Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,666
- 1,406
1) Kama kawaida wazee wa kulialia mko busy kuplay victim card. Eti Mourihno hampendi Wenger kwa sababu ya issue ya Ashley Cole, why not the opposite?!
2) Kumbe wewe ulitaka upewe mchazji wa bure na usilipe kitu, hata mshahara wakati anachezea timu yako?! Lazima uchangie sehemu ya mshahara, tatizo mnapenda na mmezoea vya bure kupita kiasi.
3) Mbona unaongea kama vile Madridi ndio wana shida wakati ukweli ni kwamba Arsenal ndio wana shida zaidi. Hauwezi kuwalazimisha Madrid wauze wakati hawataki, wao ndio wenye mchezaji hivyo ndio wanapanga terms za biashara, kama hauwezi unaacha unaangalia kwingine sio kulialia kuwa Mourihno na Madrid wanawaonea Arsenal. Kumbuka jinsi Arsenal mnavyong'ang'ania bei ya juu mnapouza wachezaji wenu kwa timu nyingine, sasa leo mnapangiwa bei nyie mnaona kama mnaonewa sana....WANAFIKI.
Mkuu Richard punguza kulia na kujifanya victim kila wakati. Reasoning yako hapo mwisho (3) kwanmba kuna haters wanawafanyia roho mbaya inapingana kabisa na sababu ulizosema hapo juu kwamba agent wa Sahin ndio alikuwa na influence kwenye kufanya decision. Nashangaa sana inakuwa vipi mtu unaweza kuandika vitu viwili vinavyopingana kwenye same issue?
Are you sure Sahin is enforcer?!
Habari za kutunga utazijua tu! Sasa hapa mwongo nani kati yenu ninyi gunners wawili? Wa kwanza, Viper anasema Madrid wanataka Arsenal walipe 70% ya mshahara wake wa 120K per week, ambayo ni 84K, pesa ambayo Arsenal hawezi kulipa kamwe!. Wa pili, Richard anasema Arsenal walikuwa tayari kulipa 115K per week, almost the whole salary! Lazima hapa kuna mmoja wenu ni MWONGO! Please, you guys need to come clean.
HAHAHAHA! PUNGUZA STRESS! HEBU TUJIKUMBUSHE KIDOGO
ALAFU SEMA TUKUPIGE NGAPI MSIMU HUU ULI UKIMBIE TENA HILI JUKWAA!!
ALAFU SEMA TUKUPIGE NGAPI MSIMU HUU ULI UKIMBIE TENA HILI JUKWAA!!
Last edited by a moderator: