Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,789
- 1,732
mtotowamjini unakalia nini?! anazungumziwa Carzola wee unaleta habari za RVP huyo hata aondoke leo hatuhangaiki, nadhani uliona mechi ya juzi!!
Kama hamumtaki si mtupe jamani? Huyo carzola ndio atafunga 20goals plus kwenye premier lg? Nyie vp hamna rvp sioni yoyote atakayeweza funga magoli yote hayo
Yeah mkuu, mfumo wa Arsenal wa uchezaji ulimbeba sana. Kila mtu alikuwa akipata mpira even if yupo kwenye sehemu nzur ya kuscore alikuwa anamuangalia kwanza Van P!mkuu van anatisha kwa style ya uchezaji wa arsenal tu
1) lone striker
2) pass
united hawana mchezo huo... watch this space mkuu atapata tabu tu! hatokuwa mfungaji bora wa league hato shine kama alivyokuwa goners ...
from hero to zero
Pilipili ya shamba...........
Hivi si mna Jukwaa lenu?,si mkachangie huko na mtuache na Arsenal yetu?,mmelisahau Jukwaa lenu na limeshaanza kupotea na badala yake kutwa kucha m(u)po kwenye Jukwaa la Arsenal......Tuacheni jamani tupate fursa ya kuijadili timu yetu......Hiyo habari ya kukosa mtaji sidhani kama inaku(wa)husu mkuu.......Tuachie sisi.....
Ya Ngoswe.................
USHAMBA UNAMSUMBUA alafu hajulikani katokea wapi????? kakomaliaaaa umanjunjunwake..........go and tell the red nose coach to leave away RVP coz he is'nt coming dude!!!!!
mkuu van anatisha kwa style ya uchezaji wa arsenal tu
1) lone striker
2) pass
united hawana mchezo huo... watch this space mkuu atapata tabu tu! hatokuwa mfungaji bora wa league hato shine kama alivyokuwa goners ...
from hero to zero
with no service from song and walcot .. i dont think he will score more than 10 goals ..
tunamtakia maisha mema...
Nashangaa hii nguvu ya kukaa kwenye hili jukwaa unaipata wapi!Hahahahaaaaaa! Fat Arses mna mambo sana! You sound bitter as usual.
Atafunga magoli kama kawaida. Kaamua kuondoka poa tu, sie tunasonga mbele haina haja kuangalia nyuma.
Naitakia msimu mwema wenye mafanikio makubwa timu yetu chini ya uongozi wa captain wetu mpya Varmelen.
Pamoja Gooners.
Nashangaa hii nguvu ya kukaa kwenye hili jukwaa unaipata wapi!
Piss ant endelea kuuguza majeraha ya juzi ya litimu lako libovu chelshit!!
Be respectful and bow down when you're speaking to the King of Europe. You seriously needs to see your doctor, it's obvious that the dust at Emirates Library have caused malfunction in your brain cells.
Terms agreed for Van Persie transfer
Arsenal Football Club can confirm that terms have been agreed for the transfer of Robin van Persie to Manchester United.
Van Persie will travel to Manchester on Thursday in order to agree personal terms and complete a medical ahead of the proposed move.
Further updates will feature on Arsenal.com in due course.
Terms agreed for Van Persie transfer | News Archive | News | Arsenal.com
Jirani......Binafsi namtakia RVP kila la heri.....Kwa miaka 8 aliyokaa Arsenal na kwa umri alionao sasa(miaka 29 anaelekea miaka 30) si mbaya akiamua kuondoka maana umri nao ndo unamkimbia....So si vibaya akaamua kujaribu kwenda katika timu nyingine......Captain ni kama mchezaji mwingine yeyote tu na hao wawili wa mwisho hawakuwa na msaada wowote ulioisaidia Arsenal kuchukua mataji so kwangu mimi kuondoka kwao naona pouwa tu.....Cha msingi ni kwa Arsenal kukaa na kujipanga nini cha kufanya maana tayari wamewasajili washambuliaji ambao ni wa daraja la RVP(Giroud na Podolski)....Nadhani ni wakati muafaka kwa new signings Santi Carzola, Olivier Giroud na Lukas Podolski kuonesha vitu vyao adimu...Another captain abandons sinking ship!!
Viera
Henry
Fabregas
RVP
Who's next?!
RVP kaikuta Arsenal na kaiacha Arsenal na Arsenal inaendelea na itaendelea kuwepo.......Ni kipi kinachokufanya usikitike kwa RVP kuondoka?......Arsenal kumuuza Van Persie ni sawa na serikali Dhalimu ya CCM inavouza rasilimali zetu...
Rasilimali zingetusaidia sisi na vizazi vyetu vijavyo.
Van Pesa angewasaidi msimu huu na hata msimu ujao.