mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
Hivi ikatokea kwenye Champions league hatua ya mtoano tukakutana na moja Kati ya timu hizi -
Man u, R.Madrid, Barcelona, Borusia Dortmond...Je tutatoka? Au sisi ni wasindikizaji tu? Maana
hatuna timu ya kucheza na timu hizo hapo juu
Man u, R.Madrid, Barcelona, Borusia Dortmond...Je tutatoka? Au sisi ni wasindikizaji tu? Maana
hatuna timu ya kucheza na timu hizo hapo juu