Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
we peasant mbona unavamia thread au ujaona ya kwenu hapa 2najadili mambo ya gunners tu.
Gunners are simply bunch of muppets! Mara ya mwisho mumeshinda kikombe gani?
we peasant mbona unavamia thread au ujaona ya kwenu hapa 2najadili mambo ya gunners tu.
Gunners are simply bunch of muppets! Mara ya mwisho mumeshinda kikombe gani?
Gunners are simply bunch of muppets! Mara ya mwisho mumeshinda kikombe gani?
Hilo swali itachukua karne kujibiwa lol!
Gunners are simply bunch of muppets! Mara ya mwisho mumeshinda kikombe gani?
Ulikua wapi wakati Chelsea haifanyi vyema? Nyinyi mashabiki maandazi tu mwatupigia kelele. Gunners tunasapoti timu kwa raha na shida sio ninyi mloenda City kwa mkopo.
umewamaliza great thinker the gunnerz 4ever.
Hao wapiga kelele tu mkuu, wamevamia ushabiki wala hawana lolote
2004-2005 2likuwa unbeatable nazani unatambua ila ilo kombe watutunzie mwakani tunalichukua pale wembley believe me.
Ubingwa mtamu jamani,ninaelewa frustrations mlizonazo baada ya ukame wa makombe kwa takriban miaka 7 sasa.
Ulikua wapi wakati Chelsea haifanyi vyema? Nyinyi mashabiki maandazi tu mwatupigia kelele. Gunners tunasapoti timu kwa raha na shida sio ninyi mloenda City kwa mkopo.
city for champions uefa cup next season
forza city
Keep on dreaming dreamer.
Mbona unapunguza mkuu?!! Sema miaka nane.
who cares!! MIND THE GAPE CHELSICK!!! YOU HV GOT LUCKY! WE ARE STILL BETTER THAN YOU! 5-3 HOME!
who cares!! MIND THE GAPE CHELSICK!!! YOU HV GOT LUCKY! WE ARE STILL BETTER THAN YOU! 5-3 HOME!
who cares!!
WE ARE STILL BITTER THAN YOU!
city for champions uefa cup next season
forza city