Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger bana......

Sijui naipeleka wapi Arsenal............


mkuu niko kwenye ka Library kangu nasikiliza zilipendwa na nimekukumbuka muda si mrefu coz nilikuwa nausikiliza Ashibae wa Juwata.

Wenger ameitoa Arsenal ICU na sasa anaipeleka mochwali.

Mark n bind it
 
pia villa wamejitahidi sana they deserved it


Wewe una habari Bonucci na Chielini wagonjwa?
Naona umekimbilia huku kama mwenzio Companero anavyokimbilaga kwenye jukwaa la mapishi.
Twende kule ukajieleze matarajio yako ya kesho...
 
vijana wa arsenal ndio mnaponifurahisha...mkishinda mechi wenger is genius mkitoa draw au kufungwa mnaanza sijui wenger anaipeleka wapi arsenal...nyie tulieni mwisho wa mwaka mmetengeneza faida kubwa tu kama club wenger na board of directors wanapata bonus zao nzuuuuri tuuuu....life goes on....wote mko happy
 
Wewe una habari Bonucci na Chielini wagonjwa?
Naona umekimbilia huku kama mwenzio Companero anavyokimbilaga kwenye jukwaa la mapishi.
Twende kule ukajieleze matarajio yako ya kesho...

wajukuu wa bianceoneri hata wakicheza na jicho moja kama CR7 milan ana lala... hilo sina wasiwasi ...nawasubiri kwa hamu
 
arsenal fans to wenger 'u dont know what ur doing' ' we want our arsenal back' :biggrin1:
 
RDM kaonyeshwa exit door,Mark Hughes naye katimuliwa...Je, AW(a.k.a Mugabe) atang'oka au ndio utabaki usemi wa ''In Arsene we sufferingly trust''??
 
RDM kaonyeshwa exit door,Mark Hughes naye katimuliwa...Je, AW(a.k.a Mugabe) atang'oka au ndio utabaki usemi wa ''In Arsene we sufferingly trust''??

Arsene will never ever get sacked nobody has got power to do that to him at Arsenal (huu ukweli mchungu) na waweza kumtoa ila tukashindwa kumpata mbadala tukaanza kuwa Liverpool baada ya kuondoka Daglish miaka ya 90..wala simlaumu kwa draw ya jana Aston Villa walicheza vizuri na wako njema hasa wakiwa Villa park...after all he is a top top Manager only never won UCL but every top manager adore him except manure and Chelsick fans

Unveiling AF's Statue means his days are numbered thats for sure i cannot see him next two years do you think whom will emulate what he has done for united so far? Once he retires 30%-40% of winning spirit and mentality will deteriorate so watch out your joy has got its end and unfortunately it's sooner(ukweli mchungu mwingine)

opinion divided mr Ambitious and mtotowamjini
 
Last edited by a moderator:
Arsene will never ever get sacked nobody has got power to do that to him at Arsenal (huu ukweli mchungu) na waweza kumtoa ila tukashindwa kumpata mbadala tukaanza kuwa Liverpool baada ya kuondoka Daglish miaka ya 90..wala simlaumu kwa draw ya jana Aston Villa walicheza vizuri na wako njema hasa wakiwa Villa park...after all he is a top top Manager only never won UCL but every top manager adore him except manure and Chelsick fans

Unveiling AF's Statue means his days are numbered thats for sure i cannot see him next two years do you think whom will emulate what he has done for united so far? Once he retires 30%-40% of winning spirit and mentality will deteriorate so watch out your joy has got its end and unfortunately it's sooner(ukweli mchungu mwingine)

opinion divided mr Ambitious and mtotowamjini

Mkuu kashengo it seems there'll be no Arsenal without Arsene..but that do not apply to Manchester United rest assured mkuu.When the time comes AF will retire and his place will be taken by someone qualified to the position.

Arsenal has somekind of an overdependence or rather a fixation to AW though time and again he fails to deliver,once upon a time gunners had functioning guns but nowadays they are shooting blanks.

The only thing that keeps AF at Man United is the simple fact that he knows what he is doing at all levels of competition but sadly enough i cant say same on AW case b'se it has been 7 trophiless years and counting.

I have no problem with AW being glorified as if he is a 'demigod' at Arsenal b'se hey that works to our advantage.
Glory glory Manchester United...long live AF.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kashengo it seems there'll be no Arsenal without Arsene..but that do not apply to Manchester United rest assured mkuu.When the time comes AF will retire and his place will be taken by someone qualified to the position.

Arsenal has somekind of an overdependence or rather a fixation to AW though time and again he fails to deliver,once upon a time gunners had functioning guns but nowadays they are shooting blanks.

The only thing that keeps AF at Man United is the simple fact that he knows what he is doing at all levels of competition but sadly enough i cant say same on AW case b'se it has been 7 trophiless years and counting.

I have no problem with AW being glorified as if he is a 'demigod' at Arsenal b'se hey that works to our advantage.
Glory glory Manchester United...long live AF.

David Whelan (Wigan Athletic chairman) on may 2012 said.."AF will retire after next season" (yani this season) and DW is Ferguson's friend but every coach has got his style of playing and culture you will see that after AF's retirement

Anyone who will replace AF will live under huge pressure to deliver what the scotish has done for 26 year...i can see that coach making his own team from players he likes and you know how it takes to make a new team?

ARSENE is not bigger than Arsenal also he came when we had 10 League trophies in 1996 then his time will come and he will go and Arsenal will remain there

Both AF and AW cannot coach other clubs where they can stay safe like where they are now..so when these both coaches leave then they will be out of Football at least AW can be a director of football may be

Loosing AF will be the sadest news for manure fans because you will never see the same man utd as that of Alex's "hate it or love it"
 
Last edited by a moderator:
Arsene will never ever get sacked nobody has got power to do that to him at Arsenal (huu ukweli mchungu) na waweza kumtoa ila tukashindwa kumpata mbadala tukaanza kuwa Liverpool baada ya kuondoka Daglish miaka ya 90..wala simlaumu kwa draw ya jana Aston Villa walicheza vizuri na wako njema hasa wakiwa Villa park...after all he is a top top Manager only never won UCL but every top manager adore him except manure and Chelsick fans

Unveiling AF's Statue means his days are numbered thats for sure i cannot see him next two years do you think whom will emulate what he has done for united so far? Once he retires 30%-40% of winning spirit and mentality will deteriorate so watch out your joy has got its end and unfortunately it's sooner(ukweli mchungu mwingine)

opinion divided mr Ambitious and mtotowamjini

hiyo sikubaliani na wewe...kwanza wenger hajashinda trophies zote...wenger akiondoka leo hii akaingia mwingine akashinda champions league atakua tayari ni arsenal legend....man utd yoyote atakayeingia na chochote atakachoshinda hatamzidi fergie kwa sababu tumeshashinda kila kitu, man utd tayari ina system ambayo ina improve kila season whereas arsenal they're a selling club, kila season lazima kuna player wanamuuza..yes fergie akiondoka itakua pengo lakini we do have a system in place ambayo itakua tayari ku take over na ku stabilize our club ikifika wakati fergie akiamua ku retire...
 
hiyo sikubaliani na wewe...kwanza wenger hajashinda trophies zote...wenger akiondoka leo hii akaingia mwingine akashinda champions league atakua tayari ni arsenal legend....man utd yoyote atakayeingia na chochote atakachoshinda hatamzidi fergie kwa sababu tumeshashinda kila kitu, man utd tayari ina system ambayo ina improve kila season whereas arsenal they're a selling club, kila season lazima kuna player wanamuuza..yes fergie akiondoka itakua pengo lakini we do have a system in place ambayo itakua tayari ku take over na ku stabilize our club ikifika wakati fergie akiamua ku retire...

Je unajua mafanikio aliyoleta AW toka amekuja Arsenal? nje ya makombe aliyochukua? nani mwingine klabu yeyote duniani ameyafanya nitajie!

Ferguson's retirement syndrome itasumbua hakuna cha culture wala jadi you will feel it may be next season if we have to believe David Whelan

liverpool Daglish's syndrome mpaka wakamrudisha wapi? Newcastle waliwahi kukaribia ubingwa mwaka 1995 chini ya KEEGAN wakaona wamrejeshe tena miaka 3 nyuma ila wapi?

UNAJIPA matumaini no coach who will come to Manure and settle quickly unless football is magic nowdays
 
RDM kaonyeshwa exit door,Mark Hughes naye katimuliwa...Je, AW(a.k.a Mugabe) atang'oka au ndio utabaki usemi wa ''In Arsene we sufferingly trust''??

Do we need to urgue? I wonder!

Kuna wengine wananembo za
Fungie hapa hawafahamu kwamba Fungie ushindi wake mwingi ni wa bahasha, I mean ''brown envelopes'' hence mzee wa bahasha hata muda huwa unaongezwa ili mradi tu ashinde huyu naye unaweza kusema ni kocha mzuri ... .... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee

BTW hivi kama Gunners ni wachovu hivyo, mnafanya nini kwenye uzi wa Gunners .... .. hii yote inaonyesha jinsi tunavyowanyima usingizi kudos Prof.
 
Do we need to urgue? I wonder!

Kuna wengine wananembo za
Fungie hapa hawafahamu kwamba Fungie ushindi wake mwingi ni wa bahasha, I mean ''brown envelopes'' hence mzee wa bahasha hata muda huwa unaongezwa ili mradi tu ashinde huyu naye unaweza kusema ni kocha mzuri ... .... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee

BTW hivi kama Gunners ni wachovu hivyo, mnafanya nini kwenye uzi wa Gunners .... .. hii yote inaonyesha jinsi tunavyowanyima usingizi kudos Prof.

Wacha1 hebu wacha maneno ya vijiwe vya kahawa.If you got any proof of the so called 'brown envelopes' mambo jumbo weka jukwaani hapa b'se as far as am concerned kama hii 'ghost phenomenon' ingekuwepo nyie mngekuwa wa kwanza kuifanyia kazi due to the desert-like state of your trophy cabinets.
Hivi nani anaweza kukosa usingizi kisa huyo Prof. Majimarefu????!!!!Jana dhidi ya Aston Villa hadi nilimuonea huruma ananyeshewa na mvua kisa kutoa maelekezo kwa wachezaji tasa waliojichokea.
Poleni sana but honestly this looks like another msimu-kapa kwenu.
 
Last edited by a moderator:
Je unajua mafanikio aliyoleta AW toka amekuja Arsenal? nje ya makombe aliyochukua? nani mwingine klabu yeyote duniani ameyafanya nitajie!

Ferguson's retirement syndrome itasumbua hakuna cha culture wala jadi you will feel it may be next season if we have to believe David Whelan

liverpool Daglish's syndrome mpaka wakamrudisha wapi? Newcastle waliwahi kukaribia ubingwa mwaka 1995 chini ya KEEGAN wakaona wamrejeshe tena miaka 3 nyuma ila wapi?

UNAJIPA matumaini no coach who will come to Manure and settle quickly unless football is magic nowdays

haya nyie mlikua highbury mkajenga uwanja mkahamia emirates..so ndio kinachomfanya wenger anakua ana kiburi sio? mnasahau kitu kimoja kama fans uwanja sio issue...emirates mlikua invincibles, mlishinda 3 PL trophies... haya toka mmehamia emirates mmeshinda nini? jana wenger kawa mwekundu anaulizwa ana nini cha kuwaambia fans wake kua wamekuja mpaka birmingham na hawajashinda...its not easy being a gooner fan at the moment
 
Wacha1 hebu wacha maneno ya vijiwe vya kahawa.If you got any proof of the so called 'brown envelopes' mambo jumbo weka jukwaani hapa b'se as far as am concerned kama hii 'ghost phenomenon' ingekuwepo nyie mngekuwa wa kwanza kuifanyia kazi due to the desert-like state of your trophy cabinets.
Hivi nani anaweza kukosa usingizi kisa huyo Prof. Majimarefu????!!!!Jana dhidi ya Aston Villa hadi nilimuonea huruma ananyeshewa na mvua kisa kutoa maelekezo kwa wachezaji tasa waliojichokea.
Poleni sana but honestly this looks like another msimu-kapa kwenu.


Hivi unapoongelea prof. unafikiri ni title kama ile aliyopewa kwa huruma huyo Fungie wenu? Prof. tangu aje Gunners kesha nyakua makombe kibao au unataka tuanze kushangilia/kushabikia timu wakati wewe ulipozaliwa au ulipokuwa na ufahamu wa kujihusisha na timu yoyote? Wake up and stop to be a paranoia. Kwani msimu huu au uliopita nyinyi mlishinda nini zaidi ya kucheza kwenye channel 5? Hata huyo Judas tumewapa bado mnaweweseka weweseka tu, asipofunga mko taabani shukuruni brown envelopes but time is coming very soon ndio chababu mnaanza kuweka sanamu hovyo hovyo. Mwaka huu hamuwezi kushinda kwa kutumia mashoga wazee chijui mtatoka vipi? Khe khe khe khe khe
khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


BTW prof pale alikuwa kazini na Gunners wanamlipa takriban £8 million kunyeshewa na mvua wakati wa mechi ni part and parcel of the job, wewe kazi yako usiyonyeshewa na mvua unalipwa kiasi gani? Ati umuonee huruma phew!

haya nyie mlikua highbury mkajenga uwanja mkahamia emirates..so ndio kinachomfanya wenger anakua ana kiburi sio? mnasahau kitu kimoja kama fans uwanja sio issue...emirates mlikua invincibles, mlishinda 3 PL trophies... haya toka mmehamia emirates mmeshinda nini? jana wenger kawa mwekundu anaulizwa ana nini cha kuwaambia fans wake kua wamekuja mpaka birmingham na hawajashinda...its not easy being a gooner fan at the moment

Wacha fujo, ndio umbeya wenyewe huo, mbona prof alilijibu hilo swala kwenye Press conference yake, ni kama kwenye familia wakipigana wewe unaingilia kama nani? Nenda kauguze mashoga Trashford. Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
haya nyie mlikua highbury mkajenga uwanja mkahamia emirates..so ndio kinachomfanya wenger anakua ana kiburi sio? mnasahau kitu kimoja kama fans uwanja sio issue...emirates mlikua invincibles, mlishinda 3 PL trophies... haya toka mmehamia emirates mmeshinda nini? jana wenger kawa mwekundu anaulizwa ana nini cha kuwaambia fans wake kua wamekuja mpaka birmingham na hawajashinda...its not easy being a gooner fan at the moment

Vilabu vinaendeshwa kwa mambo mawili 1. Kupata pesa 2.makombe haya Arsene amekuja akamrithi Bruce Rioch october 1996 na wakati huo tukiitwa " Boring boring Arsenal"

akabadili timu kuwa Top club kwani toka kuondoka kwa George Graham hakukuwa na ushindani dhidi ya Man utd ila Newcastle,blackburn,Liverpool,Everton walikuwa wanajitutumua Arsenal ilikuwa HOI

mfaransa kaja hajulikani kaibadisha timu na kutwaa ubingwa msimu wake wa Pili...najua hujui ila nikikwambia ndo utakuwa umejua

yafuatayo ni mafanikio makubwa ya Arsene nje ya makombe

1.Yeye ndo aliyeleta wazo la kujenga Training groud and facilities za kisasa pale LONDON COLNEY

2.Kuhama Highbury (40,000 seats) kwenda Emirates kwa kutumia Rasilimali za mapato ya klabu ni wazo lake (pesa ya uwanja ilikopwa na inalipwa every summer)

3. Nani alimjua Vieira,Henry,Cole,Ljungberg na wengineo kama George Weah kama si uwezo wake wa ku-spot vipaji who else? ARSENE

4.Chini ya AW ameweka rekodi ya timu bora kwa miaka 20 ya EPL mwaka 2004

5.misimu 15 mfululizo ameshiriki Top European competition

Mlitaka tukae kiwanja kama cha CHAMAZI cha Azam watu 40,000?

Nitajie kocha mwingine alieweza kushiriki UCL kwa miaka 15 mfululizo kwa Tight budget kama AW? Najua mashabiki tuko na stress ila mkae mkijua Arsenal culture yao ni self sustainable model na kocha gani atapata mafanikio bila kuwepo matajiri kama Glazer,Roman,Mansoor?

PLEASE layoff from the Old man he is preparing what we will benefit for many years to come especially when FFP will be full intalled in 2 years

suppose hii timu mliyonayo mumpatie Pep mnaweza kushinda 8 Epl games kwa Comebacks?? Once you will see the 70 year old retires then you will understand how to go trophless for seasons
 
Back
Top Bottom