mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,177
Bora hata nyie mlitoa draw na s'land :biggrin1:
Bora hata nyie mlitoa draw na s'land :biggrin1:
Mpira siku zote utaufurahia iwapo timu zitacheza "open game" na kosa moja basi goli zinafungwa.
Timu nyingi zinacheza 4-5-1 lakini huu mtindo ni wa kujihami zaidi kuliko kucheza kwa uhuru. Timu zinazocheza na Arsenal, Sunderland ikiwa mojawapo hupenda kucheza 4-5-1.
Sasa Man Utd na Everton au Toffees kama wanavyojulikana leo wamecheza "open game" na ndio tumemwona Marouane Fellaini akitawala sehemu ya kiungo na hatimae kufunga goli pekee.
Halafu hata hivyo, timu yako pia imemiliki asilimia 70 ya mpira na imeshindwa kufunga magoli, kuashiria kipindi kigumu huko baadae, pia itabidi mnunue mkoba maana naona Ferdinand anakwenda benchi kwa wiki nne.
Huo ndio mpira mkuu.
Mpira siku zote utaufurahia iwapo timu zitacheza "open game" na kosa moja basi goli zinafungwa.
Timu nyingi zinacheza 4-5-1 lakini huu mtindo ni wa kujihami zaidi kuliko kucheza kwa uhuru. Timu zinazocheza na Arsenal, Sunderland ikiwa mojawapo hupenda kucheza 4-5-1.
Sasa Man Utd na Everton au Toffees kama wanavyojulikana leo wamecheza "open game" na ndio tumemwona Marouane Fellaini akitawala sehemu ya kiungo na hatimae kufunga goli pekee.
Halafu hata hivyo, timu yako pia imemiliki asilimia 70 ya mpira na imeshindwa kufunga magoli, kuashiria kipindi kigumu huko baadae, pia itabidi mnunue mkoba maana naona Ferdinand anakwenda benchi kwa wiki nne.
Huo ndio mpira mkuu.
mtotowamjini uli summarize msimu wa goners kwa draw! ... vipi pale kwenu! :nerd: na babu anamhitaji veteran kaka haha patamu hapo ..
Wacha uongo.
Rvp looked 2 his right no Walcot, looked 2 his left no Gervinho, 2 his back no Song, then the little boy inside him screamed "YOU ARE FINISHED"!!!
Nikuletee statistics au? Mnashabikia timu zenu hamjui hata zinajiendeshaje
Mie naomba Cheikh Tiote ndio aje, jamaa ni jembe na ligi anaijua.
1 )mkuu mbona watataftana msimu huu! alafu ile game ya kwanza wenger alikosea kikosi! ilitakiwa girold na podolski waanze kama ile pre season tulocheza ujerumani . podolski alikamata winger ile anayocheza gervinho... ! "alafu theo na gervinho wanagombea number ile"!
5) Bring It on STOKE!!
Dah haya kumbe kuna watu wanaweza kuchagua team ya arsenal kuliko wenger mwenyewe...si mchezo...
Kumbukeni mnacheza na stoke at the britannia stadium....