Si kweli unayosema...ni mtizao wako tu! Mchezaji akiwa ni injury prone haijalishi Umri Lets go back to history wachezaji kama Steven Gerrald,michael owen,Fowler,heskey,beckham,giggs,scholes,A cole,Lampard,Terry to mention few of them Wamecheza muda sana hapo kwenye Physical League Wameanza kuwa "vimeo vya majeraha" Baada ya kuzeeka
Rooney,Milner,Nz'obia,Cr7 wamekaa EPL muda na wakawa Injury Free hapo vipi?
Essien kaja ni dogo(japo huwa hawaaminiki umri wao) Kawa kijeba kawa anashinda na SICK SHEET,Carragher yaleyale...acha kudhani Tumeanza kutizama League mwaka 1999 kama wengi Man Utd Glory Hunters chelshit hao ndo usiseme toka Pesa za Oil zije pale 2003 kelele kibao
Namtetea Wenger 100% alijaribu kuwekeza kwa Vijana Japo amefeli..na Vijana hawapigani vya Kutosha na wanakuwa Easily persuaded to leave Tizama timu ambayo anatengeneza sasa ya watu wa 25+ Sagna,TV5,Koscienly,arteta,santos,per,Cazorla,Podoski,Giloud,arshavin & uncle Tomas rosicky
Arsenal ni club inaendeshwa kwa pato binafsi na kumbuka deni lilikuwa karibu £390 mil hapo angekuwa anafanya Crazy buy tungekuwa kama Glasgow Rangers(3rd division huko scotland) au AC MILAN sababu ya kuspend nje ya Uwezo, then ulitaka tubakie Tiny stadium Highbury?
Next year no more silly exodus kwa Sheria mpya za Financial fair play timu zinazotegemea Mwekezaji zitakoma kwa kuanzia pale Chelshit na Man city watakuwa wapole hao back to 2000's Arsenal and man u dominance
Kwa kifupi its a transitional period itaisha when we will be forced by Platini's rules to operate on Real world financial reality
:biggrin1: sio kwamba naonekana ninajua ni kwamba ninajua.. Wilshere ananikumbusha abou diaby, na yeye hamalizagi game 3 yuko majeruhi..tatizo la policy ya kuaa na wachezaji wa dogo ndio hiyo kuumia kila wakati.. Sisi pia kuna dogo tom cleverley na yeye ka wilshere sema season hii kaanza fresh kidogo ndo maana fergie ananunua old players maana young players kama wilshere diaby na hata sisi akina smallin jones fabio da silva hawachezi zaidi ya game 10 wako nje premier lg ngumu its too physical for some players to handle
You must dreaming if you think FFP will have massive effect on day one. There are a lot of people in footy who are smarter than Platini....they're going to make a mockery of FFP and you will be left with egg on your face.
Mishahara ambayo inalipwa chelsea (to some few players na City) ni ulimwengu wa kwao
kaka deni la uwanja limebakia £90 mil yasemekana italipwa pole pole for next ten years
Wanaojua hali ndani ya board ya Arsenal watakwambia
yamewakuteni mpaka mmeenda IPO newyork stock exchange mpate mtaji, mafans wengi wa Man utd wa Uingereza hawampendi huyo Glazer kwa kuiingiza timu kwenye financial constraints
Si kweli unayosema...ni mtizao wako tu! Mchezaji akiwa ni injury prone haijalishi Umri Lets go back to history wachezaji kama Steven Gerrald,michael owen,Fowler,heskey,beckham,giggs,scholes,A cole,Lampard,Terry to mention few of them Wamecheza muda sana hapo kwenye Physical League Wameanza kuwa "vimeo vya majeraha" Baada ya kuzeeka
Rooney,Milner,Nz'obia,Cr7 wamekaa EPL muda na wakawa Injury Free hapo vipi?
Essien kaja ni dogo(japo huwa hawaaminiki umri wao) Kawa kijeba kawa anashinda na SICK SHEET,Carragher yaleyale...acha kudhani Tumeanza kutizama League mwaka 1999 kama wengi Man Utd Glory Hunters chelshit hao ndo usiseme toka Pesa za Oil zije pale 2003 kelele kibao
Namtetea Wenger 100% alijaribu kuwekeza kwa Vijana Japo amefeli..na Vijana hawapigani vya Kutosha na wanakuwa Easily persuaded to leave Tizama timu ambayo anatengeneza sasa ya watu wa 25+ Sagna,TV5,Koscienly,arteta,santos,per,Cazorla,Podoski,Giloud,arshavin & uncle Tomas rosicky
Arsenal ni club inaendeshwa kwa pato binafsi na kumbuka deni lilikuwa karibu £390 mil hapo angekuwa anafanya Crazy buy tungekuwa kama Glasgow Rangers(3rd division huko scotland) au AC MILAN sababu ya kuspend nje ya Uwezo, then ulitaka tubakie Tiny stadium Highbury?
Next year no more silly exodus kwa Sheria mpya za Financial fair play timu zinazotegemea Mwekezaji zitakoma kwa kuanzia pale Chelshit na Man city watakuwa wapole hao back to 2000's Arsenal and man u dominance
Kwa kifupi its a transitional period itaisha when we will be forced by Platini's rules to operate on Real world financial reality
Si kweli kuwa CL itakufa kwani hawa Investors si Ameanzisha Roman Abramovich? Ni ni 2003 sasa Loophole ya kuchomokea it is Naming rights kama Etihad walivyonunua Jina Pale City of manchester Kwa £400mil,Arsenal na Emirates kwa £360mil mpaka 2018 na kuna taarifa Liverpool wanamtafta mwekezaji Anfield, Usije ukashangaa Stamford bridge ikaitwa Manji Stadium haaa haaaa haaa....ni mbinu za kuziokoa Timu ndogo ziweze kuleta ushindani ebu tizama La liga only Barca&Madrid ndo wana uwezo wa kupambana wengine wamekwisha timu ya 3 La liga iliachwa na 2nd position team kwa Point 30 ebu fikiria? USHINDANI vipi hapo?I agree with you 100% barcelona PSG man city chelsea they r all livin beyond their means na theres no way they will b banned frm playin in the champions lg coz without such teams champions lg itakufa
You must be dreaming if you think FFP will have massive effect on day one. There are a lot of people in footy who are smarter than Platini....they're going to make a mockery of FFP and you will be left with egg on your face.
Hivi arteta anafaa kua arsenal kweli? Arshavin? Wangeweza kupata namba kipindi kile cha kina henry pires viera ray parlour petit... That arsenal team hata mimi japokua nilikua ni utd damu bt nilikua naipenda.. Ikifika mechi ya utd na arsenal enzi zile ndio ulikua mpira keane vs viera... Arsenal ya sasa hivi mpaka arteta ambae kuna wakati alikua hapati game eveton leo ndio first team player wenu.
Hiyo FFP plattini alianzisha ili kuwakomoa waingereza na timu zao hasa baada ya kuona investors wanakimbilia uk kununua city chelsea liverpool sasa hivi wameingia na nyumbani kwake ufaransa wamenunua PSG hivi unafikiri platin ataangalia timu ya nyumbani kwake inafungiwa isicheze european football?? No chance
we wa kwanza kuwa Smarter...kidonge kichungu kama korolokwini ila lazima Stamford bridge muibadilishe jina ndo msalimike
:biggrin1: sio kwamba naonekana ninajua ni kwamba ninajua.. Wilshere ananikumbusha abou diaby, na yeye hamalizagi game 3 yuko majeruhi..tatizo la policy ya kuaa na wachezaji wa dogo ndio hiyo kuumia kila wakati.. Sisi pia kuna dogo tom cleverley na yeye ka wilshere sema season hii kaanza fresh kidogo ndo maana fergie ananunua old players maana young players kama wilshere diaby na hata sisi akina smallin jones fabio da silva hawachezi zaidi ya game 10 wako nje premier lg ngumu its too physical for some players to handle
We're about to bid for Emirates stadium, tunajua ninyi ni selling club, mtauza kila kitu mwaka huu a
watabaki Kroenke na Ivan peke yao wafaidi matunda. hahahahahahaaa!!
Si kweli kuwa CL itakufa kwani hawa Investors si Ameanzisha Roman Abramovich? Ni ni 2003 sasa Loophole ya kuchomokea it is Naming rights kama Etihad walivyonunua Jina Pale City of manchester Kwa £400mil,Arsenal na Emirates kwa £360mil mpaka 2018 na kuna taarifa Liverpool wanamtafta mwekezaji Anfield, Usije ukashangaa Stamford bridge ikaitwa Manji Stadium haaa haaaa haaa....ni mbinu za kuziokoa Timu ndogo ziweze kuleta ushindani ebu tizama La liga only Barca&Madrid ndo wana uwezo wa kupambana wengine wamekwisha timu ya 3 La liga iliachwa na 2nd position team kwa Point 30 ebu fikiria? USHINDANI vipi hapo?
Hata fergie ali hint kuhusu FFP baada ya Deal ya L.moura kuwa hijacked na Matajiri wa Paris
Mtotowamjini si kila kitu Unazi unazi
Arsenal ni club ya 5 kwa utajiri duniani, Chelsea isn't close. Alafu kamuulize Abramovic kuwa Usmanov ni nani. That will take you back to reality
Arsenal basically are fallin apart.. Hakuna mchezaji anataka kukaa pale tena washachoka na policy za kizee wenger.. Ningemshauri ajiuzulu amwachie mtu mwingine club huwezi kua manager wa club afu wachezaji wanakukimbia.. afu washabiki wa arsenal wanawalalamikia wachezaji wanao ondoka badala ya kumlalamikia wenger wajiulize kwann wachezaji hawakai arsenal kila mtu anakula kona?
If anything FFP itaumiza zaidi club ndogo kwa sababu FFP imekuwa designed kuishi ndani ya mapato unayopata. Sasa timu ndogo maana yake ni fan base ndogo, stadium ndogo na mapato pia ni kidogo sana ukilinganisha na cluba kubwa. Kwa jinsi FFP ilivyowekwa ni kwamba zile traditionally big clubs tu ndio zitakazofaidika kwa sababu mapato ni makubwa na hivyo bado zitaendelea kuchukua wachezaji kutoka club ndogo kwa sababu wanalipa vizuri zaidi.