FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Tunaitendea haki nature! Hata sisi hatupendi kufanya hivyo, lakini nature inatukataza. Unaweza kupingana na necha wewe?
ooh my god:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Tunaitendea haki nature! Hata sisi hatupendi kufanya hivyo, lakini nature inatukataza. Unaweza kupingana na necha wewe?
HEHEHE!
nitakujibu binamu.....
veery suun!ngoja kwanza nitoke nje nikaaaaaaa:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:
wanaume kuna raha gani mnayoipata moyoni mnapoamua kufanya cheating ?
Ni dhahiri roho zenu zinawasuta lakini mnazifanya ngumu kama chuma ili muendeleze infidelity
Nikiwa kama mshauri mkuu bora uwe mlokole wa kisasa.
Hivi ni vijimambo tu kikubwa uzima.
Usisahau Chuda Raha
Ok back to the topic
MJ1 umeleta mada nzito sana aisee... its our natural deed kuwa tulivyo na mara nyingi ukiona mwanaume anakua anabehave kivingine, utakuata hata social life yake inakua kimtindo sana
Kama una mtoto wa kiume, mchunguze akianza nursery, haitazidi wiki atakuja na kukwambia mom nina rafiki na atamtaja binti, lakini akiwa na marafiki wa kiume wenzake hata hamsini inakua very rare kuja na pride nuyumbani...
ila kwa upande wa akina dada kusema kwamba wanainfidelate simply because they miss something, hiyo ntaiqualify kwani kuna watu wameumbwa kutotulia tu
Wanaume kuna raha gani mnayoipata moyoni mnapoamua kufanya cheating ?
Ni dhahiri roho zenu zinawasuta lakini mnazifanya ngumu kama chuma ili muendeleze Infidelity
FL1 Inasemekana kwenye kitabu kuwa .... Men want to see beyond the Stars, Not necessarily because they no longer love their wives, but because of the excitement that goes with hunting and discovery...........Wanaume kuna raha gani mnayoipata moyoni mnapoamua kufanya cheating ?
Ni dhahiri roho zenu zinawasuta lakini mnazifanya ngumu kama chuma ili muendeleze Infidelity
Me loves my wife....miaka kumi rasmi leo....ngoja nikaazishe sredi LOL!FL1 Inasemekana kwenye kitabu kuwa .... Men want to see beyond the Stars, Not necessarily because they no longer love their wives, but because of the excitement that goes with hunting and discovery...........
Ok back to the topic
MJ1 umeleta mada nzito sana aisee... its our natural deed kuwa tulivyo na mara nyingi ukiona mwanaume anakua anabehave kivingine, utakuata hata social life yake inakua kimtindo sana
Kama una mtoto wa kiume, mchunguze akianza nursery, haitazidi wiki atakuja na kukwambia mom nina rafiki na atamtaja binti, lakini akiwa na marafiki wa kiume wenzake hata hamsini inakua very rare kuja na pride nuyumbani...
ila kwa upande wa akina dada kusema kwamba wanainfidelate simply because they miss something, hiyo ntaiqualify kwani kuna watu wameumbwa kutotulia tu
sisi wala hatuna wasiwasi, they will never find it as a package, and if they are lucky, it never last.....it is all about packaging and the product is the same. REMEMBER that.Sasa wanaume mbona mnawasemea kina dada jamani?...... Is it kwamba nimewapa green light au?.... ah
But If it is this true basi ninawaomba mjitahidi kuwafulfill mawifi zangu ili wasitoke kutafuta nje kwa kumiss something !!
Katibu hii material umetoa kichwani ako au umenukuu kwenye katiba yetu?
Hongera sana Babu nadedicate wimbo wa 'Nabembelezwa' wa Barnaba.....Me loves my wife....miaka kumi rasmi leo....ngoja nikaazishe sredi LOL!
Yes Golder--- It saves a lot of trouble to this worldthats the creation of god,but all in all i proud to be a woman
Hahaha Bigirita aksantesisi wala hatuna wasiwasi, they will never find it as a package, and if they are lucky, it never last.....it is all about packaging and the product is the same. REMEMBER that.
Mwanaume mwenye vitu vyote ambavyo mwanamke anavitaka ujue huyo ni biological error!
Utamu nikutoruhusu kiwazi....Unatakiwa kuelewa tu, then una-play part yako bila kuleta ukomando kwenye mkondo wa maji mengi!Ni kweli Fidel ni vijimambo tu ila nikikumbuka nguvu nilizokuwaga nazitumia kupingana na hii...... ningezitumia shamba saa hizi ningekuwa mkulima tajiri.
But nafikiri bado kuna umuhimu wa kuendelea kugangamala kwenye vita hii kwani tukiwaruhusu kiwazi mbona itakuwa balaa??
Ahsante kajukuu...pamoja na ma infii yote haya....bado niko na huyu mama! ni kama bikira Maria yule mama!Hongera sana Babu nadedicate wimbo wa 'Nabembelezwa' wa Barnaba.....