Arrgghh! Mkwe!...

Ndo mama mkwe wako eh?.......... maana hapa twamzungumzia Ma mkwe ati.
Asa udereva wa week end tu ....hapa nasikia harufu ya chakachuzi ya penzi a.k.a Infii
halima ni mbunge wangu... nilimpigia kura ya ndiyo

sasa ntamuomba udereva wikendi, hata kama ni dodoma ntaenda tukale nyamachoma na ndugu yangu kaizer na MJ
 
Ahaaaaa huyu alizidi mwenzangu bado kidogo angeulizia 'unatoa dozi' mara ngapi kwa wiki ili aone kama mwanae anapunjwa au anaoverdoziwa ah......... pole mwali but bora ulivyoweka distance maana angekupandia kichwani huyo.

Ni kweli wapo wakwe wenyine wema sana yaani hadi unashangaa.... kuna wale ambao kwao ni mwiko kuishi au hata kutembea kwa watoto wao sembuse kuwapangia maisha??

hapo nitamuweka mama nyamayao.....mpaka najiulizaga mama hawezi kumwona hata amam mwenzie anavyofanya kajaribu na yeye japo kujirekebisha kidogo?
 
huyo anaeweza kutafuta shari kwenye amani ana lake jambo kwa kweli, lakini nakuambia wengi wa hao mawifi/mama wakwe ni wakorofi kupita maelezo, ni kec ya waolewaji wengi kilio che2.
Acha tu huweziamini nyamayao hii mada ninaiota mpaka usiku......nadhani imekuja wakati mbaya ama sivyo tungeshajaza kurasa hapa kwa testimonies.................. vituko vya mama wakwe/mawifi na waolewaji.
 
hapo nitamuweka mama nyamayao.....mpaka najiulizaga mama hawezi kumwona hata amam mwenzie anavyofanya kajaribu na yeye japo kujirekebisha kidogo?
....Ah yaani hapo yeye anajiona yuko sawa kabisa tena mtakatifu kama Mama Theresa.............
 
....Ah yaani hapo yeye anajiona yuko sawa kabisa tena mtakatifu kama Mama Matesha.............

Ahsante sana kwa kumheshimu bibiyo....Nkirudi jioni ntakuletea dhawadi....

BTW leo mkoloni Tineja kakuachia hata unapiga soga namna hii huku kwa invizibo?
 
Acha tu huweziamini nyamayao hii mada ninaiota mpaka usiku......nadhani imekuja wakati mbaya ama sivyo tungeshajaza kurasa hapa kwa testimonies.................. vituko vya mama wakwe/mawifi na waolewaji.

wengi wao hawana jema jamani, mie wifi nilimuweka mahali pake tena kwa mcmamo uliocmama ki kweli, hawezi kunizoea tena daima! cku hizi hata akinical najua ananiambia vitu vya maana na sio upuuzi, mama nae ndio anafata, juzi juzi amenical nimeuchuna tu, yaani cjajickia kuckia sauti yake, bac akamcal mwanae kumwambia mwambie mama jamani anipe maarifa nimtumie mchele, bac anipigie, nani ana huo muda? ckae ajifikirie kujirekebisha kwanza.
 
Tena nyie watu wa visiwani tutawahamisha meza.... Ngumi jiwe.... How on the earth did you vote for that bastard?:A S angry::A S angry::A S angry:
Mkuu, Halima Mdee is not a bastard
 
Ahsante sana kwa kumheshimu bibiyo....Nkirudi jioni ntakuletea dhawadi....

BTW leo mkoloni Tineja kakuachia hata unapiga soga namna hii huku kwa invizibo?
Babu leo nimemnunia mkoloni yaani hapa hata aniseduce vipi simpi leo............ jana amenichakachua vibaya mno.
 
sababu nyingine zinaweza kuwa ni mambo ya ankara. Unajua watoto wengi kabla ya kuoa huwa wanawapa misaada mingi sana wazazi wao lakini akishaoa misaada inapungua kwasababu majukumu yake yanakuwa yameongezeka. Kwahiyo mama mkwe anaanza kuona kama huyu binti ameleta kiwingu! Hii ni changamoto ya umaskini tulionao:A S angry:
 
Jamaniiiiiiiiiiiiii eeeeeeeeeeehhhhhhhh hao wanaogombana na wakwe zao hawajui kula na kipovu mi wangu damu damu sigombani na wifi wala mkwe.....ugomvi wa nini ninachokipata mimi wao hata siku moja hawawezi kupata (chakula cha usiku) kutoka kwa mume wangu. Kama ni ishu ya vijisenti basi mi ndio nawapa na ni haki yao mama asingemlea mwanae vizuri nisingempata na kwakuwa nampenda mtoto sina budi kumpenda na mama yake. Waswahili walisema:
Ukipenda boga penda na ua lake
mama mkwe ni mzaa chema na chanda chema huvikwa pete.
 
Jamaniiiiiiiiiiiiii eeeeeeeeeeehhhhhhhh hao wanaogombana na wakwe zao hawajui kula kipovu mi wangu damu damu sigombani na wifi wala mkwe.....ugomvi wa nini ninachokipata mimi wao hata siku moja hawawezi kupata (chakula cha usiku) kutoka kwa mume wangu. Kama ni ishu ya vijisenti basi mi ndio nawapa na ni haki yao mama asingemlea mwanae vizuri nisingempata na kwakuwa nampenda mtoto sina budi kumpenda na mama yake. Waswahili walisema:
Ukipenda boga penda na ua lake
mama mkwe ni mzaa chema na chanda chema huvikwa pete.

Da Sophy hajambo? Naona kama una undugu naye.

BTW hapo kwenye red, ndo chakula gani hicho?
 
Kama ni upendo wa mama kweli, mbona wamama hawasumbui ndoa za binti zao kama wanavyoingilia za wakiume? Vipi wababa, hawana upendo? Mbona wababa hawasumbui ndoa za watoto wao wa kike wala wa kiume?
 
Niwape mfano wangu mwenyewe nitembelewapo na wakwe nyumbani kwangu:
Akija mama mkwe, mke wangu anachangamka sana na wanatumia muda wao mwingi jikoni, mie nakuwa 'mpole' throughout.
Akija mamangu mzazi, mke wangu anaishi 'kwa tahadhari' throughout, na anakuwa hajiamini kama hajamuudhi mamangu. Atataka maoni yangu kwa mambo aliyoongea au kumfanyia mamangu kama "Pale niliposema hivi mama hajaudhika kweli?" au "Chakula changu mama hajakipenda nini, mbona kala kidogo sana?"
Akija baba mkwe, mimi na baba mkwe tunachangamka kuliko, tunazungumza kwa vicheko hadi usiku mkubwa, mke wangu anakuwa mpole ajabu na anageuka waiter wa kuhakikisha vinywaji havipungui mezani hadi babake aseme 'up'!
Akija babangu mzazi hali ni hiyohiyo kama inavyokuwa kwa baba mkwe

Mpaka hapo kwa case yangu tu, naona tatizo liko kwenye jinsia ya kike na si kwenye uhusiano wa 'ukwe'.
 
'kwa tahadhari' throughout, na anakuwa hajiamini kama hajamuudhi mamangu. Atataka maoni yangu kwa mambo aliyoongea au kumfanyia mamangu kama "Pale niliposema hivi mama hajaudhika kweli?" au "Chakula changu mama hajakipenda nini, mbona kala kidogo sana?"
Mpaka hapo kwa case yangu tu, naona tatizo liko kwenye jinsia ya kike na si kwenye uhusiano wa 'ukwe'.

Kaka huyo hajiamini.....mnafiki na anataka kukugombanisha na mama yako mzazi anataka uone kama mama ni mbaya haridhiki kama anaona hivyo kwa nini asimuulize mwenyewe anakuuliza wewe......Kaka huyo hajafundwa mlete kwa Mama Kubwa apatiwe dozi
 
Kaka huyo hajiamini.....mnafiki na anataka kukugombanisha na mama yako mzazi anataka uone kama mama ni mbaya haridhiki kama anaona hivyo kwa nini asimuulize mwenyewe anakuuliza wewe......Kaka huyo hajafundwa mlete kwa Mama Kubwa apatiwe dozi

No, mimi huwa namwelewa kuwa anajaribu kuwa mwangalifu asimuudhi mamangu. Lakini wakija baba zetu ni raha tu, hakuna tahadhari zilizopitiliza kama hizo.
 
Back
Top Bottom