Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We're about to bid for Emirates stadium, tunajua ninyi ni selling club, mtauza kila kitu mwaka huu a
watabaki Kroenke na Ivan peke yao wafaidi matunda. hahahahahahaaa!!

Ule moto wa gesi Wigan miezi miwili kabla ya season kuisha utakumaliza kesho!
 
karibu sana Wacha1 mi mwenyewe nilishangaa wiki iliyopita narudi hapa nakuta haters wamefunga uzi kama hawana thread zao! wanarudi kwenye thread zao wakishinda tu!.... wanatukubali .. wangekuwa hawatukubali wasingeshinda katika huu uzi..! ...
 
[h=6]According to Sky Sports, Arsenal's game vs Sunderland at the Emirates is the only sold out game at the moment on Saturday.
[/h]
 
Ngoja tuione timu yetu leo minus VP na labda Song.
 
[h=6]First 11: Szczesny, Jenkinson, Mertersecker, Vermaelen, Gibbs, Diaby, Arteta, Cazorla, Walcott, Gervinho, Podolski.

Subs: Mannone, Djourou, Coquelin, Santos, Ramsey, Arshavin, Giroud
[/h]
 
What a pleasure to be back here with fellow Arsenal Fanz!!!!......I wish all Gooners & Haters Happy EID.... Msimu unaanza na Dirisha la Usajili bado halijafungwa... So S'Land wataonja 1st show 2day then the rest will follow.... Gooners 4 Life....
 
Salama wakubwa,naona leo ndo tunaanza ligi,tutakiane kila la heri na imani moto tutakao anza nao leo ni mpaka mwisho wa ligi. Hatupotezi mechi. Wakuu naombeni msaada kama kuna yeyote anayeweza kunisaidia website inayoonyesha mechi hii live.
 
What a pleasure to be back here with fellow Arsenal Fanz!!!!......I wish all Gooners & Haters Happy EID.... Msimu unaanza na Dirisha la Usajili bado halijafungwa... So S'Land wataonja 1st show 2day then the rest will follow.... Gooners 4 Life....

Ameen to that
 
Back
Top Bottom