Wakubali wakatae pengo aliloliacha Alex Song ni kubwa sasa hivi kuliko lililoachwa na RVP. Mechi kama sita sasa tunazidiwa maarifa katikati kuliko kufunga magoli. Mikel Arteta naona anashindwa kuwika katikati sababu hana partner mwenye kiwango alichokuwa nacho Song.
Msimu huu tukishindwa kupata nafasi ya CL itakuwa jambo zuri kimaendeleo. Vizee vitaona umuhimu wa kumwaga pesa na kuacha ubahiri. Mrusi apewe timu amwage pesa, jamaa ni tajiri kuliko Roman Abromovich nina uhakika anaweza kuturudisha tulipokuwa miaka kumi iliyopita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.