Ramsey kafunga, tutegemee habari gani baadaye??
Giroud yeye ni mtu wa kukosakosa tu
Hongera kwa kutufungia but huu ni mkosi!Nimependa goli la Ramsey
ft city 1- 1 bvb
Three scorers from Arsenal, unlike a certain team which rides on the back of one player for goals whilst the rest of the team spend most of their time praying that he doesn't get injured.
mtotowamjini a comment from an arsenal fan
ni li timu gani hilo analozungumzi hebu nisaidie
:madgrin:
Ramsey kafunga leo tujiandae kutuma rambirambi zetu
CHICHA, RAFAEL,KAGAWA,POWELL, SCHOLES, BUTTNER, RVP have all scored this season, so when you say we depend on one player sikuelewi, last season do you know how many players scored wa united? lemme ask you...toa magoli ya RVP last season mngemaliza wa ngapi kwenye ligi? msingekua mnacheza CL mwaka huu isingekua RVP na cha ajabu nyie ni fake fans hamko real kwa sababu mpaka leo hii WENGER anasemaga bado anamuangalia RVP akicheza na kinamuuma akimuona anafunga magoli kwa utd kwa sababu hua anasema RVP amevaa jezi ambayo si yenyewe meaning he should still be playing for arsenal, he wanted RVP to remain at arsenal, nyie washabiki feki hapa mnaanza kumponda...hamna hata aibu babu yenu mpaka leo hii anamsifia.
CHICHA, RAFAEL,KAGAWA,POWELL, SCHOLES, BUTTNER, RVP have all scored this season, so when you say we depend on one player sikuelewi, last season do you know how many players scored wa united? lemme ask you...toa magoli ya RVP last season mngemaliza wa ngapi kwenye ligi? msingekua mnacheza CL mwaka huu isingekua RVP na cha ajabu nyie ni fake fans hamko real kwa sababu mpaka leo hii WENGER anasemaga bado anamuangalia RVP akicheza na kinamuuma akimuona anafunga magoli kwa utd kwa sababu hua anasema RVP amevaa jezi ambayo si yenyewe meaning he should still be playing for arsenal, he wanted RVP to remain at arsenal, nyie washabiki feki hapa mnaanza kumponda...hamna hata aibu babu yenu mpaka leo hii anamsifia.
Let me tell you mi pal,sawa nakubaliana na wewe RVP banged 37 goals peke yake msimu uliopita na yale magoli yalitusaidia sana.Lakini RVP aliweza ku-bang goli zote zile kutokana na upendeleo na cheo alichopewa,pasi zote za mwisho za magoli zilikuwa zikimlenga yeye,jiulize alikuwa wapi RVP enzi za va va vu?,huyu gervinho alikuwa wapi enzi za RVP? Nakwambia kaka Gervinho atatupia sana mwaka huu japo sio lazima amfikie RVP idadi ya magoli.Kila timu inapokuwa na one clinical finisher,kaa ukijua kuna watu wengine wanakuwa na uwezo wao ila wanakua wanatembea chini ya kivuli cha mtu mmoja,huyo mtu akiondoka wataonekana tu kwenye daylight.Kwa hiyo kwetu sie,podolski,walcot,gervinho na siku si nyingi Giroud watafaa kuwa best finishers,I salute you in the name of the game.CHICHA, RAFAEL,KAGAWA,POWELL, SCHOLES, BUTTNER, RVP have all scored this season, so when you say we depend on one player sikuelewi, last season do you know how many players scored wa united? lemme ask you...toa magoli ya RVP last season mngemaliza wa ngapi kwenye ligi? msingekua mnacheza CL mwaka huu isingekua RVP na cha ajabu nyie ni fake fans hamko real kwa sababu mpaka leo hii WENGER anasemaga bado anamuangalia RVP akicheza na kinamuuma akimuona anafunga magoli kwa utd kwa sababu hua anasema RVP amevaa jezi ambayo si yenyewe meaning he should still be playing for arsenal, he wanted RVP to remain at arsenal, nyie washabiki feki hapa mnaanza kumponda...hamna hata aibu babu yenu mpaka leo hii anamsifia.