Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu wangu sasa si nasema ukweli wangu?Bado hampo vizuri mmemkosa RVP na Song

Naam Mkuu pengo la hawa ni kubwa sana. Naamini kabisa kama VP angekuwepo leo basi tungeshinda at least kwa goli 2-0.
 
Mkuu wangu sasa si nasema ukweli wangu?Bado hampo vizuri mmemkosa RVP na Song
Duh!!!.......

Sasa hivi kila kitu itakuwa ni 'mmemkosa RVP na Song'.....

Arsenal wamecheza vizuri na wachezaji wapya hasa Carzola wamecheza vizuri licha ya muda mfupi walionao klabuni....Podolski ukimuangalia ni mzuri hata zaidi ya RVP....Giroud ndo usiseme anatafuta mipira na anajaribu kufunga hata kwa mbali.......Podolski na Giroud wote ni left footers kama RVP....Podolski ni mzuri kwwnyw free kicks kama alivyokuwa RVP zamani......

Liverpool leo wamepigwa 3 bila na vibonde WBA.......Chelsea na Man City wanaanza kesho, Man Utd Jumatatu.......Vipi nao wakitoka sare ama kufungwa utasema hamna kitu?,la hasha......Ni muda tu,timu nyingi zimesajili upya na kubadili mifumo ya uchezaji kutokana na wachezaji wapya so ni muda tu ndo wahitajika kwa wachezaji ku cope na mifumo mipya na kuzoea mazingira ya EPL(hasa Giroud na Podolski,Cazorla anaonekana tayari ameshazoea EPL pamoja na kukaa muda mfupi sana Imarati)....

Kwa game ya leo ya Arsenal,nimefurahi kuona Carzola akicheza mpira wa aina ya akina Xavi Hernandez uwanjani,anakimbia,anapiga pasi ndefu na fupi za kutengeneza magoli,anapiga chenga na anajaribu....Diaby alianza kwa kasi na mchezo mzuri lakini kadiri muda ulivyoenda alikuwa akipunguza kasi na kupotea......Gervinho bado ana tatizo la uchoyo na 'anao anao' nyingi.....Arteta kacheza vizuri pale kati....Beki za kati TV5 na Per wameelewana vizuri, Carl kajitahidi sana kwenye beki ya kulia na amepiga krosi nyingi japo bado anaonekana kutokuwa na nguvu hasa katika kupiga pasi ndefu na krosi/kujaribu mashuti ya mbali......Kieran kacheza vizuri lakini bado yupo taratibu na anapoteza mipira.........Walcott kacheza vizuri,naye kama Gervinho ana tatizo la kukaa muda mrefu na mipira.......Giroud kacheza vizuri......Arshavin bado ni tatizo, Ramsey kacheza vizuri kwa muda mfupi aliokaa uwanjani......Kipa wetu ni mzuri na hakupata rabsha nyingi sana leo kutokana na umahiri wa mabeki...

Kwa ujumla timu ni nzuri.......OX na Wilshere wakiwa vizuri watatusaidia sana.....

COYG

Once a Gunner, always a Gunner......

Proud to be a Gunner....
 

Naam Mkuu pengo la hawa ni kubwa sana. Naamini kabisa kama VP angekuwepo leo basi tungeshinda at least kwa goli 2-0.

Yeah mkuu, maana wale jamaa wawili ndio walikuwa vichwa wa Arsenal so ita take time kidogo ila tutaona tu itakuwaje naamini mbeleni mtakuja kufanya vizuri tu....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
things will get better goners by j3 sahin anakuja... Mvilla atafuata... ox atakuwa feat! gervinho atarudi bench... game ya kwanza tena draw sio ya kutu judge msimu mzima
 
Tuombe Mungu Mkuu lakini mimi nilishapoteza imani na AW na hii management ya Gunners miaka mingi tu...Imagine timu yetu ingekuwa na hizi additions za msimu huu na akina VP, Adebayo, Nasri, Fabregas tungekuwa hatushikiki si tu kwenye EPL bali Europe yote na dunia tungekuwa moto wakuotea mbali. Kama performance itakuwa mbaya basi tutapoteza wacheza zaidi kipindi kile cha December/January na kubaki kuwa washindikizaji tu. Timu kama MANU na MANC hazipotezi star players wao kila msimu kama ilivyo Gunners.

Yeah mkuu, maana wale jamaa wawili ndio walikuwa vichwa wa Arsenal so ita take time kidogo ila tutaona tu itakuwaje naamini mbeleni mtakuja kufanya vizuri tu....
 
Duh!!!.......

Sasa hivi kila kitu itakuwa ni 'mmemkosa RVP na Song'.....

Arsenal wamecheza vizuri na wachezaji wapya hasa Carzola wamecheza vizuri licha ya muda mfupi walionao klabuni....Podolski ukimuangalia ni mzuri hata zaidi ya RVP....Giroud ndo usiseme anatafuta mipira na anajaribu kufunga hata kwa mbali.......Podolski na Giroud wote ni left footers kama RVP....Podolski ni mzuri kwwnyw free kicks kama alivyokuwa RVP zamani......

Liverpool leo wamepigwa 3 bila na vibonde WBA.......Chelsea na Man City wanaanza kesho, Man Utd Jumatatu.......Vipi nao wakitoka sare ama kufungwa utasema hamna kitu?,la hasha......Ni muda tu,timu nyingi zimesajili upya na kubadili mifumo ya uchezaji kutokana na wachezaji wapya so ni muda tu ndo wahitajika kwa wachezaji ku cope na mifumo mipya na kuzoea mazingira ya EPL(hasa Giroud na Podolski,Cazorla anaonekana tayari ameshazoea EPL pamoja na kukaa muda mfupi sana Imarati)....

Kwa game ya leo ya Arsenal,nimefurahi kuona Carzola akicheza mpira wa aina ya akina Xavi Hernandez uwanjani,anakimbia,anapiga pasi ndefu na fupi za kutengeneza magoli,anapiga chenga na anajaribu....Diaby alianza kwa kasi na mchezo mzuri lakini kadiri muda ulivyoenda alikuwa akipunguza kasi na kupotea......Gervinho bado ana tatizo la uchoyo na 'anao anao' nyingi.....Arteta kacheza vizuri pale kati....Beki za kati TV5 na Per wameelewana vizuri, Carl kajitahidi sana kwenye beki ya kulia na amepiga krosi nyingi japo bado anaonekana kutokuwa na nguvu hasa katika kupiga pasi ndefu na krosi/kujaribu mashuti ya mbali......Kieran kacheza vizuri lakini bado yupo taratibu na anapoteza mipira.........Walcott kacheza vizuri,naye kama Gervinho ana tatizo la kukaa muda mrefu na mipira.......Giroud kacheza vizuri......Arshavin bado ni tatizo, Ramsey kacheza vizuri kwa muda mfupi aliokaa uwanjani......Kipa wetu ni mzuri na hakupata rabsha nyingi sana leo kutokana na umahiri wa mabeki...

Kwa ujumla timu ni nzuri.......OX na Wilshere wakiwa vizuri watatusaidia sana.....

COYG

Once a Gunner, always a Gunner......

Proud to be a Gunner....

Yeah ni kweli mkuu ila kuna chance kama tatu ambazo leo hamkuweeza kuzitumia ambapo angekuwa RVP angeweza kubadilisha matokeo, vile vile wachezaje nakubali wote wamecheza vizuri sema bado kidogo mpaka kuja kuelewana vizuri kabisa itachukua mda kidogo na najuwa kocha wenu leo atakuwa ameona somethin then next game atafanya mabadiliko fulani....
 
Tuombe Mungu Mkuu lakini mimi nilishapoteza imani na AW na hii management ya Gunners miaka mingi tu...Imagine timu yetu ingekuwa na hizi additions za msimu huu na akina VP, Adebayo, Nasri, Fabregas tungekuwa hatushikiki si tu kwenye EPL bali Europe yote na dunia tungekuwa moto wakuotea mbali. Kama performance itakuwa mbaya basi tutapoteza wacheza zaidi kipindi kile cha December/January na kubaki kuwa washindikizaji tu. Timu kama MANU na MANC hazipotezi star players wao kila msimu kama ilivyo Gunners.

Umeongea kila kitu mkuu wangu kuongeza vile vle team kama Arsenal ni team kubwa sana, kama United na City so kupoteza wachezaji kila siku me naona ni kutokana na kocha mwenyewe, sasa mwaka huu Vermalen akicheza vizuri mwakani utaona anachukuliwa na City au United yaani sijui huyu mzee huwa anawaaza nini maana hapa UK ni yeye ndio anaongoza kwa kutoa ma star wake alafu hela inapoenda haijulikani......
 
Tuombe Mungu Mkuu lakini mimi nilishapoteza imani na AW na hii management ya Gunners miaka mingi tu...Imagine timu yetu ingekuwa na hizi additions za msimu huu na akina VP, Adebayo, Nasri, Fabregas tungekuwa hatushikiki si tu kwenye EPL bali Europe yote na dunia tungekuwa moto wakuotea mbali. Kama performance itakuwa mbaya basi tutapoteza wacheza zaidi kipindi kile cha December/January na kubaki kuwa washindikizaji tu. Timu kama MANU na MANC hazipotezi star players wao kila msimu kama ilivyo Gunners.
Hata mimi kuna kipindi nilipoteza kabisa imani na AW....Lakini baadae nilikuja kugundua kwamba simtendei haki AW....Tatizo sio AW,tatizo ni bodi ya Arsenal.....Tatizo ni mfumo wa ulipaji mishahara uliopo Arsenal.....Wachezaji wengi wanaondoka Arsenal kwa sababu ya mishahara duni ukilinganisha na timu nyingine.......Bodi ya Arsenal inapaswa kubadilika na kubadili mfumo wa ulipaji mishahara,tofauti na hapo Arsenal itaendelea kuwa feeder club kila mwaka......Kazi yetu itakuwa ni kutengeneza wachezaji na kuwajengea umaarufu na kuwauza hivyo habari ya vikombe itabidi tusahau......

AW hapaswi kulalamikiwa katika hili la wachezaji kuondoka,anapaswa kuonewa tu huruma......Wa kulalamikiwa ni board wa Arsenal........

Najivunia kuwa Mshika Bunduki.........

Once a Gunner, always a Gunner......

Gunners for life...................No matter what.....
 
Ahsante sana Mkuu Balantanda

Hata mimi kuna kipindi nilipoteza kabisa imani na AW....Lakini baadae nilikuja kugundua kwamba simtendei haki AW....Tatizo sio AW,tatizo ni bodi ya Arsenal.....Tatizo ni mfumo wa ulipaji mishahara uliopo Arsenal.....Wachezaji wengi wanaondoka Arsenal kwa sababu ya mishahara duni ukilinganisha na timu nyingine.......Bodi ya Arsenal inapaswa kubadilika na kubadili mfumo wa ulipaji mishahara,tofauti na hapo Arsenal itaendelea kuwa feeder club kila mwaka......Kazi yetu itakuwa ni kutengeneza wachezaji na kuwajengea umaarufu na kuwauza hivyo habari ya vikombe itabidi tusahau......

AW hapaswi kulalamikiwa katika hili la wachezaji kuondoka,anapaswa kuonewa tu huruma......Wa kulalamikiwa ni board wa Arsenal........

Najivunia kuwa Mshika Bunduki.........


Once a Gunner, always a Gunner......

Gunners for life...................No matter what.....
 
Last edited by a moderator:
article-2190176-149964C6000005DC-904_634x356.jpg


Bright start: Lukas Podolski put in a solid hour-long shift
up front for his new club




article-2190176-149954A5000005DC-566_634x385.jpg


Attacking threat: The likes of Abou Diaby, Gervinho and Santi Cazorla
all banged on the Sunderland door



article-2190176-14995987000005DC-189_306x423.jpg



No way out .... ..



article-2190176-14994221000005DC-419_634x407.jpg


Running man: Theo Walcott was a thorn
in the side of the visitors' defence for the most part


Vijana wamejitahidi ila wenzetu walijiandaa kuzuia na sio kucheza soka la uhakika, tutaendelea kujipaga upya ..... ...... ...... ...... .... .....
 
Tuombe Mungu Mkuu lakini mimi nilishapoteza imani na AW na hii management ya Gunners miaka mingi tu...Imagine timu yetu ingekuwa na hizi additions za msimu huu na akina VP, Adebayo, Nasri, Fabregas tungekuwa hatushikiki si tu kwenye EPL bali Europe yote na dunia tungekuwa moto wakuotea mbali. Kama performance itakuwa mbaya basi tutapoteza wacheza zaidi kipindi kile cha December/January na kubaki kuwa washindikizaji tu. Timu kama MANU na MANC hazipotezi star players wao kila msimu kama ilivyo Gunners.

BAK wachezaji wanatakiwa kuwa na uwezo wa kuwania ushindi sio kupata vitu kiulaini, RVP alikuwa hapatani na Ade hivyo Ade aliona bora aondoke, Nasri ni utukutu sio mchezaji mzuri sana kwa kiasi anacholipwa .. .... ... Fab alikuwa kifaa lakini alikwisha kubaliana na Prof kuondoka na kurudi kwao baada ya muda flani ndio sababu aliondoka kutokana na makubaliano ya awali. RVP kafuata pesa Manure asingeweza kupata £40 million kama mshahara angebaki na Gunners na Prof. hana hiyana kamwambia kijana hakuna noma nenda, tutaona atacheza mechi ngapi na kufunga magoli mangapi hilo halina ubishi katika miaka minne ijayo.

Kuhusu Manure kuuza wachezaji .... ... vipi unasahau nani alikwenda Real Madrid kwa £80 million? Je kwa nini walitaka kumwua Wine Romney alipotaka kwenda Mancs?

Mancs wameanza kuonekana mwaka jana tu huwezi kulinganisha na timu nyingine wape muda. Usiwe na shaka deni la Stadium sasa sio dhihaka wachezaji wanaonunuliwa na Prof wengi huwa quality na EPL ya mwaka huu sio rahisi jinsi wengi wanavyofikiria. Tuombe Jack arejee haraka utaona moto unavyowaka pamoja na hawa new players .... ...... .... hii ni marathon ..... .. kitu kingine wachezaji wakisha anza kujiona na kuwa kero kwenye timu ndio wanauzwa .... ..... ...... (Song .... ..... bila kusahau magoli ambayo yanatokana na uzembe wake). Tunahitaji wachezaji wanaoipenda timu na watazawadiwa sio kukimbilia pesa. Spain huwa wanawakopa pesa wachezaji kwa kushindwa kulipa mishahara.

Have a good day.

 
Arsene Wenger spoke after the game today. This is what he said:

on a frustrating result...
We played with a good spirit. We were serious, we put the effort in. Our basic fitness is alright but we lack sharpness and fluency at the moment to be dangerous in the final third. The few chances we had, we couldn't convert them. Sunderland always play the same way against us, in the final third and defensively, and if you're not sharp enough to make the difference early in the game it becomes difficult. They defended well, they defended the whole game very well, and we lacked something - sharpness and also quality and accuracy in the final pass.

on bedding in new players...
Of course [that makes a difference too]. The formula didn't work with three strikers up front and we were not well balanced, we didn't create enough because they blocked our midfield. After that it was difficult for us. We need to be more creative in the final third.

on Santi Cazorla...
I think it's difficult not to be pleased with him because he played on Wednesday night, the whole game in Puerto Rico. All the chances were created by him, basically.

on why the Club agreed terms to sell Song...
Because we have Wilshere coming back, I believe in one and a half months. We have Diaby back, we have Rosicky not far away and we might bring another midfielder in as well. You have to be patient a little bit [over any new signings].

on players leaving at their peak...
It is frustrating, we have learnt to deal with that. I believe as well that the financial potential of some clubs is massive and that makes a difference.

on replacing Robin van Persie's goals...
Maybe people are right [that he would have made a difference], maybe they are wrong - you can never check that. We have played some draws at home with Van Persie, we have lost some games with Van Persie as well. It's true that last year in every game he found something special. I never denied that we lost a world-class player, that is very difficult to replace.

I feel that Podolski is not [physically] ready yet but he has the quality, and Giroud you could see has a presence when he is on the pitch in this position. Man United looked everywhere, if they didn't buy anybody else and went for Van Persie at 29 years of age, it's because they realised that quality is difficult to find on the market.

on Giroud's chance...
Giroud had a great chance on his right foot. I think he had more time than he thought and we expected him to score that one, of course.

on getting the balance right up front...
In some games it works, in some not. We went for a different formula last year and the balance is not always right, but in this game today we needed maybe one more creative player to be a bit more accurate in the final third. There was not a lot of space left to our strikers, everything had to be created from our midfield.

on whether Song asked to leave...
He expressed a desire to go to Barcelona.

on a missed opportunity against Sunderland...
Of course. It is always frustrating in the game when you have so much possession and so little points. You have to calculate that you make a draw or two or three during a season, but you don't want to make it at the start in the first game. I personally prefer to play away in the first game.

on showing patience after Van Persie's departure...
I feel that when you are on the football pitch, you don't think about the players who are not there. You try to make a good pass when you have the ball, all the rest is not a valid excuse. We had the opportunity to play the ball quicker, our overall passing was not quick enough today in my opinion. That is not necessarily linked with Robin.

on Nicklas Bendtner...
He is likely to move, yes. There is no deal done at all.
 
I think the game had more positives than negatives. The defence worked hard. Miedfield did a good job also. More sharpness in the attack and we are good. That will come eventually as the season unfolds. COYG
 
Wakuu hakuna haja ya kuwa na wasiwasi na matokeo ya mechi ya leo kwani timu zote zitakazokuja Emirates zitacheza mtindo wa 4-5-1.

Huu ndio mtindo ambao umeshamiri kwa timu zenye kupanga kujihami na (sio kucheza mpira) zinapocheza ugenini ukiondoa Man United, Swansea, na Liverpool kwahio zinakuwa zikitegea na kuacha mshambuliaji mmoja mbele ambae anaweza kupewa mpira na akaenda kufunga- jambo la ajabu sana.

Timu nyingi sasa zinatumia mtindo huu hasa pale zinapopokonywa mpira na ndio mtindo ambao Chelsea inautumia kwa sasa na ikafungwa na Man City kwenye "community shield".

Hata timu ya Uingereza ilitumia mtindo huu kwenye fainali za kombe la mataifa ya Ulaya mwezi Juni na ukawatokea puani.

Mtindo huu ni mzuri pale unapokuwa umekwishafunga magoli na zinakuwa zimebakia dakika 20 au 15 mpira kwisha, lakini kuna timu zinatumia mtindo huu hata baada ya filimbi ya kuanza mchezo inapopulizwa!

Sasa leo AW aliendelea na mtindo wake wa 4-3-3 na sehemu ya kiungo ikaundwa na Abou Diaby akiziba nafasi ya Alex Song, Mikel Arteta na Santiago Cazorla, huku Lucas Podolski, Theo Walcott na Gervinho wakiwa mbele.

AW itabidi amkazanie sana Podolski katika umaliziaji baada ya kazi ya wachezaji wa viungo awe mmaliziaji mzuri na siku akianza kufunga kwenye PL huo ndio utakuwa mwanzo wa magoli kwa Arsenal.

Wakirudi Bacary Sagna na Laurent Coscielny kutakuwa na maelewano na Bacary Sagna na Kieran Gibbs watakuwa wana uwezo wa kwenda mbele na kusaidia mashambulizi.

Mechi inayofuata ni ngumu na ni dhidi ya Stoke tena kwao itakuwa Jumapili saa saba unusu mchana kwenye uwanja wa Brittania.

@ gunners
 
Wakuu pia nimetafuta chanzo cha kuaminika kuelezea ni timu ipi tajiri duniani kwa mwaka huu wa 2012.

Jarida la Forbes limeorodhesha timu 20 duniani ambazo ni tajiri na zina mapato yanayoeleweka.

Rankings as of 19 April 2012.
[TABLE="class: sortable wikitable jquery-tablesorter"]
[TR]
[TH="class: headerSort"]Rank
[/TH]
[TH="class: headerSort"]Team
[/TH]
[TH="class: headerSort"]Country
[/TH]
[TH="class: headerSort"]Value ($M)
[/TH]
[TH="class: headerSort"]% change
on year
[/TH]
[TH="class: headerSort"]Revenue ($M)
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]1
[/TD]
[TD]Manchester United
[/TD]
[TD] England
[/TD]
[TD]2,235
[/TD]
[TD]20
[/TD]
[TD]532
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2
[/TD]
[TD]Real Madrid
[/TD]
[TD] Spain
[/TD]
[TD]1,877
[/TD]
[TD]29
[/TD]
[TD]695
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3
[/TD]
[TD]Barcelona
[/TD]
[TD] Spain
[/TD]
[TD]1,307
[/TD]
[TD]34
[/TD]
[TD]653
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4
[/TD]
[TD]Arsenal
[/TD]
[TD] England
[/TD]
[TD]1,292
[/TD]
[TD]8
[/TD]
[TD]364
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5
[/TD]
[TD]Bayern Munich
[/TD]
[TD] Germany
[/TD]
[TD]1,235
[/TD]
[TD]18
[/TD]
[TD]466
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6
[/TD]
[TD]Milan
[/TD]
[TD] Italy
[/TD]
[TD]989
[/TD]
[TD]18
[/TD]
[TD]341
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7
[/TD]
[TD]Chelsea
[/TD]
[TD] England
[/TD]
[TD]761
[/TD]
[TD]16
[/TD]
[TD]362
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8
[/TD]
[TD]Liverpool
[/TD]
[TD] England
[/TD]
[TD]619
[/TD]
[TD]12
[/TD]
[TD]295
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9
[/TD]
[TD]Juventus
[/TD]
[TD] Italy
[/TD]
[TD]591
[/TD]
[TD]-8
[/TD]
[TD]223
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10
[/TD]
[TD]Schalke 04
[/TD]
[TD] Germany
[/TD]
[TD]587
[/TD]
[TD]56
[/TD]
[TD]293
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11
[/TD]
[TD]Tottenham Hotspur
[/TD]
[TD] England
[/TD]
[TD]564
[/TD]
[TD]37
[/TD]
[TD]262
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12
[/TD]
[TD]Internazionale
[/TD]
[TD] Italy
[/TD]
[TD]490
[/TD]
[TD]11
[/TD]
[TD]307
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13
[/TD]
[TD]Manchester City
[/TD]
[TD] England
[/TD]
[TD]443
[/TD]
[TD]52
[/TD]
[TD]246
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]14
[/TD]
[TD]Borussia Dortmund
[/TD]
[TD] Germany
[/TD]
[TD]394
[/TD]
[TD]52
[/TD]
[TD]197
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]15
[/TD]
[TD]Lyon
[/TD]
[TD] France
[/TD]
[TD]385
[/TD]
[TD]8
[/TD]
[TD]193
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]16
[/TD]
[TD]Hamburg
[/TD]
[TD] Germany
[/TD]
[TD]355
[/TD]
[TD]4
[/TD]
[TD]187
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]17
[/TD]
[TD]Roma
[/TD]
[TD] Italy
[/TD]
[TD]354
[/TD]
[TD]38
[/TD]
[TD]208
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]18
[/TD]
[TD]Marseille
[/TD]
[TD] France
[/TD]
[TD]349
[/TD]
[TD]26
[/TD]
[TD]218
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19
[/TD]
[TD]Valencia
[/TD]
[TD] Spain
[/TD]
[TD]288
[/TD]
[TD]-
[/TD]
[TD]186
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]20
[/TD]
[TD]Napoli
[/TD]
[TD] Italy
[/TD]
[TD]283
[/TD]
[TD]-
[/TD]
[TD]167
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Kwahio kwa kutokana na vigezo vilivyotumika kuangalia ni nani ana pesa utaona kwamba kwa Uingereza ni Man Utd na Arsenal na baada ya hao wawili wanafuata hao wengine.

Vigezo hivyo ni thamani ya timu na mapato yake na ndio utaona kwamba Man Utd ana uwanja unaoingiza watu 75,000 na Arsenal pale Emirates wanaingiza watu 60,000 - na unajaa.

@ gunners
 
Back
Top Bottom