Wacha
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 1,052
- 288
EUropa league is not that bad
#lolz@goners
Manure wanasubiriwa wakalipize kisasi.
EUropa league is not that bad
#lolz@goners
hehehehe av 1 tot 0 🙂🙂
Arsenal Chasing Newcastle United Striker Demba Ba je hii ni kwamba Van persie ndio bye bye!!
Inawezekana ikawa ndio bye bye huyu AW hana rekodi nzuri katika kubakisha wachezaji nyota. Tumepoteza wachezaji wengi sana wazuri kutokana na kutoa kauli ambazo zinawaudhi wachezaji...Juzi katoa kauli nyingine kuhusu VP ambayo mimi sikuipenda, "After all VP is still under contract for another year." Hakustahili kuitoa kauli kama hii kwa mchezaji muhimu kama VP nina wasi wasi kama tulivyowapoteza akina Nasri, Toure, Fabregas na wengine kuna hatari pia ya kumpoteza VP maana kishasema hatii wino mpaka aone ni wachezaji gani watakaosajiliwa msimu ujao na kauli kama hii kwa kweli haisadii kabisa..
Kama matokeo ya totenham yatakuwa hivi,Itakuwa siku nzuri sana kwangu!!!!!!!!!!!!!!!
God today here our prayers 1 min left.
Safi sana!! .. Sasa vijana game ya mwisho tupo away!!!! Wenger pls!!! Ramsey ana gunduuuuuu!!! Asianzeeee!!!
Safi sana!! .. Sasa vijana game ya mwisho tupo away!!!! Wenger pls!!! Ramsey ana gunduuuuuu!!! Asianzeeee!!!
Na ilishawakaa kichwani.Na ndio maana wengine wanadai, kwa mtindo huu, Arsenal hatutaweza kushinda vikombe vya aina yoyote ile, hatuna winning mentality, hatuko makini, tunadharau timu pinzani hata kabla hatujacheza nazo na tukipata kagoli ka kuongoza mchezo tunajisahau kabisa!
Ni disaster kwa kweli....!
Nilikuwa ninahema kwa taabu sana,thanks to the villa of aston.