Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siku hizi ligi za club bingwa barani africa na ligi za nchi moja moja zinaonyeshwa kwenye TV huko nyumbani na najua watu wengi wanaangalia- au huna king'amuzi mkuu? nimeuliza tu kama kuna mtu anajua how good this kid is, kama hujui sio lazima ujibu..

dogo yuko njema sana! Ma scout walimwona mashindano ya world cup U-20 kule Canada miaka 3 iliyopita na consinstent top perfomance yake TP mazembe na kama ulitizama AFCON mwaka jana ni potential kwa kweli
 
Belo, kwenye hiyo link ya story ya supersport wamesema Chairman wa mazembe amesema dogo anaenda ku discuss terms na sio kufanya trials. Makes you wonder anaenda kuchukua nafasi ya nani pale.. time will tell.
 
Arsenal v Bayern Munich
Galatasaray v Schalke 04
FC Porto v Malaga
Valencia v Paris Saint-Germain
Real Madrid v Manchester United
AC Milan v Barcelona
Shakhtar Donetsk v Borussia Dortmund
Celtic v Juventus

Wakuu, hii draw imekaaje???
 
Haya kazi kwenu, lile fupa tulilolitafuna pale Allianz Arena mmepewa ninyi, tuone mtafanya nini.
 
Arsenal v Bayern Munich
Galatasaray v Schalke 04
FC Porto v Malaga
Valencia v Paris Saint-Germain
Real Madrid v Manchester United
AC Milan v Barcelona
Shakhtar Donetsk v Borussia Dortmund
Celtic v Juventus

Wakuu, hii draw imekaaje?? ?



Subiri kichapo tu, nothing more.
 
Arsenal v Bayern Munich
Galatasaray v Schalke 04
FC Porto v Malaga
Valencia v Paris Saint-Germain
Real Madrid v Manchester United
AC Milan v Barcelona
Shakhtar Donetsk v Borussia Dortmund
Celtic v Juventus

Wakuu, hii draw imekaaje???

itakuwa poa maana manure wanaongea sana... ila kwenu ndio basi tena maana bavarians ni hatari..
 
uefa draw..jpg Uefa draw..
 
hahahahaha.....sisi tumu za Ujerumani hazitusumbui!! Chamuhimu ni babu ananue quality players kwenye Jan transfer window!!




Records zinaonyesha mara zote mbili mlipokutana na Bayern Munich kwenye CL mlipewa kichapo.
 
Back
Top Bottom