Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

nimeipenda playing spirit ya AV arsenal wakiendelea kufanya masihala hata hiyo point moja pia wataikosa
 
first half tulicheza vizuri almost in all aspects ila kwenye hii half ya pili mmh! mmh! najionea mauza uza tu
 
Umhh hali mbaya. Ramsey ana gundu match zote anazoanza
 
Umhh hali mbaya. Ramsey ana gundu match zote anazoanza

anajitahidi tatizo he cannot make accurate shots akipiga anapaisha lakini tusimuonee kacheza fresh Villa wameitafuta sana hiyo Point moja kwa kujaza Mabeki wengi
 
Wenger bana......

Sijui naipeleka wapi Arsenal............

huyu mzee hana malengo mazuri na hii timu kwa kweli coz hata wanayoyafanya wachezaji wake yeye ndo mhusika mkuu wa yote haya anyway it was entertaining and competitive football
 
Do you believe in luck and curse? I though football is more about Tactics?

pia .... Santi needs a rest!leo ulikuwa ukimuona kachoka.. ramsey ni wa kutokea bench sub! ... kama yule dogo wa manure anakuwa mzuri akitokea sub akianza match ndo vile tena
 
Back
Top Bottom