumaa kwa ajili ya mechi na Newcastle jumamosi ijayo saa 11:30 jioni (saa za UK).

Kuna habari ambazo bado zinaelea kwamba Demba Ba atakuwa ni miongoni mwa wachezaji watatu watakaosajiliwa na timu yetu ifikapo tarehe 1 Januari 2013. Lakini Ba nae ni "injury prone" kiaina kwani akiwa anakimbia huonyesha kuchechemea.

Halafu kuna Adrian Lopez wa Athletico Madrid ambae anafaa sana na hachezi CL. Ikiwa hivyo basi tutapata mshambuliaji makini kumalizia kazi za Santiago Cazorla. Adrian ana umri wa miaka 24 hivyo kuwa mdogo zaidi kwa David Villa wa Barcelona ambae nae ni "injury prone".

Theo Walcott bado anasuasua ingawa Wenger anaweza kumuachia amalizie mkataba wake hapo Julai 2013 na akamsajili Winfred Zaha ambae anaonekana anafaa zaidi.

Kuna golikipa Simon Mignolet wa Sunderland ambae nae anahitajika kumsaidia Chezzer ambae ikiwataumia basi kuna tatizo la golikipa No 2 Manone ambae si mzoefu sana na mikikimikiki ya ligi.

Pia kuna orodha nimetoa hapo juu ya wachezaji wanaozungumzwa kwa ujumla inagwa tunamtoa Huntelaar na Nani ambao itakuwa ngumu. Huntelaar amesaini mkataba na Schalke ambao pia wapo kwenye CL na Nani anataka pesa nyingi sana kama £100,000 kwa wiki.

Kwa sasa kila mtu yupo anaangalia timu ambayo mpaka leo inawachezaji majeruhi watatu tu ambao ni Fabianski, Djourou na Diaby.

Merry Christmas!
 



Nawatakia Gunners wote sikukuu njema ya Chritsmas.

Kesho timu inaingia uwanjani kufanya mazoezi mepesi na baadae ijumaa kwa ajili ya mechi na Newcastle jumamosi ijayo saa 11:30 jioni (saa za UK).

Kuna habari ambazo bado zinaelea kwamba Demba Ba atakuwa ni miongoni mwa wachezaji watatu watakaosajiliwa na timu yetu ifikapo tarehe 1 Januari 2013. Lakini Ba nae ni "injury prone" kiaina kwani akiwa anakimbia huonyesha kuchechemea.

Halafu kuna Adrian Lopez wa Athletico Madrid ambae anafaa sana na hachezi CL. Ikiwa hivyo basi tutapata mshambuliaji makini kumalizia kazi za Santiago Cazorla. Adrian ana umri wa miaka 24 hivyo kuwa mdogo zaidi kwa David Villa wa Barcelona ambae nae ni "injury prone".

Theo Walcott bado anasuasua ingawa Wenger anaweza kumuachia amalizie mkataba wake hapo Julai 2013 na akamsajili Winfred Zaha ambae anaonekana anafaa zaidi.

Kuna golikipa Simon Mignolet wa Sunderland ambae nae anahitajika kumsaidia Chezzer ambae ikiwataumia basi kuna tatizo la golikipa No 2 Manone ambae si mzoefu sana na mikikimikiki ya ligi.

Pia kuna orodha nimetoa hapo juu ya wachezaji wanaozungumzwa kwa ujumla inagwa tunamtoa Huntelaar na Nani ambao itakuwa ngumu. Huntelaar amesaini mkataba na Schalke ambao pia wapo kwenye CL na Nani anataka pesa nyingi sana kama £100,000 kwa wiki.

Kwa sasa kila mtu yupo anaangalia timu ambayo mpaka leo inawachezaji majeruhi watatu tu ambao ni Fabianski, Djourou na Diaby.

Merry Christmas!

Tumeamua kuwapumzisha ili mle sikukuu vizuri msije kula Xmass kwa machungu. Pia tunataka kuondoa kisingizio cha wachezaji wamechoka mnapofungwa. Mary Xmass and happy new year
 
Tumeamua kuwapumzisha ili mle sikukuu vizuri msije kula Xmass kwa machungu. Pia tunataka kuondoa kisingizio cha wachezaji wamechoka mnapofungwa. Mary Xmass and happy new year


Ndio nini?

 
EXCLUSIVE: Yours for £16m! Arsenal handed price for Villa as race with Chelsea for Barca ace hots up


By Sami Mokbel
PUBLISHED: 23:04, 27 December 2012 | UPDATED: 01:32, 28 December 2012

Arsenal have been quoted £16million for Barcelona striker David Villa.
Sportsmail revealed manager Arsene Wenger’s interest in the 31-year-old on Saturday.

And Gunners officials have been told it will take €20million to land Spain’s record goalscorer.

article-0-16A64DC2000005DC-328_468x322.jpg

On the move? Arsenal have been quoted £16m if they want to bring David Villa to the Emirates

Arsene Wenger would prefer a short-term loan for the former Valencia star, who is also a target for Chelsea, but is willing to offer a permanent move if the price is right.
However, the fee quoted by Barca is likely to be deemed too much by Arsenal because of Villa’s age.

Despite the fact he is a peripheral figure for Barcelona, the Spanish giants are not desperate to sell Villa next month.


article-2253971-16320B38000005DC-992_468x286.jpg

Reinforcements needed: Summer signing Olivier Giroud needs help in front of goal

They are more open to offloading him in the summer, by which time Wenger is likely to have alternative targets.
Arsenal may face a fight for the striker, however, with Chelsea also believed to be in for Villa.
Chelsea's Spanish midfielder Oriol Romeu would be delighted if his fellow Spaniard did make the switch to Stamford Bridge.
'I don't know that Villa's situation is, but if a great player like him comes, the record goalscorer with the national team, he would be welcomed and we would be happy,' said Romeu, quoted as telling Spanish radio show Esports Cope.
But Barca midfielder Andres Iniesta hopes Villa stays put, telling reporters today: 'I don't know if there's a chance (he could leave), I don't think so, although for me personally I wouldn't like it if he did, because Villa is a vital player.'

article-2253971-1534547B000005DC-650_468x352.jpg

Transfer talk: Chelsea's Spanish midfielder Oriol Romeu would be delighted if Barca striker David Villa arrived at Stamford Bridge


Source: The Daily Mail
 
timu zote zimecheza boxin day except arsenal eti kisa mgomo wa tube...huo ni upuuzi and its unfair to other teams to play every 4 days na arsenal wamepumzika...
 
Back
Top Bottom