Arrgghh! Mkwe!...

Hivi hili jukwaa bado lina exist?

Mi bado niko bize na Halima Mdee...... Mpaka apate mimba...........:hippie::hippie::hippie::hippie:
 
:nono::nono::nono::nono::nono:


Hey............

Babu is here......watching:doh::doh::doh:
Mh Babu hebu nenda kwa Mdee kidogo nasikia anakuhitaji ukamsaidie kuhakiki matokeo. Niache na binamu Acid hapa tunapanga suprise party for you........:smile-big:
 
Mh Babu hebu nenda kwa Mdee kidogo nasikia anakuhitaji ukamsaidie kuhakiki matokeo. Niache na binamu Acid hapa tunapanga suprise party for you........:smile-big:

Ngoja nikavae mawani yangu....

Hii sentesi bila mawani hata haieleweki............:nono::nono::nono: Haondoki mtu hapa, labda mahari itangulizwe lolz.:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Hahahahah umenichekesha sana mwenzio niko kinasaha zaidi jamani Mbu... hiyo ni kukufanya utue moyo wako ili nasaha zikuingie ipasavyo lol


Suluhisho my dia ni wewe kuwa karibu na mkeo.. kwanza kuisoma situation ya mama ukiona kama kuna ka-beef baridi kaa na wifi kwa upendo tena ikiwezekana toka naye dinner mwambie unaelewa matatizo ya mama (hata kama huyaelewi) mwambie unayaelewa na unayapuuza so na yeye ajaribu kuyachukulia kiulaini kwa kutoyafuatilia mambo ya mama...... tena sometimes mama akifanya cha kufanya we jitie hutilii maanani.

Kuna wamama wengine hawapendi kuona hata mkwe wao anatolewa out, ananunuliwa kitu kizuri ni kawaida. Ukitaka mtoa out mwambie ajipange mkutane juu kwa juu ili msimkwaze mama au wewe ndo umwage mama ukitoa sababu ambazo si za kuamsha tamaa au wivu. Jitahidi kumpa wifi pesa angalau awe anamnunulia mama zawadi na siku moja moja amtoe out na wajukuu kama anao. Kuwa karibu na mkeo ila usionyeshe kuwa mama unamtenga, mweleweshe mkeo ili naye awe anakusapoti pale unapokuwa na mama.,,,,, Mhakikishie kuwa yeye ni mkeo na wewe ni mumewe na yule ni MAMA YAKO tu yaani Mke wa BABA yako.

gudi laki
mwanajamii upo juu nimekupenda bure yani hope mambo ya family we ni mzoefu
 
................ Hahahahahahah duh huyu wako kiboko loh yaani hapa anataka kuonyesha kuwa umempa kidogo loh ndio wale ambao wakipewa chakula wanaficha then akija mtoto wake anasema kanyimwa chakula loh...... umenichekesha eti shuttle alopanda ndilo ulopakiza vya kwenda kwa mamako loh kweli alikutifua... Mimi sipati picha ningepata mama mkwe wa hivyo ningekondaje maana kusema siwezi loh............ I wish

kuanzia nilivyomfanyia hivyo, alivyofika kwake, hata kumpigia kumuuliza umefika salama ckumpigia, yaani alijua nimechukia sana tena sana na nilimwambia mwanae kwamba nimechukia sana kitendo mamako alichonifanyia, mie ukiniumiza lazima na mie nikuumize tu kwa namna moja au nyingine, alikuwa anacal mfululizo kujikosha coz mwanae alimwambia kwamba kitendo alichokifanya sio kizuri, ilikuwa nikijckia napokea nicpojickia cpokei, nikiambia anaumwa nitamcal baba kumuuliza hali ya mkewe na sio yeye, kuna cku baba alishtukia hali ya utofauti ikabidi amuulize mwanae, mwanae akamwambia mama alifanya hivi na vile ndio mana mke wangu amechukia, yule mama ana mume mstaarabu sana, baba alifanya kunical kumwombea mkewe msamaha...mpaka leo mie na mama hatupo vzr anajitahidi kunirudisha kwenye hali ya zamani lakini wapi, wacha nimchunie apate kujua anavyotufanyia sio vzr, sasa MJ1 hiyo ni kwa mie kichwa ngumu, mke mwenzngu(mke wa mdogo wake mr) ana roho ndogo kama yako, mama akifika kwake mdada wa watu anaumwa kabisa, yaani sio nn ni ile hofu ya kutokujua anakuja na lipi jipya bac mdada na ka homa kanampata....lol
 
kuanzia nilivyomfanyia hivyo, alivyofika kwake, hata kumpigia kumuuliza umefika salama ckumpigia, yaani alijua nimechukia sana tena sana na nilimwambia mwanae kwamba nimechukia sana kitendo mamako alichonifanyia, mie ukiniumiza lazima na mie nikuumize tu kwa namna moja au nyingine, alikuwa anacal mfululizo kujikosha coz mwanae alimwambia kwamba kitendo alichokifanya sio kizuri, ilikuwa nikijckia napokea nicpojickia cpokei, nikiambia anaumwa nitamcal baba kumuuliza hali ya mkewe na sio yeye, kuna cku baba alishtukia hali ya utofauti ikabidi amuulize mwanae, mwanae akamwambia mama alifanya hivi na vile ndio mana mke wangu amechukia, yule mama ana mume mstaarabu sana, baba alifanya kunical kumwombea mkewe msamaha...mpaka leo mie na mama hatupo vzr anajitahidi kunirudisha kwenye hali ya zamani lakini wapi, wacha nimchunie apate kujua anavyotufanyia sio vzr, sasa MJ1 hiyo ni kwa mie kichwa ngumu, mke mwenzngu(mke wa mdogo wake mr) ana roho ndogo kama yako, mama akifika kwake mdada wa watu anaumwa kabisa, yaani sio nn ni ile hofu ya kutokujua anakuja na lipi jipya bac mdada na ka homa kanampata....lol

Nyamayao wewe uliamua kuwa mkweli na muwazi kwake ulimwonyesha msimamo wako wengine wananyamazaga na kuact kama vile hakuna baya alilofanyiwa sasa mama akiona hivi ndo anawaza ...au ile dose nilompa haikumtosha??.... basi anatafuta kigongo kingine mwe.. huyu mke mwenzio masikini kama najiona mie nadhani ndo maana Mwenyezi Mungu alinipatia wakwe wazuri sana, si baba wala mama .....ningekondaje??
 
mwanajamii upo juu nimekupenda bure yani hope mambo ya family we ni mzoefu

Aksante Mwasu wajua kila kitu tunajifunza na maisha halisi tunayoishi au yanayotuzunguka. I happened to live longer lol yes long enough to grasp some of the important issues..... but si mzoefu kiviiiiile
 
...ddddoooooossshhhh!
Pole sana Nyamayao,...lakini naomba nikuulize hapo penye wekundu;
kwanini wewe Nyamayao umefikiria na kutamka hivyo?
Kitu gani kimekupelekea ku influence judgment yako kwenye hisia hiyo?

Mbu....mama nilikuwa nampenda sana, nilikuwa nimeamini kuwa ni kama mama yangu mzazi, kumbe nilijidanganya na yeye akawa ameficha makucha kwa wakati huo, alikuwa akinikosoa hiki na kile mie naona sawa ngoja nifanye atakavyo, hivi na vile nafanya nikiamni ni kama mama yangu ananirekebisha, ni kosa nililofanya!...alitaka kunifanya nicjiamni kwenye maisha ya ndoa, kwamba niliolewa mdogo so ctaweza kumuhudumia mume, niliolewa vichochoroni bila yeye kushirikishwa?...alijua hilo kwann hakumwambia mwanae kwamba haifai? sasa kutaka kunipangia vitu vya kufanya ndani kwangu, ki ujumla na mr pia, leo utaambiwa mwanangu anapendaga kula cjui makande hebu mpikie, kesho utaambiwa mwanangu cjapenda alivyovaa akaenda kazini lile shati ni baya alinunua mwenyewe kweli, au ulimnunulia, kesho utaambiwa hivi, ukirudi kutoka job kaka( h/boy) atakuwambia mama alikuwa ananihoji hivi na vile, yaani mambo kibao, h/boy ndio akawa mtu wake wa karibu ili tu amwambie tunaishije hapo ndani....na alishanitamkia mwenyewe japo mwanae kaoa lakini kwake yeye bado ni mtoto na anahitaji muongozo wake wa maisha yeye kama mamake...Mbu kakangu ni mambo kibao sana, cku hizi alivyoona cna tyme nae bac imekuwa ahueni kwangu...cpati tena usumbufu wa mwanzo na nitaendelea na mcmamo huo huo.
 
Aksante Mwasu wajua kila kitu tunajifunza na maisha halisi tunayoishi au yanayotuzunguka. I happened to live longer lol yes long enough to grasp some of the important issues..... but si mzoefu kiviiiiile

Mwambie kama anataka mauzoefu zaidi....babu yuko available. Tuition fee anakamata mjukuu, anaiwaisha kaunta kwa ajili ya nyagi baridi ya kopo kwa ajili ya babu...!
 
mmh haya mambo ni magumu jamani ni kweli mama mkwe mara nyingi huwa ni wakorofi lakini na hao waolewaji jamani sijui huwa na dhana kwamba ndugu wa mume ni wabaya tu unakuta mtu ameolewa hajafanywa lolote na mawifi wala mama mkwe na anapendwa jamani ataanza visa mpka mnajiuliza ni kitu gani hiki,so hii mambo nadhani ipo pande mbili ingawa kwa upande wa mume huwa ni zaidi.nimeipenda hii topic mwanajamii thanx kwa ushauri tutaumia kuwapelekea hata marafiki
 
kaka Mbu umeniuliza chanzo cha mvutano, ni vijimambo vingi sana katika kutaka kuingilia mambo yangu ya ndani, na iliponitibua zaidi ni wakati nilipokofofishana na mr kwa kutaka niache kazi, baada ya kukosana amani ndani kwa karibia miezi 6 nikaja ambiwa chanzo ni mama yake kumshikia bango mr kwamba natakiwa niwe mama wa nyumbani, hilo tuliliongea na mr na tukasuluhisha kila kitu, baada ya hapo sasa mama akaanza kwamba cmtii mume wangu coz akitoa maamuzi ndani siyafatilii, hapo tulishaongea na mr kila kitu kuhusu mama, na akanipa support kubwa sana baada ya ule utata uliotokea, bac kwasasa support yake ndio inanipa moyo.
 
Mbu....mama nilikuwa nampenda sana, nilikuwa nimeamini kuwa ni kama mama yangu mzazi, kumbe nilijidanganya na yeye akawa ameficha makucha kwa wakati huo, alikuwa akinikosoa hiki na kile mie naona sawa ngoja nifanye atakavyo, hivi na vile nafanya nikiamni ni kama mama yangu ananirekebisha, ni kosa nililofanya!...alitaka kunifanya nicjiamni kwenye maisha ya ndoa, kwamba niliolewa mdogo so ctaweza kumuhudumia mume, niliolewa vichochoroni bila yeye kushirikishwa?...alijua hilo kwann hakumwambia mwanae kwamba haifai? sasa kutaka kunipangia vitu vya kufanya ndani kwangu, ki ujumla na mr pia, leo utaambiwa mwanangu anapendaga kula cjui makande hebu mpikie, kesho utaambiwa mwanangu cjapenda alivyovaa akaenda kazini lile shati ni baya alinunua mwenyewe kweli, au ulimnunulia, kesho utaambiwa hivi, ukirudi kutoka job kaka( h/boy) atakuwambia mama alikuwa ananihoji hivi na vile, yaani mambo kibao, h/boy ndio akawa mtu wake wa karibu ili tu amwambie tunaishije hapo ndani....na alishanitamkia mwenyewe japo mwanae kaoa lakini kwake yeye bado ni mtoto na anahitaji muongozo wake wa maisha yeye kama mamake...Mbu kakangu ni mambo kibao sana, cku hizi alivyoona cna tyme nae bac imekuwa ahueni kwangu...cpati tena usumbufu wa mwanzo na nitaendelea na mcmamo huo huo.
Ahaaaaa huyu alizidi mwenzangu bado kidogo angeulizia 'unatoa dozi' mara ngapi kwa wiki ili aone kama mwanae anapunjwa au anaoverdoziwa ah......... pole mwali but bora ulivyoweka distance maana angekupandia kichwani huyo.

Ni kweli wapo wakwe wenyine wema sana yaani hadi unashangaa.... kuna wale ambao kwao ni mwiko kuishi au hata kutembea kwa watoto wao sembuse kuwapangia maisha??
 
my vote counted for Halima na sasa nataka nimuombe kazi ya udereva sikuz a wikendi tu
 
kaka Mbu umeniuliza chanzo cha mvutano, ni vijimambo vingi sana katika kutaka kuingilia mambo yangu ya ndani, na iliponitibua zaidi ni wakati nilipokofofishana na mr kwa kutaka niache kazi, baada ya kukosana amani ndani kwa karibia miezi 6 nikaja ambiwa chanzo ni mama yake kumshikia bango mr kwamba natakiwa niwe mama wa nyumbani, hilo tuliliongea na mr na tukasuluhisha kila kitu, baada ya hapo sasa mama akaanza kwamba cmtii mume wangu coz akitoa maamuzi ndani siyafatilii, hapo tulishaongea na mr kila kitu kuhusu mama, na akanipa support kubwa sana baada ya ule utata uliotokea, bac kwasasa support yake ndio inanipa moyo.
pole mwaya ............na wamama wa zamani huwaambii kitu ati mume kasema we usitii......
 
my vote counted for Halima na sasa nataka nimuombe kazi ya udereva sikuz a wikendi tu
Ndo mama mkwe wako eh?.......... maana hapa twamzungumzia Ma mkwe ati.
Asa udereva wa week end tu ....hapa nasikia harufu ya chakachuzi ya penzi a.k.a Infii
 
my vote counted for Halima na sasa nataka nimuombe kazi ya udereva sikuz a wikendi tu

Tena nyie watu wa visiwani tutawahamisha meza.... Ngumi jiwe.... How on the earth did you vote for that bastard?:A S angry::A S angry::A S angry:
 
mmh haya mambo ni magumu jamani ni kweli mama mkwe mara nyingi huwa ni wakorofi lakini na hao waolewaji jamani sijui huwa na dhana kwamba ndugu wa mume ni wabaya tu unakuta mtu ameolewa hajafanywa lolote na mawifi wala mama mkwe na anapendwa jamani ataanza visa mpka mnajiuliza ni kitu gani hiki,so hii mambo nadhani ipo pande mbili ingawa kwa upande wa mume huwa ni zaidi.nimeipenda hii topic mwanajamii thanx kwa ushauri tutaumia kuwapelekea hata marafiki



huyo anaeweza kutafuta shari kwenye amani ana lake jambo kwa kweli, lakini nakuambia wengi wa hao mawifi/mama wakwe ni wakorofi kupita maelezo, ni kec ya waolewaji wengi kilio che2.
 
Back
Top Bottom