Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mjue Nuri Sahin.

Ni raia wa Uturuki na ana umri wa miaka 23.

Maskauti wa Arsenal walimgundua Sahin alipokuwa akichezea timu ya taifa ya vijana ya Uturuki mwaka 2005 kule nchini Peru, kwenye mashindano ya kombe la dunia la vijana chini ya miaka 17.

Ni mchezaji wa kwanza mdogo kucheza ligi kuu ya Germany Bundesliga akiwa na miaka 16 katika timu ya Borussia Dotrmund.

Akiwa Dortmund alicheza na Thomas Rosicky kwahio itakuwa rahisi kuonyeshwa mazingira ya Arsenal.

Sahin akiwa Borussia Dortmund katika msimu wa 2010/11 BD walitwaa ubingwa wa Bundesliga na Sahin akatangazwa mchezaji bora.

298580.jpg


Msimu wa 2011/12 nchini Hispania ndipo Real Madrid walipomsajili ingawa hajacheza msimu mzima kutokana na kuumia.
 
Mjue Nuri Sahin.

Ni raia wa Uturuki na ana umri wa miaka 23.

Maskauti wa Arsenal walimgundua Sahin alipokuwa akichezea timu ya taifa ya vijana ya Uturuki mwaka 2005 kule nchini Peru, kwenye mashindano ya kombe la dunia la vijana chini ya miaka 17.

Ni mchezaji wa kwanza mdogo kucheza ligi kuu ya Germany Bundesliga akiwa na miaka 16 katika timu ya Borussia Dotrmund.

Akiwa Dortmund alicheza na Thomas Rosicky kwahio itakuwa rahisi kuonyeshwa mazingira ya Arsenal.

Sahin akiwa Borussia Dortmund katika msimu wa 2010/11 BD walitwaa ubingwa wa Bundesliga na Sahin akatangazwa mchezaji bora.

298580.jpg


Msimu wa 2011/12 nchini Hispania ndipo Real Madrid walipomsajili ingawa hajacheza msimu mzima kutokana na kuumia.



FACT 1: Not good enough to break into Madrid first eleven.
FACT 2: Arsenal is now relying on the loan deals, a sign of a club in decline.
 
FACT 1: Not good enough to break into Madrid first eleven.
FACT 2: Arsenal is now relying on the loan deals, a sign of a club in decline.



fact # 2 - si kweli kwanini usajili wake unasuasua sababu tunataka kumchukuwa permanetly na kuna uwezekano asije kabisa since madrid wanataka mkopo tu! habari nimetoa daily mail hii -
Sahin saga takes new twist with Liverpool set to beat Arsenal to loan of midfielder

The on-going transfer saga of Real Madrid's Nuri Sahin has taken another twist as Liverpool and not Arsenal look set to land the midfielder.The player's agent, Reza Fazeli, travelled to meet the Anfield club's hierarchy and iron out the details of the deal.


On Monday it looked as if a deal had been done to take the player from the Bernabeu to Arsenal but Madrid changed the course of events when it told the playmaker that the Gunners were unwilling to accept a loan deal and were pushing for a permanent transfer.And neither Madrid nor Sahin himself were happy with this arrangement.And now Liverpool, who were the first club to show an interest in the player look to be back in the driving seat.

Arsenal ni zaid ya uijuavyo! mkuu! club makini hana nia ya kukaa baada ya loan mlango upo wazi ..

source Nuri Sahin set to join Liverpool and not Arsenal | Mail Online

Sahin saga takes new twist with Liverpool set to beat Arsenal to loan of midfielder
 
fact # 2 - si kweli kwanini usajili wake unasuasua sababu tunataka kumchukuwa permanetly na kuna uwezekano asije kabisa since madrid wanataka mkopo tu! habari nimetoa daily mail hii -
Sahin saga takes new twist with Liverpool set to beat Arsenal to loan of midfielder

The on-going transfer saga of Real Madrid's Nuri Sahin has taken another twist as Liverpool and not Arsenal look set to land the midfielder.The player's agent, Reza Fazeli, travelled to meet the Anfield club's hierarchy and iron out the details of the deal.


On Monday it looked as if a deal had been done to take the player from the Bernabeu to Arsenal but Madrid changed the course of events when it told the playmaker that the Gunners were unwilling to accept a loan deal and were pushing for a permanent transfer.And neither Madrid nor Sahin himself were happy with this arrangement.And now Liverpool, who were the first club to show an interest in the player look to be back in the driving seat.

Arsenal ni zaid ya uijuavyo! mkuu! club makini hana nia ya kukaa baada ya loan mlango upo wazi ..

source Nuri Sahin set to join Liverpool and not Arsenal | Mail Online

Sahin saga takes new twist with Liverpool set to beat Arsenal to loan of midfielder

Du sasa hii nini tena!!
 
FACT 1: Not good enough to break into Madrid first eleven.
FACT 2: Arsenal is now relying on the loan deals, a sign of a club in decline.

Ndio ujue hali ni ngumu... Tangu lini ukasikia arsenal chelsea man u orr liverpool wanachukua loan deals ulikua husikii hiyo zamani mh mambo magumu saivi
 
FACT 1: Not good enough to break into Madrid first eleven.
FACT 2: Arsenal is now relying on the loan deals, a sign of a club in decline.

Arsenal wamesign wachezaji watatu hujasema. Ila wanamtaka mmoja kwa mkopo, eti club in decline. Arsenal hakuna shida wewe. We spend wisely.

Alafu, Sahin amesign Madrid last season na tangu afike ameandamwa na majeruhi. Sio rahisi kwa mtu kubreak kwenye 1st team kama amekua anaumia wakati wenzake wanapata a run of games. Ila kwa kuwa unataka kucriticise kila kitu cha Arsenal, endelea.
 
Ndio ujue hali ni ngumu... Tangu lini ukasikia arsenal chelsea man u orr liverpool wanachukua loan deals ulikua husikii hiyo zamani mh mambo magumu saivi

TEVEZ miaka miwili aliokaa OT mlikuwa mmenunua? napo mambo yalikuwa Magumu kwa Man Utd?
 
Arsenal wamesign wachezaji watatu hujasema. Ila wanamtaka mmoja kwa mkopo, eti club in decline. Arsenal hakuna shida wewe. We spend wisely.

Alafu, Sahin amesign Madrid last season na tangu afike ameandamwa na majeruhi. Sio rahisi kwa mtu kubreak kwenye 1st team kama amekua anaumia wakati wenzake wanapata a run of games. Ila kwa kuwa unataka kucriticise kila kitu cha Arsenal, endelea.

Carlos Tevez Man utd walimkopa West ham united...na wakati huo msimu wa 2007-2009 na Baadae Alex Fergie Akakataa kumnunua Jumla kwa £25mil Eti "hakuwa na Thamani hiyo" Watu wanayasahau ya Kwao wameikomalia Gunnerz alafu who said mchezaji akienda kwa Loan timu imedecline??
 
TEVEZ miaka miwili aliokaa OT mlikuwa mmenunua? napo mambo yalikuwa Magumu kwa Man Utd?

Tevez yule ni kampuni nafikiri fergie hatakaa anunue player mwenye complication ka yule, yeye agent wake wana demand hela za ajabu we unafikiri babu angetaka kumnunua asingeshindwa lakini wale wana issue fikiria ac milan madrid kuna kipindi walikua wanamtaka lakini demands zao zikawashinda only city cud afford him ndo mana mpaka leo yuko pale anataka kuondoka lakini hakuna pa kwenda bt huyo player arsene anamtaka on loan is nowhere near what tevez was at that time na mkicheza liverpool watamnunua
 
Du sasa hii nini tena!!

1 ) Morinho hapendi arsenal + hampendi wenger kumbuka ile issue ya ashley cole arsenal vs chelsea .. morihno alivyotuzunguka mlango wa nyumba hatimaye wakapigwa fine


2) wataka tulipe 70% ya mshahara wake 120K per week! ni pesa ambayo arsenal kamwe hawawezi kutoa! arsenal hatuna ma suger dadies ni club inayoendeshwa na principle zake na limitation ya kiwango cha mshahara .. asiyetaka huwa anaoneshwa mlango ..

3) Issue ya kumnunua moja kwa moja nacho ni kipengele ambacho madrid hawataki .. yaani mchezaji wao, aje goners ku improve, tumlipe 70% ya mshahara, mwisho wa mwaka yupo hot arudi madrid! .. wenger sio kichaa kiasi hicho..! kama akija arsenal ujue kuna benifit goners wataipata! .. ila tutasajili mchezaji 1 au 2 kabla ya dirisha kufungwa wenger alishasema...



COYG!
 
Tevez yule ni kampuni nafikiri fergie hatakaa anunue player mwenye complication ka yule, yeye agent wake wana demand hela za ajabu we unafikiri babu angetaka kumnunua asingeshindwa lakini wale wana issue fikiria ac milan madrid kuna kipindi walikua wanamtaka lakini demands zao zikawashinda only city cud afford him ndo mana mpaka leo yuko pale anataka kuondoka lakini hakuna pa kwenda bt huyo player arsene anamtaka on loan is nowhere near what tevez was at that time na mkicheza liverpool watamnunua


 
Last edited by a moderator:
1 ) Morinho hapendi arsenal + hampendi wenger kumbuka ile issue ya ashley cole arsenal vs chelsea .. morihno alivyotuzunguka mlango wa nyumba hatimaye wakapigwa fine


2) wataka tulipe 70% ya mshahara wake 120K per week! ni pesa ambayo arsenal kamwe hawawezi kutoa! arsenal hatuna ma suger dadies ni club inayoendeshwa na principle zake na limitation ya kiwango cha mshahara .. asiyetaka huwa anaoneshwa mlango ..

3) Issue ya kumnunua moja kwa moja nacho ni kipengele ambacho madrid hawataki .. yaani mchezaji wao, aje goners ku improve, tumlipe 70% ya mshahara, mwisho wa mwaka yupo hot arudi madrid! .. wenger sio kichaa kiasi hicho..! kama akija arsenal ujue kuna benifit goners wataipata! .. ila tutasajili mchezaji 1 au 2 kabla ya dirisha kufungwa wenger alishasema...



COYG!


Mkuu nimeiona hii mahali-too sad

as we enter the final stages of the summer transfer window, Football Talk will be keeping you up-to-date with all the latest transfer news. Today, Liverpool appear to have beaten Arsenal to Nuri Sahin.
The Nuri Sahin transfer-saga is set to finally come to an end with Liverpool on the verge of completing a year-long loan deal after Arsenal ended their interest in the player, according to the BBC. Both Arsenal and Liverpool have been strongly linked with a move for the Real Madrid playmaker after Jose Mourinho gave him permission to go out on loan this summer to gain first team experience, having struggled to make a breakthrough at the Bernabeu. The Turkish midfielder was expected to join Arsenal earlier this week with the 23-year-old preferring a move to north London due to the lure of champions league football. However, the deal stalled when the two clubs couldn't agree on what would happen to the player at the end of the loan spell, with Arsene Wenger believed to be insistent over having the option to buy. With both Madrid and the player keen on a straight loan deal, Arsenal ended their interest allowing Liverpool back in and they quickly agreed a deal with the Spanish giants. Sahin's agent met with Reds officials over the last 24 hours to put the finishing touches on the move. Despite the player leaning towards a move to Arsenal, Madrid were keen on him moving to Liverpool as the Anfield club offered to pay a larger proportion of the midfielders £115,000 wages, and they were also not a champions league rival. Liverpool boss Brendan Rodgers confirmed last night that he expected to complete the deal in the next 24 hours. A statement on on Liverpoolfc.com said:
"Hopefully in the next 24 hours we'll get some confirmation," "It's quite far [along]. He's a very good footballer."​
Arsenal manager Arsene Wenger is now understood to be considering a number of other targets as he looks to strengthen his midfield following the sale of Alex Song to Barcelona.
 
1 ) Morinho hapendi arsenal + hampendi wenger kumbuka ile issue ya ashley cole arsenal vs chelsea .. morihno alivyotuzunguka mlango wa nyumba hatimaye wakapigwa fine


2) wataka tulipe 70% ya mshahara wake 120K per week! ni pesa ambayo arsenal kamwe hawawezi kutoa! arsenal hatuna ma suger dadies ni club inayoendeshwa na principle zake na limitation ya kiwango cha mshahara .. asiyetaka huwa anaoneshwa mlango ..

3) Issue ya kumnunua moja kwa moja nacho ni kipengele ambacho madrid hawataki .. yaani mchezaji wao, aje goners ku improve, tumlipe 70% ya mshahara, mwisho wa mwaka yupo hot arudi madrid! .. wenger sio kichaa kiasi hicho..! kama akija arsenal ujue kuna benifit goners wataipata! .. ila tutasajili mchezaji 1 au 2 kabla ya dirisha kufungwa wenger alishasema...



COYG!

Mkuu, umeongea mambo ya muhimu sana kufuatilia na ni vizuri sisi wapenzi wa Arsenal tukiwa tunaona haya.

Nuri Sahin alikuwa London Jumatatu jioni akitaka kumalizia utaratibu wa usajili na hata kukaandaliwa hafla ya upigaji picha na jezi ambayo angevaa.

Lakini sula la mawakala kuharibu wachezaji lipo na wakala wa Sahin ambae anatoka Uturuki kama Sahin, alikuwa bado akiwasiliana na Liverpool na wakati huo huo akimshawishi mchezaji huyo kuzingatia tofauti ya 115k za Arsenal na 120k, pamoja na umuhimu wa kuchezea timu kama Real Madrid.

Arsenal walikuwa tayari kumlipa hizo 115k kwa wiki na juu ya hiyo uwezekano wa kumnunua kabisa pale atakapomaliza miezi 12 ya mkopo ambapo walitaka iwe milini 14.

Kwahio ukiangalia pia kuna sababu zingine.

1. Real Madrid hawataki Sahin aende Arsenal timu ambayo ipo kwenye champions league pamoja nao kwani kutakuwa na faida zaidi kiufundi kwa Arsenal.

2. Brendan Rodgers alifanya kazi na Mourinho wakiwa Barcelona na imekuwa rahisi kuwasiliana mara kwa mara.

3. Ni maendeleo ya wale "haters" ambao siku zote wapo kuona Arsenal hawafanikiwi kwa mipango yao ya kutumia jasho lao kujipatia faida badala ya kutafuta Sugar Dadies, kwani wapo "bus"y kuwasiliana wakijua ikiwa Arsenal wanapata another enforcer kwenye kiungo basi wana " technical advantage".

Hivyo bado Arsenal wana akiba ya kutosha kufanya usajili wa kushtukiza na utawashangaza wengi ifikapo ijumaa ijayo, na Wenger amesema leo kwamba atanunua wachezaji ikiwa pia kama watafanikiwa kuwauza wachezaji kama Arshavin, Bendtner, Squillachi, Djourou, Fabianski, Walcot, na pia kupata timu za kuwachukua kwa mkopo wachezaji wadogo kama Ramsey na Coquelin ambao bado wanahitaji uzoefu wa kutosha.

In Arsene we Trust.
 
Tevez yule ni kampuni nafikiri fergie hatakaa anunue player mwenye complication ka yule, yeye agent wake wana demand hela za ajabu we unafikiri babu angetaka kumnunua asingeshindwa lakini wale wana issue fikiria ac milan madrid kuna kipindi walikua wanamtaka lakini demands zao zikawashinda only city cud afford him ndo mana mpaka leo yuko pale anataka kuondoka lakini hakuna pa kwenda bt huyo player arsene anamtaka on loan is nowhere near what tevez was at that time na mkicheza liverpool watamnunua

Tatizo sio Demand za Ajabu issue ni Alikuja Man Utd kwa Mkopo wa miaka Miwili huku akimilikiwa na West ham na agent wake hapo ndio napopataka we timu yako iliwahi kumnunua TEVEZ??...aliponunuliwa Na city aliuzwa na nani Man u? ACHA UJANJA UJANJA issue si kumnunua mwisho wa load Deal na kama Madrid hawataki kumuuza baada ya Loan na aende Liverpool tutanunua wengine! Kumkosa mchezaji kwenye Transfer hata Mamadou Diarra,Dinho,Moura,paul Gascoine "gazza",patrick kluivert, alan shearer wote almanusra waje OT ila mkapigwa Bao...bisha tena na hapa
 
Tatizo sio Demand za Ajabu issue ni Alikuja Man Utd kwa Mkopo wa miaka Miwili huku akimilikiwa na West ham na agent wake hapo ndio napopataka we timu yako iliwahi kumnunua TEVEZ??...aliponunuliwa Na city aliuzwa na nani Man u? ACHA UJANJA UJANJA issue si kumnunua mwisho wa load Deal na kama Madrid hawataki kumuuza baada ya Loan na aende Liverpool tutanunua wengine! Kumkosa mchezaji kwenye Transfer hata Mamadou Diarra,Dinho,Moura,paul Gascoine "gazza",patrick kluivert, alan shearer wote almanusra waje OT ila mkapigwa Bao...bisha tena na hapa

Sasa nani alipigwa bao hapo? alan shearer alienda newcastle...hakushinda hata chembe!! wakati wenzie akina dwight york na andy cole walivyokubali kwenda man utd do you know what happened? they won medals...CHAMPIONS LG, CARLING CUP, FA CUP, PREMIER LEAGUE,COMMUNITY SHIELD, EUROPEAN SUPER CUP niendelee?? yeye alan shearer ukiachia ki medal alichopata akiwa blackburn ameshinda nini? anajua how it feels to play in a champions league final? afu unasema walitupiga bao...:biggrin1: ur so funny...walijipiga bao wenyewe...tulimtaka ballack akaenda chelsea coz wakati huo ndio kuna abromavich anagawa hela kama pipi...man utd won the champions lg yeye mpaka anaondoka chelsea hajashinda CL...one thing about MANCHESTER UNITED A.K.A THE RED DEVILS :shetani: ni kua you're guaranteed medals something ARSENAL AND ARSENE WENGER can not do :happy:
 
1 ) Morinho hapendi arsenal + hampendi wenger kumbuka ile issue ya ashley cole arsenal vs chelsea .. morihno alivyotuzunguka mlango wa nyumba hatimaye wakapigwa fine


2) wataka tulipe 70% ya mshahara wake 120K per week! ni pesa ambayo arsenal kamwe hawawezi kutoa! arsenal hatuna ma suger dadies ni club inayoendeshwa na principle zake na limitation ya kiwango cha mshahara .. asiyetaka huwa anaoneshwa mlango ..

3) Issue ya kumnunua moja kwa moja nacho ni kipengele ambacho madrid hawataki .. yaani mchezaji wao, aje goners ku improve, tumlipe 70% ya mshahara, mwisho wa mwaka yupo hot arudi madrid! .. wenger sio kichaa kiasi hicho..! kama akija arsenal ujue kuna benifit goners wataipata! .. ila tutasajili mchezaji 1 au 2 kabla ya dirisha kufungwa wenger alishasema...



COYG!




1) Kama kawaida wazee wa kulialia mko busy kuplay victim card. Eti Mourihno hampendi Wenger kwa sababu ya issue ya Ashley Cole, why not the opposite?!

2) Kumbe wewe ulitaka upewe mchazji wa bure na usilipe kitu, hata mshahara wakati anachezea timu yako?! Lazima uchangie sehemu ya mshahara, tatizo mnapenda na mmezoea vya bure kupita kiasi.

3) Mbona unaongea kama vile Madridi ndio wana shida wakati ukweli ni kwamba Arsenal ndio wana shida zaidi. Hauwezi kuwalazimisha Madrid wauze wakati hawataki, wao ndio wenye mchezaji hivyo ndio wanapanga terms za biashara, kama hauwezi unaacha unaangalia kwingine sio kulialia kuwa Mourihno na Madrid wanawaonea Arsenal. Kumbuka jinsi Arsenal mnavyong'ang'ania bei ya juu mnapouza wachezaji wenu kwa timu nyingine, sasa leo mnapangiwa bei nyie mnaona kama mnaonewa sana....WANAFIKI.
 
Mkuu, umeongea mambo ya muhimu sana kufuatilia na ni vizuri sisi wapenzi wa Arsenal tukiwa tunaona haya.

Nuri Sahin alikuwa London Jumatatu jioni akitaka kumalizia utaratibu wa usajili na hata kukaandaliwa hafla ya upigaji picha na jezi ambayo angevaa.

Lakini sula la mawakala kuharibu wachezaji lipo na wakala wa Sahin ambae anatoka Uturuki kama Sahin, alikuwa bado akiwasiliana na Liverpool na wakati huo huo akimshawishi mchezaji huyo kuzingatia tofauti ya 115k za Arsenal na 120k, pamoja na umuhimu wa kuchezea timu kama Real Madrid.

Arsenal walikuwa tayari kumlipa hizo 115k kwa wiki na juu ya hiyo uwezekano wa kumnunua kabisa pale atakapomaliza miezi 12 ya mkopo ambapo walitaka iwe milini 14.

Kwahio ukiangalia pia kuna sababu zingine.

1. Real Madrid hawataki Sahin aende Arsenal timu ambayo ipo kwenye champions league pamoja nao kwani kutakuwa na faida zaidi kiufundi kwa Arsenal.

2. Brendan Rodgers alifanya kazi na Mourinho wakiwa Barcelona na imekuwa rahisi kuwasiliana mara kwa mara.

3. Ni maendeleo ya wale "haters" ambao siku zote wapo kuona Arsenal hawafanikiwi kwa mipango yao ya kutumia jasho lao kujipatia faida badala ya kutafuta Sugar Dadies, kwani wapo "bus"y kuwasiliana wakijua ikiwa Arsenal wanapata another enforcer kwenye kiungo basi wana " technical advantage".
Hivyo bado Arsenal wana akiba ya kutosha kufanya usajili wa kushtukiza na utawashangaza wengi ifikapo ijumaa ijayo, na Wenger amesema leo kwamba atanunua wachezaji ikiwa pia kama watafanikiwa kuwauza wachezaji kama Arshavin, Bendtner, Squillachi, Djourou, Fabianski, Walcot, na pia kupata timu za kuwachukua kwa mkopo wachezaji wadogo kama Ramsey na Coquelin ambao bado wanahitaji uzoefu wa kutosha.

In Arsene we Trust.




Mkuu Richard punguza kulia na kujifanya victim kila wakati. Reasoning yako hapo mwisho (3) kwanmba kuna haters wanawafanyia roho mbaya inapingana kabisa na sababu ulizosema hapo juu kwamba agent wa Sahin ndio alikuwa na influence kwenye kufanya decision. Nashangaa sana inakuwa vipi mtu unaweza kuandika vitu viwili vinavyopingana kwenye same issue?
Are you sure Sahin is enforcer?!
 
1) Kama kawaida wazee wa kulialia mko busy kuplay victim card. Eti Mourihno hampendi Wenger kwa sababu ya issue ya Ashley Cole, why not the opposite?!

2) Kumbe wewe ulitaka upewe mchazji wa bure na usilipe kitu, hata mshahara wakati anachezea timu yako?! Lazima uchangie sehemu ya mshahara, tatizo mnapenda na mmezoea vya bure kupita kiasi.

3) Mbona unaongea kama vile Madridi ndio wana shida wakati ukweli ni kwamba Arsenal ndio wana shida zaidi. Hauwezi kuwalazimisha Madrid wauze wakati hawataki, wao ndio wenye mchezaji hivyo ndio wanapanga terms za biashara, kama hauwezi unaacha unaangalia kwingine sio kulialia kuwa Mourihno na Madrid wanawaonea Arsenal. Kumbuka jinsi Arsenal mnavyong'ang'ania bei ya juu mnapouza wachezaji wenu kwa timu nyingine, sasa leo mnapangiwa bei nyie mnaona kama mnaonewa sana....WANAFIKI.

Kuna fact kiasi hapa...ila all in all deal likigoma mpaka next friday atakuja DM mwingine...eti kuna jamaa anasema Victor Moses ni striker...hivi watu huwa wanatizama mpira kwa club zao peke yake tuu? DE SANTO,GOMEZ,RODALLEGA msimu uliopita sijui walikuwa ni akina nani kama Moses ni striker....Wigan kujua kuwa watamuuza Wakaleta winger kwa MKOPO toka Gunners akiitwa Rio Miyaichi
 
Mkuu Richard punguza kulia na kujifanya victim kila wakati. Reasoning yako hapo mwisho (3) kwanmba kuna haters wanawafanyia roho mbaya inapingana kabisa na sababu ulizosema hapo juu kwamba agent wa Sahin ndio alikuwa na influence kwenye kufanya decision. Nashangaa sana inakuwa vipi mtu unaweza kuandika vitu viwili vinavyopingana kwenye same issue?
Are you sure Sahin is enforcer?!

Of course jamaa yuko sawa! Lakini club ya madrid bana mchezaji anaweza enda yakamkuta...muulize Van der vaat,robben,schneider,drenthe,gago,huntelaar, mamadou Diarra,kaka etc kuwa bench si kuwa HAWEZI hapo nakupinga
 
1 ) Morinho hapendi arsenal + hampendi wenger kumbuka ile issue ya ashley cole arsenal vs chelsea .. morihno alivyotuzunguka mlango wa nyumba hatimaye wakapigwa fine


2) wataka tulipe 70% ya mshahara wake 120K per week! ni pesa ambayo arsenal kamwe hawawezi kutoa! arsenal hatuna ma suger dadies ni club inayoendeshwa na principle zake na limitation ya kiwango cha mshahara .. asiyetaka huwa anaoneshwa mlango .. 3) Issue ya kumnunua moja kwa moja nacho ni kipengele ambacho madrid hawataki .. yaani mchezaji wao, aje goners ku improve, tumlipe 70% ya mshahara, mwisho wa mwaka yupo hot arudi madrid! .. wenger sio kichaa kiasi hicho..! kama akija arsenal ujue kuna benifit goners wataipata! .. ila tutasajili mchezaji 1 au 2 kabla ya dirisha kufungwa wenger alishasema...



COYG!

Mkuu, umeongea mambo ya muhimu sana kufuatilia na ni vizuri sisi wapenzi wa Arsenal tukiwa tunaona haya.

Nuri Sahin alikuwa London Jumatatu jioni akitaka kumalizia utaratibu wa usajili na hata kukaandaliwa hafla ya upigaji picha na jezi ambayo angevaa.

Lakini sula la mawakala kuharibu wachezaji lipo na wakala wa Sahin ambae anatoka Uturuki kama Sahin, alikuwa bado akiwasiliana na Liverpool na wakati huo huo akimshawishi mchezaji huyo kuzingatia tofauti ya 115k za Arsenal na 120k, pamoja na umuhimu wa kuchezea timu kama Real Madrid.

Arsenal walikuwa tayari kumlipa hizo 115k kwa wiki na juu ya hiyo uwezekano wa kumnunua kabisa pale atakapomaliza miezi 12 ya mkopo ambapo walitaka iwe milini 14.

Kwahio ukiangalia pia kuna sababu zingine.

1. Real Madrid hawataki Sahin aende Arsenal timu ambayo ipo kwenye champions league pamoja nao kwani kutakuwa na faida zaidi kiufundi kwa Arsenal.

2. Brendan Rodgers alifanya kazi na Mourinho wakiwa Barcelona na imekuwa rahisi kuwasiliana mara kwa mara.

3. Ni maendeleo ya wale "haters" ambao siku zote wapo kuona Arsenal hawafanikiwi kwa mipango yao ya kutumia jasho lao kujipatia faida badala ya kutafuta Sugar Dadies, kwani wapo "bus"y kuwasiliana wakijua ikiwa Arsenal wanapata another enforcer kwenye kiungo basi wana " technical advantage".

Hivyo bado Arsenal wana akiba ya kutosha kufanya usajili wa kushtukiza na utawashangaza wengi ifikapo ijumaa ijayo, na Wenger amesema leo kwamba atanunua wachezaji ikiwa pia kama watafanikiwa kuwauza wachezaji kama Arshavin, Bendtner, Squillachi, Djourou, Fabianski, Walcot, na pia kupata timu za kuwachukua kwa mkopo wachezaji wadogo kama Ramsey na Coquelin ambao bado wanahitaji uzoefu wa kutosha.

In Arsene we Trust.




Habari za kutunga utazijua tu! Sasa hapa mwongo nani kati yenu ninyi gunners wawili? Wa kwanza, Viper anasema Madrid wanataka Arsenal walipe 70% ya mshahara wake wa 120K per week, ambayo ni 84K, pesa ambayo Arsenal hawezi kulipa kamwe!. Wa pili, Richard anasema Arsenal walikuwa tayari kulipa 115K per week, almost the whole salary! Lazima hapa kuna mmoja wenu ni MWONGO! Please, you guys need to come clean.
 
Back
Top Bottom