wadau kama kuna mwenye tetesi zaidi au taarifa kamili ziwe ni official or not zinazo mlink song na baca hebu tujuzeni kinachoendele coz inasemekana he's on the way to nou camp..
wadau kama kuna mwenye tetesi zaidi au taarifa kamili ziwe ni official or not zinazo mlink song na baca hebu tujuzeni kinachoendele coz inasemekana he's on the way to nou camp..
Nimeipenda sana hii.............lol
![]()
NikamjibuNasikia cozorla anaweza asicheze katika game yetu ya kwanza na black cats pale emarates sababu he will be on the other side of the world for international duty
Na wewe ukaenda off topicLeo ndo mechi za kimataifa zinachezwa. So I believe jumamosi atakuwepo ila anaweza asianze. Let's wait and see
Atakua mchezaji wa utd by saturday afternoon...hilo msijali....kwa sababu akicheza na nyie mnaweza kutuumizia mchezaji wetu mtarajiwa :biggrin1:
all this argument is pointless. Kila msimu, oh arsenal itashuka daraja. Yet kila msimu inazidi ku-improve performance. So i suggest, tupunguze maneno, msimu unaanza keshokutwa. Itakapofika may mwakani ndo tutajua nani anasimama wapi. Ila kwa sasa naona mnapoteza nguvu.
P.s: Kuna jirani yangu wikiendi iliyopita kachapwa goal tatu mbichi hajapost chochote kule kwao. Leo habari za arsenal ghafla katokelezea yuko busy kuquote na kureply. Dah!
Song ameruhusiwa kwenda Barca kwa pound 15m lakini haijawa finalized, mazungumzo yanaendelea.
Arsenal VS Sunderland
Likely lineup:
Szcezny
Sagna Vermalean Konscielny Gibbs
Arteta Song
Carzola
Theo Podolski
Giroud
Bring on Sunderland ,
Comeon Arsenal!
sagna yupo fit kwani..?! nadhani bado mgonjwa , arteta pia so tegemea diaby kuchukuwa nafasi ya arteta ..! alafu hawa black cats wamemdaka free agent SAHA na kumrambisha mkataba wa mwaka mmoja ... lol!
Hii move ya RVP haijaniuma ila akiondoka song bila kupata replacement ... tutakuwa na bonge la gape! pengo litaonekana tu! sababu Le concelin bado damu changa! hawezi kuvaa viatu vya song!
Hivi braza Wacha1 yuko wapi aiseee?
I have also heard that Jack Wilshere has started running outdoors for the second week and is doing really well. Another thing is that, Jack wants the MIGHTY no. 10. Prince Poldi was also waiting for the same number. Now its interesting to know how Wenger will go about this!
Yah mkuu, mwache RVP aondoke but ile mashine SONG ibaki tu, kwanza magoli mengi ya RVP yalitengenezwa na Song!!!!Hii move ya RVP haijaniuma ila akiondoka song bila kupata replacement ... tutakuwa na bonge la gape! pengo litaonekana tu! sababu Le concelin bado damu changa! hawezi kuvaa viatu vya song!
Wee unasema kwa kujifurahisha, kama uliangalia mechi yetu na Cologne wala usingekuwa nunasema haya, tulishinda goli 4 bila msaada wa nRVP aliingia na hakutoa pasi ya goli wala kufunga goli-sasa hivi gooners huwa ni historia tuna mtu anaitwa Podolsk in case umesahau!!