Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Dah........
What a miss......Kazi nzuri Carzola na Walcott
What a miss......Kazi nzuri Carzola na Walcott
This is another Bitter pill to swallow......Song sidelined today "the boy is gone"
Matokeo ya Asenal mpaka sasa yako je?
Bwawa la maini ngapi ngapi mpaka sasa?Bora huku Washika bunduki mna uhai na timu yenu kucheza vizuri, kule bwawa la maini bwawa limechafuka na maini naona yanaoza yote kuwa na michezaji kama Downing grrrrrr na Borini mtambo mwengine player ni Allen tu na asipokuja Dempsey basi nafasi ya 10 au daraja la kwanza mashetani ndio mshawauzia ubingwa ila ligi haitabiriki hii sio SPL au La Liga.