1st 11 ya leo vipi wakuu
:biggrin1: no we love arsene and long may he continue...he's the reason why man u beat arsenal all the time, any decent manager with his brain would not play santos as left back for arsenal...so in arsene we all trust....WENGER WENGER WENGER :biggrin1:
Mtakalia tu leo! Hahaha, kazi mnayo! Shangilieni sana, David njoo The Blues bana, achana na hawa wakamata mitutu!
naona kama uwanja unagape gape kwenye viti vya chini...ndo mgomo unaanza mdogo mdogo nini?
Mahudhurio ya kawaida mbona .. open game so far
podoskiii...2-0 dk 22
hee mshafika huko duu...