Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi ikatokea kwenye Champions league hatua ya mtoano tukakutana na moja Kati ya timu hizi -

Man u, R.Madrid, Barcelona, Borusia Dortmond...Je tutatoka? Au sisi ni wasindikizaji tu? Maana
hatuna timu ya kucheza na timu hizo hapo juu
 
Hivi ikatokea kwenye Champions league hatua ya mtoano tukakutana na moja Kati ya timu hizi -

Man u, R.Madrid, Barcelona, Borusia Dortmond...Je tutatoka? Au sisi ni wasindikizaji tu? Maana
hatuna timu ya kucheza na timu hizo hapo juu

Wanachapika wote hao....
 
Chifu, thibitisha kauli yako. Thibitisha kwa mimi nilikuwa shabiki wa Liverpool.
La sivyo, nitake radhi.

Man sawa .. basi tumekuelewa we manure damu ... Tulia sasa uienjoy soccer la ukweli.. ambalo unaliona barca tu
 
Hivi ikatokea kwenye Champions league hatua ya mtoano tukakutana na moja Kati ya timu hizi -

Man u, R.Madrid, Barcelona, Borusia Dortmond...Je tutatoka? Au sisi ni wasindikizaji tu? Maana
hatuna timu ya kucheza na timu hizo hapo juu

Man utd,B.dortmund ni wa kawaida kama tukicheza mpira wa kazi tunapata matokeo hapo kiboko Ni Barca na Madrid ni kuomba kuwaepuka si timu za kucheza nazo
 
Man utd,B.dortmund ni wa kawaida kama tukicheza mpira wa kazi tunapata matokeo hapo kiboko Ni Barca na Madrid ni kuomba kuwaepuka si timu za kucheza nazo

Mpira wa kazi?!? Tumewakalisha chini mara ngapi sasa? Hivi mara ya mwisho Gooners kuifunga Man U ni lini vile?

Tena, mkipangwa na sisi UCL, tutawatupia sana. Mpaka siku hiyo Wenger ataomba koti la Fergie. Maana naona mnafikiri kuwa na souvenir ya Man U mnaweza kufuta kijela chake cha makombe.
 

Attachments

  • d4c9f47981c347c313bd3b97dab01585.jpg
    d4c9f47981c347c313bd3b97dab01585.jpg
    16.9 KB · Views: 22
Mpira wa kazi?!? Tumewakalisha chini mara ngapi sasa? Hivi mara ya mwisho Gooners kuifunga Man U ni lini vile?

Tena, mkipangwa na sisi UCL, tutawatupia sana. Mpaka siku hiyo Wenger ataomba koti la Fergie. Maana naona mnafikiri kuwa na souvenir ya Man U mnaweza kufuta kijela chake cha makombe.

Ngoja tuangalie mpira we shabiki wa Liverpool malumbano baadae
 
Ngoja tuangalie mpira we shabiki wa Liverpool malumbano baadae

Chifu, mbona tuandikie mate wakati wino upo, thibitisha kama mimi ni shabiki wa Liverpool.

La sivyo utakuwa mpayukaji tu kama walivyo washabiki wa Arsenal. Oooppps, kumbe wewe ni Goner!!
 
viungo wanatakiwa wawe wabunifu sana kwenye hii gemu.. so far unaburudisha
 
Ok Nadhani Wenger amefanya rotation.Leo .. good move ....

J5 tutawafuata Everton lazima afanye mabadiliko .... Jenkinson na Gibbs wapate some matches ... ... ..

Chifu, mbona tuandikie mate wakati wino upo, thibitisha kama mimi ni shabiki wa Liverpool.

La sivyo utakuwa mpayukaji tu kama walivyo washabiki wa Arsenal. Oooppps, kumbe wewe ni Goner!!

Wacha fujo angalia mpira ... ..
 
J5 tutawafuata Everton lazima afanye mabadiliko .... Jenkinson na Gibbs wapate some matches ... ... ..



Wacha fujo angalia mpira ... ..

At United, winning is our philosophy. Robin is already adapting to the philosophy.
 

Attachments

  • 6a4c1148f17eee7b5b1bf2e651376154.jpg
    6a4c1148f17eee7b5b1bf2e651376154.jpg
    23.9 KB · Views: 20
Lackadaisical performance. Goners' style.


Usiwe na shaka kabumbu linachezwa kwa sheria ... ... ... hakuna kubebwa hapa kama Old trashfold ... ... ... .. au kutumia brown envelopes .. .. .
 
Back
Top Bottom