mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Nafurahia ushindi.... Ila hii 2nd penalty haikuwa fare... Ox alifanya dhambi kabla hajatendewa dhambi...Wakisema tumebebwa sitabisha
Penati zote si halali, na hii ndo radha ya mpira kuna siku inakula kwako na kuna siku unafaidika na maamuzi mabovu ya refa. So muache kupiga kelele hovyo juu ya Man Utd