wakuu! nasikia CITY wanajitayarisha kutoa offer 30 Million for Van. persie!!.... mi nadhani wenger achukue hizo hela.. van. kabakiza mwaka mmoja.. ! atafute partner wa podoski au turudishe yule dogo aliyekosa leseni tukampeleka ufaransa! hizo pesa awanunue yohan cabaye & Ba! wa newcastle ! kama rumors zinavosema hao vijana ni next target ya wenger baada ya kukamilisha usajili wa M villa ndani ya hizi wiki mbili, angalia sasa .. Tuna M,villa... song.. wilshere .... arteta.....!walcot.. OX.... gervinho ata improve.... ramsey apelekwe loan bolton! .... miyachi arudi....! mbona tutakusanya vikombe msimu ujao.... midfield itakuwa ina rotate so hawatakuwa wanachoka!
Muisrael na rosisky wabaki kama spare .. chamark.. djourou... diaby.... arshvin.. aueze!