ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
mkuu hii derby inamaana kubwa sana kwa king henry! namuona kaja uwanjani .. yupo nervous kinoma!...
umeona enheee full kunawa hewa anatamani awe yeye ndio anapewa pande na wakoti teo..
mkuu hii derby inamaana kubwa sana kwa king henry! namuona kaja uwanjani .. yupo nervous kinoma!...
kweli mkuu nimeami sasa kama unatoka katavi kweli..... Ht tushagonga tatu moja.. si nchezo tukaze buti tuwasijerudisha
Kumbe Wacha Moko ni Bra??? Nilikua siijui hii...anyway akija atajibu...
Ushindi leo muhimu, hata wawe 6...!Du!! mambo yanazidi kunoga!!!
Sipati picha kelele za AVB zitaishia wapi baada ya hii Derby!!
LEO!!!!! haya bana....
NGOJA Wenger amrufishe Ramsey kwenye first eleven yake
Tuombe mungu wachezaji wetu wapate moyo huko mbeleni