Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ninajipa moyo ngoja nisubiri January Arsene atatwambia nini labda hakuna biashara sokoni, kwa kweli leo siku yangu imeharibika sana tu
Arteta asingepiga penat kwasababu alikuwa kakamia kama kurejesha goli lake
Kwani vipi hatuna mtu wa uhakika wa penalt?
 
Wazee wa clean sheet naona mnafanya mambo yenu! Arse fans: "Clean sheet is like winning the league".
Vipi Steve Bould, bado yupo?
 
Babu mpira unakuwa ball to hand pale mikono inapokuwa chini .. unaponyanyua au kupeleka mkono. Uelekeo wa.mpira ni.penaltyn .. Nenda kaangalie ile footage tena .. Mbona mnataka.kulazimishwa tunabebwa😀 bana kama.manure .. Goners wakishinda siku zote ni soccer wamepiga na lukakubali ...

Mkuu Viper, huyu kijana / bibi anayebadilisha majina kama kinyonga wala asikupe pressure bado anasumbuliwa na Romnesia ... ... we know this Dowd yupo kwenye pay roll ya bahasha alikuwa hana la kusema baada ya kumezea ile second yellow ambayo alikuwa apewe mchezaji wa cottagers lakini kwa sababu aligundua watabaki 10 akaamua kumpa Ramsey for absolutely nothing. Kila mtu alishangaa uamuzi ule, kama unavyojua tena prof siku hizi huwa halalamiki bali anaangalia tu, ona chacha jinsi wanavyomparamia Jack ambaye kacheza mechi tatu tu ... ... .. . hawapendi maendeleo ya Gunners lakini mwenyezi mungu si Athumani ligi bado mbichi kabisa hii .. .... ..... ....
 
wacha unanipa moyo kweli kadi ya pili pale kila mtu alishangaa
Mkuu Viper, huyu kijana / bibi anayebadilisha majina kama kinyonga wala asikupe pressure bado anasumbuliwa na Romnesia ... ... we know this Dowd yupo kwenye pay roll ya bahasha alikuwa hana la kusema baada ya kumezea ile second yellow ambayo alikuwa apewe mchezaji wa cottagers lakini kwa sababu aligundua watabaki 10 akaamua kumpa Ramsey for absolutely nothing. Kila mtu alishangaa uamuzi ule, kama unavyojua tena prof siku hizi huwa halalamiki bali anaangalia tu, ona chacha jinsi wanavyomparamia Jack ambaye kacheza mechi tatu tu ... ... .. . hawapendi maendeleo ya Gunners lakini mwenyezi mungu si Athumani ligi bado mbichi kabisa hii .. .... ..... ....
 
Wazee wa clean sheet naona mnafanya mambo yenu! Arse fans: "Clean sheet is like winning the league".
Vipi Steve Bould, bado yupo?

Yupo sana tu! Ila inaonekana AW keshamzidi nguvu na philosophy za attacking football with sloppy defense au labda Aliona atamzidi Umaarufu....Mwisho wa yote haya si mzuri
 
Mkuu Viper, huyu kijana / bibi anayebadilisha majina kama kinyonga wala asikupe pressure bado anasumbuliwa na Romnesia ... ... we know this Dowd yupo kwenye pay roll ya bahasha alikuwa hana la kusema baada ya kumezea ile second yellow ambayo alikuwa apewe mchezaji wa cottagers lakini kwa sababu aligundua watabaki 10 akaamua kumpa Ramsey for absolutely nothing. Kila mtu alishangaa uamuzi ule, kama unavyojua tena prof siku hizi huwa halalamiki bali anaangalia tu, ona chacha jinsi wanavyomparamia Jack ambaye kacheza mechi tatu tu ... ... .. . hawapendi maendeleo ya Gunners lakini mwenyezi mungu si Athumani ligi bado mbichi kabisa hii .. .... ..... ....

I like you Wacha1 you are absolutely a true gunners fan in TZ and JF kweli kaka angu hope haya ma stress yataisha one day! Lets wait kila kilicho na mwanzo kina mwisho
 
Last edited by a moderator:
:biggrin1: najaribu kupekua comments zao angalau nione kama kuna hata mmoja amekubali kua leo walibebwa ile penati ya mwisho na refa lakini wote kimya kama vile haijatokea :happy: uliona sura ya babu wenger wakati arteta kakosa penati? alikua kaumuka afu kawa wa pink....chezeya stress za arsenal

----------------------------------------------------
Kwa hiyo siku hizi mchezaji akiunawa mpira ndani ya 18 sio penati au ni kwa Arsenal tu ndo mnadai haikutakiwa iwe penati? Tunajua Man utd kila siku mnabebwa, hilo ni dhahiri hata kipofu anaweza kuthibitisha.
 
Wakuu T5 alicheza nafasi ya Jenkinson majeruhi sio namba yake ile ... .. Manone hakuweza kufua dafu tu na Carz mpira umemkataa siku mbili tatu hizi ... ... msisahau greater London ina timu sita kwenye EPL chacha hizo ni derby point 30. So far tumepoteza point 4 tumeambulia point 4 point 22 bado hazina mwenyewe ... ... .... mpira unadunda ... .... ...
 
----------------------------------------------------
Kwa hiyo siku hizi mchezaji akiunawa mpira ndani ya 18 sio penati au ni kwa Arsenal tu ndo mnadai haikutakiwa iwe penati? Tunajua Man utd kila siku mnabebwa, hilo ni dhahiri hata kipofu anaweza kuthibitisha.

kasome sheria za mpira kwanza alafu ndio uje tuzungumzee vizuri, sitaki kubishana na mtu ambae hajui sheria ya mpira ya kimataifa..sio sheria za soka la temeke
 
Wakuu T5 alicheza nafasi ya Jenkinson majeruhi sio namba yake ile ... .. Manone hakuweza kufua dafu tu na Carz mpira umemkataa siku mbili tatu hizi ... ... msisahau greater London ina timu sita kwenye EPL chacha hizo ni derby point 30. So far tumepoteza point 4 tumeambulia point 4 point 22 bado hazina mwenyewe ... ... .... mpira unadunda ... .... ...




What do you expect from Woolwich NOMADS!
Fourth is like winning a trophy! Good ambition! hahahahhaaaa! Loser!
 
nasubiri kusikia kilio cha arsenal fans kesho wakati spurs wanaongoza 1-0 utasikia 'we want our arsenal back' sie tulio neutrals tutakua tunachekelea tuuu
 
nasubiri kusikia kilio cha arsenal fans kesho wakati spurs wanaongoza 1-0 utasikia 'we want our arsenal back' sie tulio neutrals tutakua tunachekelea tuuu

its a derby day!...:becky::becky::majani7:




 
Last edited by a moderator:
Arsenal XI: Szczesny, Sagna, Per, Koscielny, Vermaelen (c), Arteta, Wilshere, Cazorla, Walcott, Podolski, Giroud. Come on you Arsenal
 
Back
Top Bottom