Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
What a miss by Olivier Giroud.....
Dah!!!!!!!
Dah!!!!!!!
Draw sio mbaya,timu imecheza vizuri sana leo......New signngs wameonesha kiwango kizuri hasa Cazorla.....Huyu jamaa ni mtaalamu hasa....duh!kama draw hivi naiona!dk 80 0-0
Bora kuanza na Draw kuliko kuanza na kufungwa kaka...1st game na DRAW??????? hard to take in!!!!!!!!
Proud to be a Gunnner.......Arsenal bana...............
Hizi ndio point ambazo mwishoni mwa ligi zinaigharimu timu
Siipendi kauli ya vijana wamecheza vizuri kwa maana kumili mpira na kushambuali, huu ndio mfumo wa Arsenal
Kinacho matter hapa ni ushindi na si pasi mianane
Ngoja tuvute subira tuone, lakini kiukweli sioni ubingwa hapa kwa mchezo huu
Arsenal bana...............
Hizi ndio point ambazo mwishoni mwa ligi zinaigharimu timu
Siipendi kauli ya vijana wamecheza vizuri kwa maana kumili mpira na kushambuali, huu ndio mfumo wa Arsenal
Kinacho matter hapa ni ushindi na si pasi mianane
Ngoja tuvute subira tuone, lakini kiukweli sioni ubingwa hapa kwa mchezo huu
Hivi ni lazima uchangie mkuu?......Sory kama nimekukwaza kwa kukuuliza swali hili....Arsenal hamna kitu kabisaaaa,
Full Time
Arsenal 0-0 Sunderland
Timu ni nzuri......Carzola ni habari nyingine.......
Hivi ni lazima uchangie mkuu?......Sory kama nimekukwaza kwa kukuuliza swali hili....
Mkuu wangu sasa si nasema ukweli wangu?Bado hampo vizuri mmemkosa RVP na Song
Mkuu sanderland wamekuja ku peak bus na kuacha striker mmoja mbele... Kawape pole Liverpool kachwapwa game ya kwanza
Point moja sio mbaya ... Poor performance from gervinho... Black cats walikuja kujilinda wamefanikiwa