giroud alipata kiwewe nini hadi akachimba chini?
T5 kwa Manyu aliteleza leo Carz naye kateleza kuna umuhimu wa kubadili viatu nini?
:biggrin1: mnatakiwa mbadilishe wachezaji....wachezaji wenu wabovu ndio maana mpo hapo mlipo...eti mbadilishe viatu :biggrin1: unanifurahisha