WTF with Arsenal... Song naye nasikia kashatimua hadi nakwenda mitamboni..... kila msimu ni tearing down and rebuilding.. hii nyumba haitafika katika lenchi. Tujitayarishe mwakani Vermealen, Koscielny, Szczseny nao watatimua.
Song alikua anataka mkataba mpya na MNONO. Sijajua kiasi gani lakini his ego made him feel that he has to get double or more than what he gets now. Wenger was mad at this and said he could go (although) he has 3 years left. The fee agreed is around 20m pounds.
Song alikua anataka mkataba mpya na MNONO. Sijajua kiasi gani lakini his ego made him feel that he has to get double or more than what he gets now. Wenger was mad at this and said he could go (although) he has 3 years left. The fee agreed is around 20m pounds.
Jaribu kuwa mkweli, sio issue ya SWP. Ukweli ni kwamba hakuna cha kusifia toka hiyo 2005 unayosema, huo ndio mwaka wa mwisho mmepata kombe la FA. Wright sio mnafiki kama washabiki wengi wa Arsenal, anasema kitu kilivyo. Wewe unaweza sema mmefanya nini tangu 2005 mbali na kuhamia hapo Library?
Na hilo ndio tatizo la Wenger. Hataki kuwalipa wachezaji mishahara mizuri lakini yeye analipwa mshahara mkubwa sana kuliko wachezaji wake wote(alikuwa kocha anayelipwa vizuri kuliko wote kabla Mancini hajasign mkataba mpya few weeks ago). Sasa wachezaji wametia akili, kinachoendelea ni kuitumia Arsenal kama daraja, wakishakuwa wazuri wanatokomea.
Board ya Arsenal pia wanaonekana ni wepesi wa kuuza wanapoonyeshwa top dollar, hawafikirii kuhusu timu itafanya vipi. Mwisho wa siku washabiki ndio wanaumizwa kwa kulipia ticket ghali kabisa kuona timu ya average players ikicheza.
Wakuu except Arsenal fans mambo yanaendaje naona kila mara kuna uvamizi!
Sasa hili la Song lilikuwa likitarajiwa, na kwakuwa Fabregas yupo pale Barca, imekuwa ni jambo rahisi kumshawishi kwenda Spain.
Lakini Wenger sio kwamba haoni kila kinachoendelea na ni mtu ambae ana mtandao mkubwa tu ambao umetapakaa duniani kote kwahio anazo "options" na kwenye sehemu ya kiungo kuna wachezaji wa kutosha na ndio maana anamwachia Song aende.
Kama nilivyoleta habari ya ujio wa Santiago Cazorla na Nuri Sahin katika timu ya Arsenal, kwa sasa kunafanyika mazumgumzo zaidi na Real Madrid kuhusu Sahin na kama atakubali kwamba aje kwa mkopo halafu baadae iwe mkataba kamili hilo ndilo linalofanyiwa kazi.
Pia kama si tabia ya M'villa akiwa "off field" ya hasira na ugomvi Wenger alikuwa amsajili baada tu ya kumsajili Olivier Giroud lakini akasita kidogo na kuachia suala hilo kwa muda na sasa anaweza kwenda tena Rennes kwa mazungumzo tena.
Lakini pia kuna uwezekano wa Arsenal kwenda tena Germany katika timu ya Anderlecht kumsajili Lucas Biglia ambae pia ni mchezaji wa kiungo ulinzi. Biglia ni mchezaji wa kimataifa wa Argentina na ana umri wa miaka 26. Ana urefu wa futi 5' 10", ana nguvu na ni makini kwenye "marking".
Kwahio ni suala la kupiga simu tu tena kwa mchezaji kama huyu ambae anagharimu kiasi cha paundi milioni 8 tu.
Lakini mwisho wa siku ni kwamba Arsenal itasajili Nuri Sahin au Yann M'villa kuziba pengo la Alex Song Bilong, na pia Arsenal kuna pesa ya kutosha kufanya manunuzi kwani faida tuliyopata mwaka huu ni zaidi ya paundi milioni 45!
kukusahihisha Andeletch iko Belgium sio Germany
:biggrin1: sio kwamba naonekana ninajua ni kwamba ninajua.. Wilshere ananikumbusha abou diaby, na yeye hamalizagi game 3 yuko majeruhi..tatizo la policy ya kuaa na wachezaji wa dogo ndio hiyo kuumia kila wakati.. Sisi pia kuna dogo tom cleverley na yeye ka wilshere sema season hii kaanza fresh kidogo ndo maana fergie ananunua old players maana young players kama wilshere diaby na hata sisi akina smallin jones fabio da silva hawachezi zaidi ya game 10 wako nje premier lg ngumu its too physical for some players to handleMsimu uliopita hajacheza, sawa. Je unajua kabla ya hapo kaitumikia Arsenal muda gani? Usiongee tu ili mradi uonekane unajua.
:biggrin1: sio kwamba naonekana ninajua ni kwamba ninajua.. Wilshere ananikumbusha abou diaby, na yeye hamalizagi game 3 yuko majeruhi..tatizo la policy ya kuaa na wachezaji wa dogo ndio hiyo kuumia kila wakati.. Sisi pia kuna dogo tom cleverley na yeye ka wilshere sema season hii kaanza fresh kidogo ndo maana fergie ananunua old players maana young players kama wilshere diaby na hata sisi akina smallin jones fabio da silva hawachezi zaidi ya game 10 wako nje premier lg ngumu its too physical for some players to handle
:biggrin1: sio kwamba naonekana ninajua ni kwamba ninajua.. Wilshere ananikumbusha abou diaby, na yeye hamalizagi game 3 yuko majeruhi..tatizo la policy ya kuaa na wachezaji wa dogo ndio hiyo kuumia kila wakati.. Sisi pia kuna dogo tom cleverley na yeye ka wilshere sema season hii kaanza fresh kidogo ndo maana fergie ananunua old players maana young players kama wilshere diaby na hata sisi akina smallin jones fabio da silva hawachezi zaidi ya game 10 wako nje premier lg ngumu its too physical for some players to handle
:biggrin1: sio kwamba naonekana ninajua ni kwamba ninajua.. Wilshere ananikumbusha abou diaby, na yeye hamalizagi game 3 yuko majeruhi..tatizo la policy ya kuaa na wachezaji wa dogo ndio hiyo kuumia kila wakati.. Sisi pia kuna dogo tom cleverley na yeye ka wilshere sema season hii kaanza fresh kidogo ndo maana fergie ananunua old players maana young players kama wilshere diaby na hata sisi akina smallin jones fabio da silva hawachezi zaidi ya game 10 wako nje premier lg ngumu its too physical for some players to handle