Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gervinho huu mchezo wake wa anao anao mtamu tatizo finishing tu..
 
Mkuu bado sina imani na defense yetu naona bado haijatulia ukilinganisha na idara zingine

Beki sidhani kama itakuwa na matatizo sana sipokuwa kutakuwa hakuna cover ya maana.

Katika first XI beki itaundwa na Szczesny, Santos, Gibbs Vermaelen na Koscielny. Mabeki wa akiba bado wapo tu Djourou, Mertesacker, Bartley, Jenkinson, Sagna na Squillaci.

Santos ndie analeta uwiano wa uchezaji hasa kwenye kusaidia mashambulizi akisaidiana na Gibbs kwahio ni kuomba hawa wawili wasiumizwe.
 
Diaby akiendelea kuwa feat atakuwa mchezaji mzuri...

tutaonana weekend ijayo! vs sunderland ...

COYG!
 
Mkuu, hali hio haitatokea tena wachezaji wa Arsenal kwenda Man City hio sahau kabisa.

Halafu mameneja wa Spurs na Man U pia ni wazee mbona hawabadilishwi?

Sisi Arsenal ndio tunampa imani Wenger na mipango yote anayofanya na sasa tunanunua wachezaji kwa pesa yetu wenyewe kutoka kwenye akiba tena bila kutegemea pesa ya mtu, hio ndio modern world ya footbal.

Ni hao Man City na wenzao wanataka kuharibu ingawa sasa Mancini ameambiwa ni lazima auze wachezaji kwanza kabla ya kununua.

Sasa tuone Man City watauza nani na watanunua nani.

Yaani wewe kweli mpira hujui kaa kimya tuu..unasema spurs na man utd wana kocha wazee.. Kwanza nikufahamishe kocha wa spurs ni AVB ana miaka 33 afu kama umesahau wenger ana zaidi ya miaka 60 sa mbona unasema spurs na man u ndo wana kocha wazee kweli hujui mpira we ni zero bora ukae kimya. We unasema arsenal mnanunua players kwa hela yenu niambie henry sol campbell jose reyes mlinunua kwa kiasi gani hiyo? Mkubali kua arsenal hakuna kitu poleni.
 
Yaani wewe kweli mpira hujui kaa kimya tuu..unasema spurs na man utd wana kocha wazee.. Kwanza nikufahamishe kocha wa spurs ni AVB ana miaka 33 afu kama umesahau wenger ana zaidi ya miaka 60 sa mbona unasema spurs na man u ndo wana kocha wazee kweli hujui mpira we ni zero bora ukae kimya. We unasema arsenal mnanunua players kwa hela yenu niambie henry sol campbell jose reyes mlinunua kwa kiasi gani hiyo? Mkubali kua arsenal hakuna kitu poleni.

Sasa mkuu, Wenger umesema miaka yake, na Ferguson ana miaka mingapi, si ni zaidi ya 70?

Anyway, nilikuwa namzungumzia Harry Redknap ambae Spurs walimtimua kwa sababu za kiitikadi kati yake na bwana Levy.

Huyo AVB ni "gamble" tu sidhani kama "ambitious" Spurs watafikia malengo wanayoyataka ya kucheza Champions League.

Wewe ndio huonekani kuufahamu mpira wa wenzetu walioendelea unaendeshwaje na hufahamu model ya uendeshaji timu ya Arsenal na siwezi kaa hapa kuanza kubishana nawe.

Ni mpaka Spurs wakiwa na "stadium capacity" kufikia Arsenal ya watu 60,000 ndio tutaweza kujadiliana.
 
mkuu TV5 + boss Kozer , Per ... wanatosha hao mimi ninapoona tatizo ni RB & LB hakuna backup zenye experience ili tutafika tu madogo wanao cover they have got a promise future

wasiwasi wangu uko hapo beki ya kati, TV5 na Kozer sina tatizo nao bali Per naona kama bado hajajiamini vizuri au hajazoea aina ya ligi ya uingereza anakatika mno, Djourou ndio yuko on/off anaweza akatoa goli dakika yoyote-shaka yangu sasa ni kama ataumia kati ya TV5 na Kozer sub inakuwa ni ya kuomba mungu.
 
[FONT=Tahoma, Calibri, Verdana, Geneva, sans-serif]
Sasa mkuu, Wenger umesema miaka yake, na Ferguson ana miaka mingapi, si ni zaidi ya 70?

Anyway, nilikuwa namzungumzia Harry Redknap ambae Spurs walimtimua kwa sababu za kiitikadi kati yake na bwana Levy.

Huyo AVB ni "gamble" tu sidhani kama "ambitious" Spurs watafikia malengo wanayoyataka ya kucheza Champions League.

Wewe ndio huonekani kuufahamu mpira wa wenzetu walioendelea unaendeshwaje na hufahamu model ya uendeshaji timu ya Arsenal na siwezi kaa hapa kuanza kubishana nawe.

Ni mpaka Spurs wakiwa na "stadium capacity" kufikia Arsenal ya watu 60,000 ndio tutaweza kujadiliana.


Sasa toka mmehamia emirates kutoka highbury mmeshinda makombe mangapi?!! Toka mmepata hiyo stadium portsmouth birmingham wameshinda makombe zaidi yenu... Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi :biggrin1:[/FONT]
 



Sasa toka mmehamia emirates kutoka highbury mmeshinda makombe mangapi?!! Toka mmepata hiyo stadium portsmouth birmingham wameshinda makombe zaidi yenu... Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi :biggrin1:
Pilipili ya shamba...........

Hivi si mna Jukwaa lenu?,si mkachangie huko na mtuache na Arsenal yetu?,mmelisahau Jukwaa lenu na limeshaanza kupotea na badala yake kutwa kucha m(u)po kwenye Jukwaa la Arsenal......Tuacheni jamani tupate fursa ya kuijadili timu yetu......Hiyo habari ya kukosa mtaji sidhani kama inaku(wa)husu mkuu.......Tuachie sisi.....

Ya Ngoswe.................
 
Wakuu August 18 hio kama utani, tuanze kuoana kandanda safi kutoka kwa vijana wa emirates.

Tutaonana Jumamosi kama kawaida,inshallah.

Season njema kwa Gooners wote.

.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sasa huyu 'mtoto wa shamba' whats all the fuss about Arsenal? Go back to your thread and discuss whether Glazers will save you from debts maana ndo mmeanza kushuka rasmi. Watch this space
 



Sasa toka mmehamia emirates kutoka highbury mmeshinda makombe mangapi?!! Toka mmepata hiyo stadium portsmouth birmingham wameshinda makombe zaidi yenu... Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi :biggrin1:
we jamaa unawatafutia watu life BAN yaani unawashwa washwa na Arsenal etiiii.....kaendeleze thread yenu hukooo hatukuhitaji hapa kijiweni au UNATAFUTA UMAARUFU kama Faiza foxy (R.I.P)????
 
Back
Top Bottom