mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,177
Mapato ya Club ni kuuza t-shirts,mapato ya Television,Wadhamini wa jezi,tickets,CL,Stadium naming rights, trophies zina pesa ila sio main source ya income...Tickets za msimu mzima za arsenal peke yake mpaka jana zilishauzwa robo tatu ingia skysports, au thesun
Tickets zimepanda sana bei msimu huu mpaka ma fans wanalaumu kwa Tafiti zilizofanyika na Katika mafans 10 pale UK 9 wanalalamika kushindwa ku afford up to 15% price increase na kuna uwezekano wa Viwanja vingi kutojaa...ARSENAL INAKUWASHA SANA pole
Sasa arsenal inaongeza bei za ticket kwa kigezo gani wakati hawajashinda kombe miaka 7 na wachezaji wanakimbia