Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

NOT AFC anymore...Wenger ameifanya imekuwa ASC i.e ARSENAL SELLING CLUB. Ntabaki kuwa mshabiki wa Arsenal ..ila sitaifuatilia mpaka Wenger afukuzwe. THE TEAM,THE BOARD, THE COACH ...ALL LACK AMBITION
 
Yaani kuna watu wanashangaza aisee. EPL ina mechi 38. Only 1 game has been played. Yet, you come to conclusions. Last season, after eight games, we had won only 3 games. Nakumbuka tulikua mpaka wa 17. But what happened? Naomba niseme itakapofika May 2013, haters mtaona aibu.
 
Kama unasoma posts zangu utajua nilisema kua man u are the most profitable club in the world na sio tu coz of 75000 fans wanaoingia old trafford every wk bt shirt sales worldwide sponsors ka DHL na wengineo.. Bt winning trophies helps alot wenger hajashinda kombe since 2005 alafu bado mna over price match tickets why?

Mapato ya Club ni kuuza t-shirts,mapato ya Television,Wadhamini wa jezi,tickets,CL,Stadium naming rights, trophies zina pesa ila sio main source ya income...Tickets za msimu mzima za arsenal peke yake mpaka jana zilishauzwa robo tatu ingia skysports, au thesun

Tickets zimepanda sana bei msimu huu mpaka ma fans wanalaumu kwa Tafiti zilizofanyika na Katika mafans 10 pale UK 9 wanalalamika kushindwa ku afford up to 15% price increase na kuna uwezekano wa Viwanja vingi kutojaa...ARSENAL INAKUWASHA SANA pole
 
unaboa kwa kujifanya u much know broda...sunderland ni timu ngumu nilipata hofu ya umakini wako uliponambia Hukumjua Arteta mpaka alipokuja Gunners "eti alikuwa bench warmer St.goodson park" alafu ukasahau nani alikuwa top perfomer Euro 2008 baada ya David Villa? Kama si Arshavin nani mwingine? Yaani Unazi unazi tu kwenye ukweli husifii we kukashifu timu za wengine Kuna Ulazima wa MAONI YAKO HAPA? Kama Arsenal si kitu mbona ukiingia JF break ya kwanza hapa?

Arteta if he was that good mbona chelsea city utd barca na madrid hawakumfukuzia na hata wenger mwenyewe mbona alimnunua ile dakika ya mwisho? Haya basi ngoja niishie nisije kukuboa zaidi.. Tutakutana old trafford november :happy:
 
NOT AFC anymore...Wenger ameifanya imekuwa ASC i.e ARSENAL SELLING CLUB. Ntabaki kuwa mshabiki wa Arsenal ..ila sitaifuatilia mpaka Wenger afukuzwe. THE TEAM,THE BOARD, THE COACH ...ALL LACK AMBITION

wenger tunamwonea ingia www.thesun.co.uk/football page ya arsenal na Uisome barua ya Ulisher usmanov kwa Board ya Arsenal

AW he is an employee not a Majority shareholder (stan kroenke) au mwenyekiti (Peter hill-wood) wanampangia then anafanya kazi wanayomwambia kwisha! TOP 4 ndio malengo yao nae anatimiza why Afukuzwe? IN ARSENE I TRUST
 
Arteta if he was that good mbona chelsea city utd barca na madrid hawakumfukuzia na hata wenger mwenyewe mbona alimnunua ile dakika ya mwisho? Haya basi ngoja niishie nisije kukuboa zaidi.. Tutakutana old trafford november :happy:

Kila mchezaji mzuri lazima aende au atakwe na Barca? City or Madrid? ***** huu unaosema hapa!

Nakushauri sio kila usichojua hakipo! kusema ARTETA ni mbovu sana CARRICK na ANDERSON, nani walau hata aliwahi ku attract interest za Timu kubwa hapo?

Unachekesha(source Faiza foxy)
 
Nimependa hili jibu maana watu wengine wana sharwala inawawasha wanatafutia watu ban bure!!

nahisi nitapigwa BAN kwani kuna shabiki anajifanya "anajuuua" kama wenzake tumeanza tizama mpira majuzi? wengi wao wameanza kuzipenda timu zao wakati wa Glory time...sitaji timu naishia hapa Lol
 
:biggrin1: nawaongelea
nyie kwa sababu namiss nyie kua watani wetu wakuu.. Man city ndio our
main rivals bt i miss ile mshike mshike kati ya wenger na fergie

Hauko sahihi...

Arsenal sio watani wakuu wa Man Utd kwenye EPL...

Watani wakuu wa Man Utd kwenye EPL ni Man City...

Watani wakuu wa Arsenal katika EPL ni Tottenham Hotspurs na kwa mbali jirani zetu wa London Chelsea, West Ham, QPR etc...

Ni kama ilivyo kwa Liverpool na Evaerton....

Arsenal ni washindani wa Man Utd kwenye ubingwa EPL kama ilivyo kwa Chelsea,Man City,Liverpool etc...

Bala.
 
wenger tunamwonea ingia Football News, Gossip & Transfer Rumours | The Sun page ya arsenal na Uisome barua ya Ulisher usmanov kwa Board ya Arsenal

AW he is an employee not a Majority shareholder (stan kroenke) au mwenyekiti (Peter hill-wood) wanampangia then anafanya kazi wanayomwambia kwisha! TOP 4 ndio malengo yao nae anatimiza why Afukuzwe? IN ARSENE I TRUST

Mkuu kwa case ya SONG ambaye last week ali tweet kuwa anafuraha na maisha ya arsenal na hatarajii kwenda popote, kumbuka SONG alitengeneza magoli 11 kati ya magoli 30 ya Van persie, kumbuka Song ndo top assist wetu wa last season (Wenger anasema Diaby is back; MAMAKE Diaby hafiki hata robo ya Song) - SITAMSAMEHE WENGER MAISHA YANGU YOTE - IMENIUMA KULIKO HATA RVP, Wenger ameshapotea kimbinu ( ananunua chipkizi waki mature na kuwa kwenye peak anauza - anaanza kuunda timu upya), makocha wangapi tunawaona wana quit kwa kuwa board za timu haizfanyi watakavyo. WENGER + KROENKE OUT. NA NAKUAPIA MKUU; CHINI YA WENGER ARSENAL HAITASHINDA EPL, FA CUP, WALA UCL. Kombe pekee tunaloweza kupata chini Huyu MAMAKE ni EMIRATES CUP
 
Jirani hongera kwa pointi
na kumpata Carzola.
Watu hupenda kuja hapa kwa sababu washabiki wa Arsenal (wengi wao, si
wote) wanachonga sana. Hivyo ni natural process kwamba wanavutia
wapinzani kuja kuwapa stick kila inapotokea nafasi, ni swala tu la
ushindani (rivalry), nothing more.

Asante jirani,kila la heri nanyi leo...Tatizo wengie wanavamia tu jukwaa na kuongea pumba tu mradi wameiponda Arsenal.....Hasa huyu anayeitwa mtotowamjini, yeye kutwa kucha yupo hapa na anachoongea ni pumba tu na kuiponda Arsenal.....

Inakera jirani
 
Wenger alisema u need to win majority of ur home games against lesser teams if u want to win the league or b competitive.. Sasa drawin against s'land na wengine wa chini kama last year alafu ukija kucheza na man u au man city bado mnafungwa top 4 mtaiona kweli?

Majority of home games excluding Sunderland...bahati nzuri hakusema "All home games" then hakuna alipokosea au kingereza hakijaeleweka?
 
Mkuu kwa case ya SONG ambaye last week ali tweet kuwa anafuraha na maisha ya arsenal na hatarajii kwenda popote, kumbuka SONG alitengeneza magoli 11 kati ya magoli 30 ya Van persie, kumbuka Song ndo top assist wetu wa last season (Wenger anasema Diaby is back; MAMAKE Diaby hafiki hata robo ya Song) - SITAMSAMEHE WENGER MAISHA YANGU YOTE - IMENIUMA KULIKO HATA RVP, Wenger ameshapotea kimbinu ( ananunua chipkizi waki mature na kuwa kwenye peak anauza - anaanza kuunda timu upya), makocha wangapi tunawaona wana quit kwa kuwa board za timu haizfanyi watakavyo. WENGER + KROENKE OUT. NA NAKUAPIA MKUU; CHINI YA WENGER ARSENAL HAITASHINDA EPL, FA CUP, WALA UCL. Kombe pekee tunaloweza kupata chini Huyu MAMAKE ni EMIRATES CUP

Song was good but he haven't even got the form of FLAMINI or Vieira not to mention Gilberto...inauma sasa ufanyeje? Hamia City kwa muda nitaku PM tukishika kasi tena! Aaaa aaaa aaa
 
Song was good but he haven't even got the form of FLAMINI or Vieira not to mention Gilberto...inauma sasa ufanyeje? Hamia City kwa muda nitaku PM tukishika kasi tena! Aaaa aaaa aaa

Mkuu mi si plastic fan... im a gooner 4 life, Diaby is the worst of them all, and he is made of glass, sijui kama atafika geme 10 hajaumia kwa miezi 6, there is no justification in selling Alex Song. 4th spot/ finishing above Spurs has been a trophy for us, and will always be Under Wenger/Kroenke. Kwa game ya jana na zile friendlies, i see the same old story - 4th spot is our trophy again. IN WENGER I DOUBT
 
Wenger alisema u need to win majority of ur home games against lesser teams if u want to win the league or b competitive.. Sasa drawin against s'land na wengine wa chini kama last year alafu ukija kucheza na man u au man city bado mnafungwa top 4 mtaiona kweli?

kwa maoni yako s'land ni lesser team..??! umeona formation wanayotumia kucheza ugenini! ...? naona ume conclude msimu woote wa goners kwa match moja tena Draw..! .. acha nikufurahishe basi

1) arsenal is a small team

2)arsenal is a selling club

3)arsenal we will be lucky ku finish top 10

4)arsenal tutashuka daraja

5)arsene wenger kocha mbaya


happy now!! ???
 

Mkuu mi si plastic fan... im a gooner 4 life, Diaby is the worst of them all, and he is made of glass, sijui kama atafika geme 10 hajaumia kwa miezi 6, there is no justification in selling Alex Song. 4th spot/ finishing above Spurs has been a trophy for us, and will always be Under Wenger/Kroenke. Kwa game ya jana na zile friendlies, i see the same old story - 4th spot is our trophy again. IN WENGER I DOUBT


maneno kama hayo waliongea before kuhusu van persie.... kuhusu song .... walewale waliokuwa wakiongea hayo maneno now wanakuja kulalamika mbona tunawauza ni world class players! .... tabia za kigeu geu ni za ma plastic fans! kama wale jamaa Le-grove! pedro na kundi lake ! walimpiga sana vita song hatulii kulinda kwenye defense ni worse player! van made of glass anakula mshahara wa bure leo hii wamemgeukia wenger why you are selling our world class players .. hebu muacheni wenger afanye kazi yake!

Ukiachana na cazorla daiby jana was one of the top performer


WENGER KNOWS!


 
Mkuu mi si plastic fan... im a gooner 4 life, Diaby is the worst of them all, and he is made of glass, sijui kama atafika geme 10 hajaumia kwa miezi 6, there is no justification in selling Alex Song. 4th spot/ finishing above Spurs has been a trophy for us, and will always be Under Wenger/Kroenke. Kwa game ya jana na zile friendlies, i see the same old story - 4th spot is our trophy again. IN WENGER I DOUBT

kwa Song nakubali hakupaswa kuuzwa kwani alitoa assist nyingi na alikuwa 2nd perfomer after RVP! Tuachane na jazba na ushabiki...je Ndo kiungo mkabaji Arsenal tunaemhitaji? PAMOJA na hayo we conceded 49 goal thanx for our DM na mabeki na mengi ni Counter attacks

Kama AW ameahidi kuleta Mchezaji wa kumreplace hapo sawa na awe kariba ya Tiote,Makelele,De jong,Vieira...hatakiwi kuwa Dribbler pasi moja inatosha,Good Tackler on 50-50 balls,Defensive minded (vitu ambavyo song hakuwa navyo) na mwisho our defence was exposed saana

RVP aling'ang'ania kwenda zake! Mi naomba awamalize wote makinda waliokuwa wametengeneza timu mwaka 2008-2011 awekeze kwa "Matured" players kama anavyofanya sasa ni 25 years+ Per,santos,arteta,Tv5,Arshavin,Cazorla,Sagna,Podoski,Giloud,Gervinho na alete wengine watu wazima aachane na vitoto
 
kwa Song nakubali hakupaswa kuuzwa kwani alitoa assist nyingi na alikuwa 2nd perfomer after RVP! Tuachane na jazba na ushabiki...je Ndo kiungo mkabaji Arsenal tunaemhitaji? PAMOJA na hayo we conceded 49 goal thanx for our DM na mabeki na mengi ni Counter attacks

Kama AW ameahidi kuleta Mchezaji wa kumreplace hapo sawa na awe kariba ya Tiote,Makelele,De jong,Vieira...hatakiwi kuwa Dribbler pasi moja inatosha,Good Tackler on 50-50 balls,Defensive minded (vitu ambavyo song hakuwa navyo) na mwisho our defence was exposed saana

RVP aling'ang'ania kwenda zake! Mi naomba awamalize wote makinda waliokuwa wametengeneza timu mwaka 2008-2011 awekeze kwa "Matured" players kama anavyofanya sasa ni 25 years+ Per,santos,arteta,Tv5,Arshavin,Cazorla,Sagna,Podoski,Giloud,Gervinho na alete wengine watu wazima aachane na vitoto

Mkuu ni kweli kuwa Song hakuwa kiungo mzuiaji mzuri, na kama Wenger angetumia pesa kutafuta replacement nzuri, tungekuwa na hope; cha ajabu ktk interview ya juzi anasema haitaji kusajili kiungo kwani anawachezaji 9 sehem ya kiungo (akawataja, Diaby,Frimpong,Wilshire etc) they are coming back, ukiacha Wilshire ambaye we can build a team around him...na isitoshe ni majeruhi anayetarajiwa kurudi end of october. We can not compete tukiwa na diaby/ Frimpong/Ramsey - simply... they are not good enough
 
Hauko sahihi...

Arsenal sio watani wakuu wa Man Utd kwenye EPL...

Watani wakuu wa Man Utd kwenye EPL ni Man City...

Watani wakuu wa Arsenal katika EPL ni Tottenham Hotspurs na kwa mbali jirani zetu wa London Chelsea, West Ham, QPR etc...

Ni kama ilivyo kwa Liverpool na Evaerton....

Arsenal ni washindani wa Man Utd kwenye ubingwa EPL kama ilivyo kwa Chelsea,Man City,Liverpool etc...

Bala.

Kwa taarifa yako man city hawakua watani wetu mpaka hii juzi waarabu walivonunua club.. Man city 12yrs ag walikua wanacheza championship(daraja la pili). Our main rivals ni liverpool... Ndo watani wetu wakuu na ndio our enemies.. Mwaka jana city wameshinda ligi lakini haikuniuma kama livepool wangeshinda.. Leo hii bado game ya utd vs kop ndio naisubirigi hata fergie mwenyewe anajua hilo... Arsenal chelsea ni wapinzani wetu lakini liverpool ndio wenyewe.. Ni kama nyie arsenal na spurs ni kama mbwa na paka
 




maneno kama hayo waliongea before kuhusu van persie.... kuhusu song .... walewale waliokuwa wakiongea hayo maneno now wanakuja kulalamika mbona tunawauza ni world class players! .... tabia za kigeu geu ni za ma plastic fans! kama wale jamaa Le-grove! pedro na kundi lake ! walimpiga sana vita song hatulii kulinda kwenye defense ni worse player! van made of glass anakula mshahara wa bure leo hii wamemgeukia wenger why you are selling our world class players .. hebu muacheni wenger afanye kazi yake!

Ukiachana na cazorla daiby jana was one of the top performer


WENGER KNOWS!



Uko sawa kama 4th spot ni trophy; other wise the squad is not good enough to win titles,Nakumbuka Nasri baada ya kwenda City alisema kwenye interview moja hivi kuwa; Kuna wachezaji wengi pale Arsenal wanafurahia Kuwepo tu na kushika nafasi ya 4, hata kama hatuchalenji trophy yoyote, lakini kwa mimi (yeye Nasri) Nahitaji challenji na kucompete na ma best, akamalizia kuwa angeweza kubaki Arsenal kwa kuwa angepandishiwa mshahara na ana namba kikosi cha kwanza.... Lakini ndoto zake ni zaidi ya hivyo - The team lacks ambition.
 
Back
Top Bottom