Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,949
- 35,000
Avatar hii kidogo iko poa,sio ile bonge ls pengo hadi mtu unajishauri kuja pm![emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Eti umesema!!!!
Avatar hii kidogo iko poa,sio ile bonge ls pengo hadi mtu unajishauri kuja pm![emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Eti umesema!!!!
Hahahaaaaaa!! Yaani wewe!Avatar hii kidogo iko poa,sio ile bonge ls pengo hadi mtu unajishauri kuja pm!
Hahahaha babu bwana
Hahahaaaaaa!! Yaani wewe!
Habari za siku mkuu?
Fanya kweli na sisi tumtafutie babu vitukuuHahahaha babu bwana
@mo11 anakupiga biti akimtakia nini dada yakeblabda. Hizo kelele za chura tu. Kama vipi beba wote.
Za atoto eeeh!! Nilimmiss tedy bare wangu.Nzuri mkuu,sijui wewe?avatar inanikumbusha enzi zileee za naniliu
Za atoto eeeh!! Nilimmiss tedy bare wangu.
Anadai mimi ni kachalii sina hadhi ya kuwa bwashee wake@mo11 anakupiga biti akimtakia nini dada yakeblabda. Hizo kelele za chura tu. Kama vipi beba wote.
Yeeeees, ile nimetoa maana watoto wa humu wasione avatar za google mate yanawajaa. Mfyuuuuu.Umeona eeeeh!
Nawe ukakubali? Basi yawezekana yuko sahihi kabisa.Anadai mimi ni kachalii sina hadhi ya kuwa bwashee wake
Duh haya bana. Nipingeni tu ila ipo siku na mimi nitaopoa. [emoji144]Nawe ukakubali? Basi yawezekana yuko sahihi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh haya bana. Nipingeni tu ila ipo siku na mimi nitaopoa. [emoji144]
Yeeeees, ile nimetoa maana watoto wa humu wasione avatar za google mate yanawajaa. Mfyuuuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanagongana pm ukiwawekea mambo mazuri mazuri kwenye avatar [emoji2],ila ile ya pengo ilikua kiboko,kuja pm unajishauri kuingia muda mwingine hata like au kuquote inakua ngumu [emoji23]
Ukiona hivyo ujue unapendwa na kukumbukwa na babuHahahaha babu bwana