Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunawashambulia.....

Kona ya pili

Thank God David Silva hayupo leo....
 
Ngoma inogile leo.....

Huyu Benayoun wa nini tena?....

Wenger muoga sana kumchezesha Ox, lakini ukweli dogo angesumbua sana beki. Ya. City angetupa hata penati na kumsaidia Van Persie kupata room.

Sema poa tu bora Ben kuliko Ramsey. Ben anakaba, na kweli tatizo lake anao anao.
 
Mancini Analalamika nini??? Hataki waguswe??? Akacheze Karata, Bao, Draft au Zumna ndo michezo ambayo haina physical Contact
 
Kwa kweli uncle Tom Rosicky yupo kwenye fomu ya ajabu....

Ana kasi mpaka basi...
 
Oooooh my dear Nasri... There is No way that RM is Better than AW... May be on spending point of view........
 
Dha....

Huyu Baloteli ni mpumbavu kweli......What a foul

Lazima alambwe red
 
Back
Top Bottom