Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jamani santi amatumia mguu.ganii.. alafu ox yupo on form leo
 
Tatizo hamuaminiki, wanaweza kurudi


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
i'ts a little bit impressive, lets see if w can keep our attitude in second half; bravo santi...
 
Santi .... Show gernvinho how to score.. gev angekosa pale
 
Mashabiki wa arsenal roho ngumu! Hii timu sitakuja kuishabikia hata siku moja! Hivi ninyi mmekosa kazi za kufanya mnaishabikia arsenal? Karibu Nou camp!
We ndio huna kazi ya kufanya...kama wupo barca saa hizi unafanya nini kwenye thread yetu???

Born a gunner, live a gunner and til i die as a gunner!!
 
Mashabiki wa arsenal roho ngumu! Hii timu sitakuja kuishabikia hata siku moja! Hivi ninyi mmekosa kazi za kufanya mnaishabikia arsenal? Karibu Nou camp!

Uko barca coz you are a glory hunter kumbe? Ndo nyie timu zenu zikifanya vibaya mnahamia timu zingine...
 
Back
Top Bottom