Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
giroud naye ni matatizo matupu anyway its a good finish
Giroud sio Tatizo... hana Supply....
giroud naye ni matatizo matupu anyway its a good finish
Lakers wamemtimua Mike Brown na wamepata ushindi... japo walishinda hata game moja wakati Mike Brown akiwa Incharge... nasi tumchomoe AW???
Wenger sijui anampendea nini huyu RAMSEY....
Huyu mzee ni very conservative na anakariri sana!!!Wenger sijui anampendea nini huyu RAMSEY....
Giroud sio Tatizo... hana Supply....
4. Kalegea sanamkuu kama unamfutilia kwa uzuri utayaona haya 1.ball control yake iko hovyo 2.ball possession yake hairidhishi 3.pass zake hazina uhakika (mpotezaji mzuri wa mipira) mengine ongezea
4. Kalegea sana