Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Dakika ya 40
Lierpool 0-1 Arsena
Lierpool 0-1 Arsena
Ni Podolski...Lile shuti lingekua na energy ya kutosha ingekuwa Vema sana.....Who will be the first one to score????? Giroud, Podolski au Carzola????
Mkuu, mie siyo mgeni ila ua nakuja hapa nasoma coment zenu kisha nachanganya na zangu kichwani nakula chocho....Sasa timu yenyewe kama inashabikiwa na watu kama wakina Rejeo magamba kweli tunatimu hapa?Kumbe wewe mgeni wa thread hii na ndio maana unakuwa na mashakamashaka.
Dah....!! Jamaa sijui vipi leo.***** Giroud..... unataka upate nafasi ya aina gani ndo ufunge???????
***** Giroud..... unataka upate nafasi ya aina gani ndo ufunge???????
Dah....!! Jamaa sijui vipi leo.
Mkuu, mie siyo mgeni ila ua nakuja hapa nasoma coment zenu kisha nachanganya na zangu kichwani nakula chocho....Sasa timu yenyewe kama inashabikiwa na watu kama wakina Rejeo magamba kweli tunatimu hapa?
labda na ugeni wa ligi nao umechangia.sio leo tu tokea mechi ya kwanza alikosa kama hilo
Mkuu, mie siyo mgeni ila ua nakuja hapa nasoma coment zenu kisha nachanganya na zangu kichwani nakula chocho....Sasa timu yenyewe kama inashabikiwa na watu kama wakina Rejeo magamba kweli tunatimu hapa?
Ni Man Utd Damu.....