Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,085
Kikosi siyo kibaya, ila nina wasiwasi na hizo beki za pembeni.pia manone ni mtu wa kutema mipira sana. Inabidi back 4 wafanye kaz ya ziada kumcover.Mannone, Jenks, Per, Vermaelen, Gibbs, Diaby, Arteta, Cazorla, Gervinho, Podolski, Giroud