hta v.Persie tumlaumu katika shorts 7 mbili tu ndio katupia... na pia nadhani imefika time wenger achezeshe strikers wawili... mliona tulivobadilika chamarck alipokuwa na v.persie...!!
Song anasahau jukumu lake na kwenda mbele zaidi na pia ajifunze kufunga .... mbona arteta anajaribu some times ..??
gervinho - mhh!! mara network zinarudi mara zinapotea
Ramsey - wenger ampeleke on loan ili arudishe confidence .. ameshindwa kuziba pengo la arteta
angalia forward yetu - park , vela , bendtiner , chamarck , v. persie!! - it is completely a joke ... kwani scouts wa arsenal wanashindwa ku spot talents kama kina Ba, cisse .. what happened kwa scouts walio spot talents za " invisible "