Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,666
- 1,406
FC Cologne Vs Arsenal
FC Cologne 0-2 Arsenal
Dakika ya 27
Girold mzuri kaka! tumepata jembe .. ball control anayo na hafikiri mara mbili kunyoosha
FC Cologne Vs Arsenal
FC Cologne 0-2 Arsenal
Dakika ya 27
Kumbuka arsenal isingepata nafasi ya tatu kama sio spurs kuchemsha kuanzia january coz spurs walikua 10pts ahead of arsenal mpaka walivochemsha.. Nyie nguvu ya soda sioni player hata mmoja ambae ni tishio kutoka arsenal na ndio maana rvp anataka kuondoka.. Hamuoni aibu nyie mmewasaidia man city kushinda lg? Mana wachezaji wa arsenal wanakimbilia man city.. Wenger ajiuzulu sera zake hazifanyi kazi arsenal bora aje kocha kijana ainyanyue the Gooners
Naona Podolski kalamba Jezi namba 9
Mko vizuri bandugu huu mchakamchaka sio mchezo.
Inawezekana Luka kavaa hiyo jezi kwa muda maana kwenye website ya Arsenal bado hawajaandika namba zao....hii ina maana Van atabaki haondoki ama..?! vipi mkorea wetu yule ndio safari imewadia.?